chilonge
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,531
- 2,912
Kwenye uwanja wa ‘Kitabibu’ kitu unachokiona wewe ni kidogo lakini si kidogo. Ndio maana kuna hospitali.Kwahiyo ni ugonjwa gani huo wa ghafla?.maana alikua safarini na timu sasa sidhani kama angekua mgonjwa muda kidogo nyuma asingeonekana ata wakati wa mazoezi hadi timu iambatane naye kwenda mwanza.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Je,unajua kama hata ukijikwaruza kidogo tu inaweza ikapelekea matatizo kama hayo kama tiba sahihi isipotolewa?!