Pre GE2025 Kilichomsukuma Mbowe kugombea ni kumkomoa Tundu Lissu?

Pre GE2025 Kilichomsukuma Mbowe kugombea ni kumkomoa Tundu Lissu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alitoa saa 48 eti kutafakari na kuangalia mwenendo na akiona vipi ataingia kutetea CHAMA CHAKE, elewa kutetea chama chake.

Je, kwanini asingewahimiza vijana wa BAVICHA kutetea chama chao kwa kugombea nafasi hiyo endapo anaona kuna hatari?

Ni lazima agombee yeye? Ikitokea ameshindwa, (NA ATASHINDWA) atatumia mbinu gani kukiokoa?
Mbowe pale chadema amebadilika ghafla na kuwa mfalme wa chadema
 
Alitoa saa 48 eti kutafakari na kuangalia mwenendo na akiona vipi ataingia kutetea CHAMA CHAKE, elewa kutetea chama chake.

Je, kwanini asingewahimiza vijana wa BAVICHA kutetea chama chao kwa kugombea nafasi hiyo endapo anaona kuna hatari?

Ni lazima agombee yeye? Ikitokea ameshindwa, (NA ATASHINDWA) atatumia mbinu gani kukiokoa?
Kugombea ama kutogombea ngazi yoyote ya chama ni uamuzi wa mwanachama husika kama ana vigezo vya kikatiba why not.
 
Back
Top Bottom