Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Ww unaonekana ni nyampala mpuuzi labda kwakuwa ma vyeo yamekuwa ya kujichotea lkn pia szani ni kama umechelewa
 
Ndio maana ukifuatilia hili sakata hawakutaja muda kamili ambao Diamond alifika uwanjani...
Btw wanatetea matumbo yao tu...
Air Tanzania hawana haja ya kutaja muda ambapo mteja amefika airport. Inaeleweka reporting time kwenye check in counter. Sasa kama umekuja mapema na ukaanza kuongea na marafiki zako wakati wenzako waliokuja nyuma yako wana check in halafu wewe unapokuta desk limefungwa na makosa yako.
Kilichotakiwa kufanywa na huyo kijana, ni kufanya booking kwa siku nyingine na awahi airport ku-check kwa wakati. TUACHE SIASA ZA KITOTO
 
Muwage mnasoma nakuelewa basiii "" gosh mnachosha ".... wapi nimesema kwamba taasisi ya serikali haikosolewi "!?

Kukosoa ni haki ya kila raia " bali tunapaswa kukosoa kwa njia rafiki ambayo haitoleta athari za kushuka kwa bidhaa/biashara na kuwafanya watu wengine waweze kukosa Ajira katika biashara hiyo ..
Nyie ndio mnafanya hizi taasisi za kiserikali zi zidi kuwa hovyo, hivi Jerry Muro alivyowa rekodi wale trafiki wakichukua rushwa ina maana alilidhalilisha jeshi la polisi?

Mimi 2015 baba yangu mdogo alikufa Muhimbili, kilitakiwa kibali cha damu mimi ndiye niliyekishughulikia na nikakipata, nikakipeleka pale kabla ya saa mbili nikaelekea kazini , wakaniambia watamwekea damu, saa sita mama yangu mdogo anafika anawauliza manesi vipi mgonjwa wangu kishawekewa damu, wanamwambia damu zimeisha wakati mimi waliniambia zipo, alfajiri ba mdogo kafa damu hajawekewa na kibali cha damu sijarudishiwa, sasa hawa watendaji ningewarekodi ningekuwa nafanya makosa?

Acheni kulea uzembe na wale manesi washukuru wazo la kuchukua video nilikuwa sina la sivyo nao wangekuwa tayari wapo mitandaoni.
 
Natamani ungemuelewa walau kidogo mleta mada ..ingekusaidia sana .

.. Iwe tickets za wcb ziliuzwa kwa watu wengine au wcb walichelewa Ujinga alioufanya domo nikuipaka kinyesi taasisi nyeti ya serikali " kisha akakipost kinyesi chake kwenye mitandao ya kijamii ... huu ni uzwazwa mkubwa Sana ambao unapaswa kukemewa " diamond alipaswa kuwasilisha malalamiko yake katika uongozi wa ATCL ama kwenda kufungua kesi na kudai fidia .. nasio kufanya upuuzi alioufanya " ambao unapelekea kuchafua brand ya ATCL kibiashara " ... diamond ni kioo cha jamii anafuatiliwa na watu wengi inapotokea akawa na conflict na taasisi nyeti kama ATCL ni rahisi " sana kuifanya tasnia hiyo isiaminike pia itaingia hasara kwakukosa wateja " .... diamond akiwa kama icon alipaswa " kuweka uzalendo mbele nakuficha madhaifu ya ATCL asiyaonyeshe kwenye public..
.
.kisha angefuata protocol ambayo ilikuwa ni kwenda kufikisha malalamiko yake ama maoni katika uongozi husika " ..... so ule alioufanya ni ujinga " unaoweza kuligharimu shirika na kulifilisi " pia amechangia kutaka kuwavunja moyo " wafanya kazi wote wa ATCL na Raisi wa nchi ambao wamekuwa wakitumia ma billions ya fedha kuhakikisha kwamba " taasisi hii ya usafiri wa anga inaleta matumaini upya nchini na kulipatia taifa faida

Mwambieni huyo jamaa Yenu apunguze misifa itamuharibia Maisha yake


Natumai huo ni mwanzo tu " kuna vikwazo vingi toka serikalini ambavyo sio vya kupendeza " vinavyo mfuata.
tatizo shule hivyo uwezo wa kuona mbali haupo yeye anaona mwisho clouds wala hawezi kuona kuwa ATCL inaweza kuwa fursa ya kumpandisha chart siku zijazo. hivyo wale wanaowaalika wasanii inapaswa wawaambie kwao inaweza kuwa na manufaa gani si swala la wao kuuza sura tu.
 
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Foolish fool!!!!You are too emotional!!!Kutokupenda matatizo ya serikali yajulikane!!!!Ulichoandika ni ujuha mtupu
 
Hii mikwara ya shirika kushindwa kupambana na Diamond lenyewe mpaka kuomba msaada serikalini ni umama wa aina yake!

Yaani matukio madogo na kipumbavu namna hii mpaka ikulu iingilie?

Shirika halina bylaws ya kudhibiti abiria wenye makosa kama hivi hata banning them?Mpaka state iingilie?

Hivi lini haya mashirika yatafanya biashara kwa ufanisi bila ikulu kuingilia?

Ndio namna hii competition itawapeleka kaburini halafu waanze kuita "ikulu tusaidie"?

Stupidity plus stupidity!
Tafadhali fafanua hilo neno 'umama' ili utuonyeshe tofauti yako na Domo au ATCL.
 
Acha undezi (nimeitumia figuratively). Ainisha sifa za umama na uzihusianishe na mada. Nataka kujua akina mama wakoje mpaka wafananishwe na hii mada.

Nandera,ni Mpare supposedly,mtani wangu if that make sense......

I think you want to dance,go ahead play yourself!
 
Air Tanzania hawana haja ya kutaja muda ambapo mteja amefika airport. Inaeleweka reporting time kwenye check in counter. Sasa kama umekuja mapema na ukaanza kuongea na marafiki zako wakati wenzako waliokuja nyuma yako wana check in halafu wewe unapokuta desk limefungwa na makosa yako.
Kilichotakiwa kufanywa na huyo kijana, ni kufanya booking kwa siku nyingine na awahi airport ku-check kwa wakati. TUACHE SIASA ZA KITOTO
Yaani watu wanaongea mengi utadhani walikuwepo uwanjani.Sababu nyingi zitatafutwa kuhalalisha kiburi cha aliyechelewa kuwahi uwanjani.Tuache ubashiri usio na tija,kijana amekosea sana kuanika kwenye mitandao kisa cha yeye kutokusafiri kama alivyopanga safari yake.Hapa mtawalaumu ATCL bure kumbe mwenye kosa ni aliyechelewa ku-check in.Unakuja uwanjani,hu-check in,unapiga stori za kisharobaro na ubishoo halafu muda umepita unajifanya umeonewa.

Hakuna shinikizo lolote toka juu.BASATA wametimiza wajibu wao kwani ni mara nyingi wimbo huo umelalamikiwa,pia ulikuwa na katazo lakini mhusika hakutii.Sasa tunalaumu mamlaka kufanya kazi yake?

Kutoa video za aina hiyo na kulipotezea shirika uaminifu mbele ya jamii ni kutokujielewa hata kidogo wakati Serikali inapambana usiku na mchana kulipatia taifa identity mbele ya mataifa mengine.

Tuwe tunawaza nje ya box mara nyingine,badala ya ku-connect dot kuwa ameonewa na kupigwa marufuku ya ku-perfom.Kiburi/dharau/kuota mapembe haisaidii,tii sheria bila shuruti!!!Hakuna shinikizo lolote toka kokote@Abunwasi your right!!!!
 
Sijakuelewa
Yaani watu wanaongea mengi utadhani walikuwepo uwanjani.Sababu nyingi zitatafutwa kuhalalisha kiburi cha aliyechelewa kuwahi uwanjani.Tuache ubashiri usio na tija,kijana amekosea sana kuanika kwenye mitandao kisa cha yeye kutokusafiri kama alivyopanga safari yake.Hapa mtawalaumu ATCL bure kumbe mwenye kosa ni aliyechelewa ku-check in.Unakuja uwanjani,hu-check in,unapiga stori za kisharobaro na ubishoo halafu muda umepita unajifanya umeonewa.

Hakuna shinikizo lolote toka juu.BASATA wametimiza wajibu wao kwani ni mara nyingi wimbo huo umelalamikiwa,pia ulikuwa na katazo lakini mhusika hakutii.Sasa tunalaumu mamlaka kufanya kazi yake?

Kutoa video za aina hiyo na kulipotezea shirika uaminifu mbele ya jamii ni kutokujielewa hata kidogo wakati Serikali inapambana usiku na mchana kulipatia taifa identity mbele ya mataifa mengine.

Tuwe tunawaza nje ya box mara nyingine,badala ya ku-connect dot kuwa ameonewa na kupigwa marufuku ya ku-perfom.Kiburi/dharau/kuota mapembe haisaidii,tii sheria bila shuruti!!!Hakuna shinikizo lolote toka kokote@Abunwasi your right!!!!
Umesoma uzi wangu vizuri? au ndiyo upotoshaji?
 
Natamani ungemuelewa walau kidogo mleta mada ..ingekusaidia sana .

.. Iwe tickets za wcb ziliuzwa kwa watu wengine au wcb walichelewa Ujinga alioufanya domo nikuipaka kinyesi taasisi nyeti ya serikali " kisha akakipost kinyesi chake kwenye mitandao ya kijamii ... huu ni uzwazwa mkubwa Sana ambao unapaswa kukemewa " diamond alipaswa kuwasilisha malalamiko yake katika uongozi wa ATCL ama kwenda kufungua kesi na kudai fidia .. nasio kufanya upuuzi alioufanya " ambao unapelekea kuchafua brand ya ATCL kibiashara " ... diamond ni kioo cha jamii anafuatiliwa na watu wengi inapotokea akawa na conflict na taasisi nyeti kama ATCL ni rahisi " sana kuifanya tasnia hiyo isiaminike pia itaingia hasara kwakukosa wateja " .... diamond akiwa kama icon alipaswa " kuweka uzalendo mbele nakuficha madhaifu ya ATCL asiyaonyeshe kwenye public..
.
.kisha angefuata protocol ambayo ilikuwa ni kwenda kufikisha malalamiko yake ama maoni katika uongozi husika " ..... so ule alioufanya ni ujinga " unaoweza kuligharimu shirika na kulifilisi " pia amechangia kutaka kuwavunja moyo " wafanya kazi wote wa ATCL na Raisi wa nchi ambao wamekuwa wakitumia ma billions ya fedha kuhakikisha kwamba " taasisi hii ya usafiri wa anga inaleta matumaini upya nchini na kulipatia taifa faida

Mwambieni huyo jamaa Yenu apunguze misifa itamuharibia Maisha yake


Natumai huo ni mwanzo tu " kuna vikwazo vingi toka serikalini ambavyo sio vya kupendeza " vinavyo mfuata.


Diamond ni kioo cha jamii kwa wanayemfuatilia tu, yaani mimi nishindwe kupanda ndege kwa raha yangu kisa eti Diamond ana ugomvi na ATCL, to hell....sina ujinga huo hata siku moja. Only mazuzu ndiyo wanaweza fanya hivyo.
 
Kwenye Show za Mtwara,Iringa,Morogoro,Sumbawanga Wimbo wa Nyegezi haukuimbwa? Kama uliimbwa imekuaje wamechelewa kuwafungia.Halafu Mie nlidhani umefunguliwa,maana Mtaani Nyegezi unapigwa kama kawa
Huko kote haukuimbwa kabisa...
 
Yeah.....kama nawaona TRA nao wakimnyemelea!

Ni hatari kuwa sahihi vs serikali.
 
Mkuu kama unaamini walichosema ATCL na kuona live ya Diamond ni uongo basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.

Ukweli ni kwamba, Diamond was right, na ATCL walichofanya ni damage control.

KIlichofanyika ni hivi, ATCL walikuwa wamebook abiria kuliko uwezo wa ndege. Sasa inapotokea hivyo, ATCL watachukua abiria walio -check in kwnza. Hata kama umefika airport ndani ya muda wa ku-check in, kwa kuwa kuna abiria waliozidi uwezo wa ndege, wale walio check in kwanza ndio watasafiri.

Kwa hiyo katika utetezi wao, ATCL WAMEDANGANYA UMMA kwa kusema Diamond alichelewa. Diamond alifika muda unaotakiwa bali kulikuwa na overbooking ya hiyo flight.
Acha kuingiza hisia na mapenzi katika mambo yanayohitaji taaluma zaidi.Unafikiri hao wasemaji wa ATCL walikuwa hawajui kama wakizungumza uongo kuwa watajulikana? Nchi hii kubwa mkuu.Acha ujuaji na ushamba wa kishabiki
 
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia wamelifutilia mbali Tamasha la Wasafi Festival ambalo limekuwa gumzo kubwa katika siku za hivi karibuni.

Sababu zinazotolewa na Basata, ambazo zina ushahidi wa wazi, ni kwamba msanii huyo amekiuka maelekezo aliyopewa na Basata, ya kuacha kuperform wimbo wa Nyegezi (Mwanza) uliofungiwa na Basata kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kukiuka maadili ya Kitanzania.

Tukio la Diamond kupigwa pini na Basata, limekuja muda mfupi baada ya Mbongo Fleva huyo kusababisha hali ya sintofahamu katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, ikimuonesha 'bwa mdogo' huyo akiwatemea mbovu wafanyakazi wa uwanja huo, kwa kile alichodai kwamba wamemchezea rafu kwa kuuza tiketi alizozifanyia booking mapema na kusababisha ashindwe kusafiri kurejea Dar baada ya kumalizika kwa shoo yake jijini Mwanza.

Madai hayo yalililazimu shirika la ndege la ATCL kutoa tamko rasmi na kukanusha madai ya Diamond ambapo taarifa ilieleza kwamba hakuna aliyeuza tiketi yake isipokuwa yeye ndiye aliyefanya makosa kwa kuchelewa kufika uwanja wa ndege hivyo kwa mujibu wa kanuni na taratibu, alipoteza sifa za kusafiri na ndege hiyo hivyo kuomba kupangiwa siku iliyofuatia.

Kabla ya ATCL kutoa ufafanuzi huo, watu wengi waliotazama video hiyo, waliamini kwamba kweli ATCL wamefanya uzembe, wamepiga dili kwa kuuza tiketi ya Diamond na kundi lake kwa watu wengine, kwa lugha nyepesi Diamond aliwaaminisha watu kwamba ATCL si waaminifu kwa wateja wake na ndiyo maana wameuza tiketi ambazo zilishafanyiwa booking kwa watu wengine.

Ikumbukwe kwamba ATCL ni shirika la serikali na serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.

Wakati serikali ikihangaika kuhakikisha ATCL inapata wateja wa uhakika na kujiendesha kwa faida, anatokea 'mwehu' mmoja na kuibua tuhuma ambazo zinawafanya wateja wapoteze imani na shirika hilo na hivyo kulikosesha wateja na mapato.

Diamond ambaye kwa heshima na taadhima, alialikwa wakati moja kati ya ndege hizo ikiwasili nchini, badala ya kuwa balozi wa kuwahimiza watu wengine watumie huduma za ATCL, yeye anahujumu kwa kuibua tuhuma za uongo zenye lengo la kuikosesha ATCL wateja na mapato.

Fyekelea mbali ili siku nyingine ajifunze kuwa na adabu na uzalendo! Siku zote serikali inaweza kuwa inajua kwamba unafanya makosa lakini kwa sababu hugusi maslahi yake, ikakuacha uendelee kukosea! Ndiyo, kwani Diamond ameanza kuidharau Basata leo kwa kuimba Nyegezi? Upo ushahidi wa mpaka video akiwa Zanzibar na kwingineko, alionekana akiwaimbisha mashabiki kijanja.

Kama ishu ingekuwa ni hiyo tu, Basata wangeweza kuweka pamba masikioni au kuitana kishkaji, Mngereza alikuwepo kwenye uzinduzi kule Mtwara, kwa hiyo kwao siyo adui tena bali mlezi, wangeweza kunena kwa lugha moja wakayamaliza ili kuepusha hasara ya mamilioni ambayo sasa ataipata kwa kufungiwa.

Diamond, man up! Don't mess with the government!
Hivi kweli wewe ulitegemea ATCL waseme sorry? sijui wewe umesafiri na ATCL lini mara ya mwisho na mara ngapi au unapeperusha ngonjera hapa?.
Yaani tukio la Diamond limenikumbusha sana kauli ya JK kwamba Rais kafanya jambo zuri kuiimarisha ATCL lakini wasiwasi wake ni upande wa MANAGEMENT, yaani pale customer care ni sifuri; ukilinganisha na reception ya Precision, ATCL Mbaaado sana! Kasumba ya shirika la umma, haitawaacha salama hata kama Rais atawapa ndege nyingine 20! WABADILIKE!, vinginevyo ATCL itakuwa Mtoto NJITI
 
Hivi kweli wewe ulitegemea ATCL waseme sorry? sijui wewe umesafiri na ATCL lini mara ya mwisho na mara ngapi au unapeperusha ngonjera hapa?.
Yaani tukio la Diamond limenikumbusha sana kauli ya JK kwamba Rais kafanya jambo zuri kuiimarisha ATCL lakini wasiwasi wake ni upande wa MANAGEMENT, yaani pale customer care ni sifuri; ukilinganisha na reception ya Precision, ATCL Mbaaado sana! Kasumba ya shirika la umma, haitawaacha salama hata kama Rais atawapa ndege nyingine 20! WABADILIKE!, vinginevyo ATCL itakuwa Mtoto NJITI
Mkuu mimi sijawahi kupanda ndege, hapa nachangamsha kijiwe tu, vipi nasikia ukipanda ndege huko juu panatisha sana ni kweli? Use your head.
 
Acha kuingiza hisia na mapenzi katika mambo yanayohitaji taaluma zaidi.Unafikiri hao wasemaji wa ATCL walikuwa hawajui kama wakizungumza uongo kuwa watajulikana? Nchi hii kubwa mkuu.Acha ujuaji na ushamba wa kishabiki
Hilo suala lilichunguzwa na team ilitumwa haraka mpaka pale, bahati nzuri CCTV huwa hazidanganyi kwenye suala zima la muda, utachezea kote lakini huwezi kubadilisha footage imechukuliwa muda gani, ukweli ukabainika
 
Back
Top Bottom