Kilichomuua Ally Sonso hiki hapa, wachezaji, klabu zamlilia

Makolo mnalo hilo

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo ni ugonjwa gani huo wa ghafla?.maana alikua safarini na timu sasa sidhani kama angekua mgonjwa muda kidogo nyuma asingeonekana ata wakati wa mazoezi hadi timu iambatane naye kwenda mwanza.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Duh!!!, Witchcraft will kill we black people.
 
Simba wachawi sana!
 
Majeraha aliyopata siku walipocheza na Simba pale ccm kirumba mwanza elewa Hilo jeraha ndo Hilo limemtoa uhai
Unanikumbusha ...Prof.Ngware alisema kana umeanza kula protein ukubwani unawapa shida sana walimu ...yaan unasoma michango yote hujaelewa...au umeingia tu ukakimbilia kuchangia
 
Kwa mambo haya ya ushirikina ndo maana nikienda nyumbani likizo natembelea ndugu zangu giza likianza kuingia tu.... Mchana mzima nakua maenei ya nyumbani kwetu.
 
Daah..! Pole kwa familia na Ruvu shooting.
Japo maelezo ya chanzo hasa cha kifo chake hayajitoshelezi na tukidhani ni kifo cha ushirikina ila tunasahau kuwa kuna ugonjwa wa tetenasi.
 
Daah..! Pole kwa familia na Ruvu shooting.
Japo maelezo ya chanzo hasa cha kifo chake hayajitoshelezi na tukidhani ni kifo cha ushirikina ila tunasahau kuwa kuna ugonjwa wa tetenasi.
Tetenasi inaua haraka sana. Baba mkwe wangu kidogo imuondoe.

.. Utakuta hakuchoma Sindano ya Tetenasi na alipata infections.
 
Ndugu utani wa Jadi wa Simba na Yanga uishie viwanjani na sio kwenye familia za watu.....hamjui jinsi gani mnawaumiza wanafamilia kwa kauli zenu kishabiki.......
 
R.I.P kamanda we are ur back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…