Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Sina la kuongezea...[emoji116][emoji116]
Kuna aina ya watu ambao huwa nawaita WATU WALIOJAA UJINGA WA FRIKA NA KUUMWA UMIMI
Kwanin mtu anapojaribu kuongea ubaya aliouona katika uzuri wako mnamuweka kundi la asiyejielewa wala asiyejua maisha?
sio lazima umjue Mungu ili ujue thamani ya upendo,
Unapaswa kujua thamani ya utu na kuelewa maisha yetu baasi.
sasa unanipa shida sana kujua uhalisia wa maisha yako katika maamuzi inapofikia hutaki watu waongee mabaya wanayoyaona

nakukumbusha tena forex nisawa na mpango mkakati uliofanywa kuwaweka africa nyuma kimaendeleo hasa kuwapotezea muda wao.
mtu anafanya kazi analipwa laki 4 kazini anakaa masaa 8-10 na bado anafanya forex tena eti extra income kweli akili au matope?

jifunze kujifunza kwanini wengine wanapinga utakuwa na sababu za msingi sana kuwapinga au kujielewa wapi haujajielewa
 
Mkuu nadoubt kiwango cha uzoefu ulionao kuhusu forex na namna soko linavyofanya kazi kama unavyojinasibu. Forex market ndo soko kubwa kuliko yote duniani and it is traded by different players. Individual retailer traders kama wewe wanamake up kiasi kidogo sana traders kwenye soko.

Comercial & investment banks wanafanya hii biashara for their clients, hedge funds managers, multinational corporations, companies na lastly ni individual investors kama wewe ambao inabidi ufanye kupitia brokers.

Brokers wako registered na regulated(japo wapo ambao hawako registered and you should never get involved with them). Kwa US wako regulated under The National Futures Association (NFA) na Commodity Futures Trading Commission (CFTC). NFA na CFTC ndo bodies zinazosimamia soko la forex.
Yaaani Tanzania inawatu wa ajabu sana
unakutana na mtu anajiita msomi anaongelea mambo ya kisomi kwa kuyachukua maneno ya vipeperushi bila hata kuyajadili na kuyachambua
daaa kuna watu wanasafari ndefu sana ya kimaisha
 
Yaaani Tanzania inawatu wa ajabu sana
unakutana na mtu anajiita msomi anaongelea mambo ya kisomi kwa kuyachukua maneno ya vipeperushi bila hata kuyajadili na kuyachambua
daaa kuna watu wanasafari ndefu sana ya kimaisha
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Mwanadamu, mara nyingi, hushirikisha wengine yale anayoyafahamu kutokana na uzoefu na kujifunza kwake. Swala la forex umeshare kulingana na ufahamu ulionao, wengine pia watashare in the same way na namna ilivyoleta impact kwao.

Kwenye jambo lolote lile "understanding" how it works ndo kitu cha msingi. Nimeanza kuisikia forex toka 2015 ila sikuwahi kuitilia maanani until mwaka jana mwishoni. Nimeshuhudia watu wakinufaika nayo na wengine ikiwaadhibu pia na aidha unaamini au la, kinachowatofautisha wanaonufaika na wasionufaika ni skills na uelewa wa hii biashara.

Forex ni high risk business and it is not for everybody. Alienifanya niwe interested kujifunza ni dogo tu wa miaka 24 and he is making a lot of money out of it.

At the end of the day, we are just sharing experience here, kila mmoja ana kitu anafahamu ambacho mwingine hafahamu, what you and me know is very finite compared to the infinite knowledge iliyopo hapa duniani, tuwe humble na open minded kujifunza.
 
Kuna aina ya watu ambao huwa nawaita WATU WALIOJAA UJINGA WA FRIKA NA KUUMWA UMIMI
Kwanin mtu anapojaribu kuongea ubaya aliouona katika uzuri wako mnamuweka kundi la asiyejielewa wala asiyejua maisha?
sio lazima umjue Mungu ili ujue thamani ya upendo,
Unapaswa kujua thamani ya utu na kuelewa maisha yetu baasi.
sasa unanipa shida sana kujua uhalisia wa maisha yako katika maamuzi inapofikia hutaki watu waongee mabaya wanayoyaona

nakukumbusha tena forex nisawa na mpango mkakati uliofanywa kuwaweka africa nyuma kimaendeleo hasa kuwapotezea muda wao.
mtu anafanya kazi analipwa laki 4 kazini anakaa masaa 8-10 na bado anafanya forex tena eti extra income kweli akili au matope?

jifunze kujifunza kwanini wengine wanapinga utakuwa na sababu za msingi sana kuwapinga au kujielewa wapi haujajielewa
Eti kwa ajili ya kuweka afrca maskini buuhh uwiii tena pole sana, hauna instagram wewe embu wa follow fx trader wa south na maeneo mengine alafu uje useme fx ni legal au ilegal? Wazungu nao wengi ni stock and currency trader je chart wanazotumiq wao na si ni tofauti?
fx unaweza ifanya huku umeajiriwa kabla hujawa consistency but utabid uwe swing trader, mpaka pale utakapo jihakikishia upo okey kudeal na fx tu
 
Yaaani Tanzania inawatu wa ajabu sana
unakutana na mtu anajiita msomi anaongelea mambo ya kisomi kwa kuyachukua maneno ya vipeperushi bila hata kuyajadili na kuyachambua
daaa kuna watu wanasafari ndefu sana ya kimaisha
We jamaa ubish ni asili yako bila shka unatokea kaNda flan yenye ziwa reefuuu magharibi
 
We jamaa ubish ni asili yako bila shka unatokea kaNda flan yenye ziwa reefuuu magharibi
wasioweza kujenga hoja na wanataka wakubalike hata kama hawana sababu ya msingi ya ushawishi wakifeli huwa wanaishia kusema wewe mbishi,

Perth ngoja nikupe siri moja ni hivi hakuna mtu mbishi katika maisha endapo ukijua kuelewa tatizo ni nini na ukaweza kumjengea hoja ya msingi.
mtu anakuwa mbishi wewe unaposhindwa kufikisha ujumbe kwa namna iliyo sahihi kwake,
pia namna njema yakukabiliana na mtu mbishi ni hivi
1.lazima uelewe hoja ya mtu anayekubishia,
2.lazima uelewe lengo la anayekubishia
3.lazima uelewe dhamira ya anayekubishia

ukiweza kuyaelewa hayo nirahisi zaidi kumtwist mtu na kumpa kilicho bora zaidi, ukiona watu niwabishi mara nyingi hasa kwa hoja zako lazima ujue una mambo kama haya
1.uelewa wako na unao ongea nao uko sawa hivyo hakuna mwenye hoja nzito kumzidi mwenzake ili aelewe
2.unayebishiwa unaweza kuwa na uelewa mdogo sana kiasi kwamba hoja zako zinakuwa kubwa kwako ila kwa unaowaambia ni hoja ndogo zisizokuwa na mashiko kabisa.

sasa kwakuzingatia hayo hapo juu usitegemee kila hoja itakubaliwa unapozungumza nilazima ujifunze kumjua audience wako ndipo uweze kuwasilisha hoja kwa usahihi.

naamini umejifunza sasa kitu kikubwa na muhimu sana na next time nitakutoza ada ya hii elimu(just kiding)
 
wasioweza kujenga hoja na wanataka wakubalike hata kama hawana sababu ya msingi ya ushawishi wakifeli huwa wanaishia kusema wewe mbishi,

Perth ngoja nikupe siri moja ni hivi hakuna mtu mbishi katika maisha endapo ukijua kuelewa tatizo ni nini na ukaweza kumjengea hoja ya msingi.
mtu anakuwa mbishi wewe unaposhindwa kufikisha ujumbe kwa namna iliyo sahihi kwake,
pia namna njema yakukabiliana na mtu mbishi ni hivi
1.lazima uelewe hoja ya mtu anayekubishia,
2.lazima uelewe lengo la anayekubishia
3.lazima uelewe dhamira ya anayekubishia

ukiweza kuyaelewa hayo nirahisi zaidi kumtwist mtu na kumpa kilicho bora zaidi, ukiona watu niwabishi mara nyingi hasa kwa hoja zako lazima ujue una mambo kama haya
1.uelewa wako na unao ongea nao uko sawa hivyo hakuna mwenye hoja nzito kumzidi mwenzake ili aelewe
2.unayebishiwa unaweza kuwa na uelewa mdogo sana kiasi kwamba hoja zako zinakuwa kubwa kwako ila kwa unaowaambia ni hoja ndogo zisizokuwa na mashiko kabisa.

sasa kwakuzingatia hayo hapo juu usitegemee kila hoja itakubaliwa unapozungumza nilazima ujifunze kumjua audience wako ndipo uweze kuwasilisha hoja kwa usahihi.

naamini umejifunza sasa kitu kikubwa na muhimu sana na next time nitakutoza ada ya hii elimu(just kiding)
Hahaaa mi nimeish na watu wabishi na ninawajua mfano bibi yangu ni mbishi sijapata ona unaweza bishana nae kitu kipo wazi kabisa ila akiamua kuwa negative ebena umtoi hata umprove vipi ila nilichogundua kwake pale anapooona hapa nimeshindwa anakua mkali,anacheka na anavuruga ile mada .

so anyway umesema fx ni jambo la kuleta umaskin Africa kuna baadhi ya watu wamekusaidia kujustify kwa uelewa wako, wapo waliokua upande wako n.k

yote ni kutafuta maarifa na siku zote mtu mbishi hupata maarifa mengi maaana sometime huamua kujifanya kuendelea kuwa mjinga ili azidi kufungukiwa.

Tunaishi ktk generation ambayo hakuna limit ya kupiga pesa, hakuna njia sahih wala mbaya ya kupiga pesa, unawaona watoto wa 20z wana vogue unasema freemason .

Amkaaa kushakucha ndo saa nne asubuh hii
 
"When you open your mouth in front of many people with abundance of knowledge,'you either reveal your axact stock of knowledge or you reveal the lack of it',the best choice is to remain silence and make your own decisions .HUYU MWANZINSHA HUU UZIII AACHE UKENGE NA UPIMBI ,AKATAFUTE MAARIFA HUKO SO ANAKURUPUKA KULAUMU TU VITU ASIVYOVIJUA...👴😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂HUYU JAMAAA NI KENGE
 
View attachment 1923766
watu hatuko tayari kwa hii suala. We're incapable of resisting our short term gratification. We love instant results.
Na kwa kulitambua hilo ndio maana matapeli wa forex wanahubiri sana forex kwa njia ambazo zinaonyesha kwamba unaweza kuvuna mpungu mwingi kwa muda mfupi na kirahisi. THEY WON'T TELL YOU THE BITTER TRUTH COZ YOU ARE THEIR VICTIM!
 
forex ni upumbavu tu.. vijana hamtaki kuuacha sasa mtazeeka na hela hazishiki hizo
Miafrika bwana roho ya tukose wote ndio zimewajaa. Nasikitika sana kijana/mtu mzima kuwa na roho za kichawi kama hzi. Haya maneno yako ungewaambia walevi na malaya ungeonekana una busara.
 
Back
Top Bottom