Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Screenshot_2021-09-14-09-32-01-834_net.metaquotes.metatrader4.jpg


[emoji16]
 
hpa ndo mnapoliwa..
speculation is probability, currency CFD is among application of probability in real life and that application we terms it BUSINESS, if you believe probability is a business ongeza juhudi, and if you don't pita kushoto, the probability to be a business you must have knowledge, if you don't have knowledge don't term it business. uhakika wa kuita biashara ni proportional na maarifaa sahihi. najua niwachache wanaofanikiwa, ila kupitia hao wanaofanikiwa ndo tunadhibitisha kuwa ni biashara

ni sawasawa na kujihusisha na uranguzi wa mafero ya mchanga wa dhahabu, unaponunua lundo ukapiga chabo, hio chabo si uhakika kwamba ukisaga hayo mafero utapata gramu nyingi, ila maarifa yako yanaweza ongeza or maxmizing your probabilty to achieve more ng'anaazi! hicho kitendo cha kulangua fero ni BIASHARA na unalipia leseni TRA, japo tunasema ni probability business, na hizi mambo mala nyingi risk huwa ni kubwa so kupata pesa nyingi inawezekana na kupoteza inawezekana,

inaweza kuwa tofauti na biashara nyingine kwasababu zenyewe unatarajilika slowly na pia unanfilisika slowly, ile kugain slowly watu wana term kuwa uhakika ahahahaha! na probability game inaweza ukaitune uongeze uhakika wa kugain slowly na kufilisika slowly, na pia unaweza uitune ukagain fast na ufilisike fast tofauti na biashara zingine huweze tune magunia ya mchele uyapandishe bei juu fast na ugain fast hapana, ila unaweza yatune bei uishushe ufilisikee mapema, so inakuwa free kwa upande mmoja na closed upande mwingine, ila forex iko open pande zote za kutune

summary
forex , tune more slowly gain and loss more slowly also tune more gain and more loose

other business, tune more slowly gain and more slowly loose and also tune more loose and slowly gain or no gain

huyo mr hapo juu kadepost 10, lakini now inasoma 17 hapo ni trade moja tu na ukute ni siku mbili tu, sasa kapandisha profit ya 7usd kutoka 10usd amabyo ni sawa na 70% ya capita yake, kitu kwa biashara zingine ni ngumu coz ninategemeana ugain slowly hadi kufika breakeven, yaani kweli uzungushe 10million then after three days upate faida ya 10million, hapana ningumu sanaa
ILOVE FOREX, sitafuti wateja, sihitaji TIN, nawithdraw muda wote, pesa napata kimykmya pasipo jilani kujua kama nimehila, nafanya mipango kimyakmya na vilevile napoteza kimykmy huwezi jua hadi nikuambie mahitaji yangu ni bando,simu/laptop, cfd account,maarifa, na capital yangu kuanzia 25000tsh nachekelea huku naangalia shuguli zingine za kupunguza kitambi uzembe.
 
ILOVE FOREX, sitafuti wateja, sihitaji TIN, nawithdraw muda wote, pesa napata kimykmya pasipo jilani kujua kama nimehila, nafanya mipango kimyakmya na vilevile napoteza kimykmy huwezi jua hadi nikuambie mahitaji yangu ni bando,simu/laptop, cfd account,maarifa, na capital yangu kuanzia 25000tsh nachekelea huku naangalia shuguli zingine za kupunguza kitambi uzembe.
 
wabongo bwana !.kila kitu wanacho kiona wanataka wakifanye.
wewe kama umeweza jambo fulani fanya.sio mwenzako kafanya hivi na wewe unataka kufanya ili kesho uje kulalamika sio biashara.

kuna watu maisha yao ni betting,forex,madini na n.k
kwa vile unaona watu wanapata pesa na wewe unataka ukipigwa unakuja kulalamika hoo sijui madini ni kazi ya umaskini,hoo sijui betting au forex ni kubahatisha.

kama kazi yako kuuza duka au kuchimba kokoto jikite
 
Watu wamemaliza chuo degree miaka na miaka na hawana kazi

Wengine miaka hata 10 ,je degree ni utapeli,je chuo ni utapeli!!? Maana unamaliza kusoma na hakuna uhakika wa maisha sio tu kwamba tuseme elimu utapeli.

Maana kuna ambao hawana kisomo na wana maisha mazuri kuliko wenye kisomo.

Kwenye elimu wapo wanaofanikiwa na wapo wasiofanikiwa

Mfano tuseme mleta ameshidwa pata degree ndio tu conclude elimu ni utapeli!?[emoji15][emoji2]

Ukindishwa kitu usiwe na tabia ya kusambaza sumu kwa aspirants

Ukweli ni kwamba either,

1.Uwezo wako akili ni mdogo kulinganisha na unachojifunza

2. Unatamaa na haraka ya mafanikio yaani overnight success.

3. Huna uvumilivu wala hujifunzi makosa yako

4. Hujapata taarifa na ujuzi sahihi waunachokifanya.

5. Mvivu

Nahii ina applya katika kila nyanja ya maisha.

Kun watu wanaishi hapo dar kwa FX nawajua na wanamaisha mazuri kuliko wengine humu wenye kejeli na hawana mishe ingine yeyote.

Kitu kama huna interest nacho usikejeli usivyovijua

Tabia za kitanzania kufata mkumbo kwenye kila kitu tuache.

Jambo usilolijua ni sawa usiku wa giza
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
Mbona unatuchanganya ilitakiwa utuambie mwalimu aliyekufundisha forex huo mwaka wa 2013 yupo wapi sasa

Huyo sir Jeff au Ontario hajakufundisha chochote unamungizaje kwenye mada

Hata darasani Somo la hesabati liliwashinda na linaendelea kuwatesa wanafunzi mpaka sasa, kwahiyo hisabati nalo ni utapeli ?

Kalime matikiti mkuranga

Forex it's not for everyone
 
kweli unaweza ona miaka michache ila miaka minne inaweza kutoshosha sana kuweza kukupa uhakika wa kile unachokitafuta ama usikipate
kwa nyongeza forex ilikuwa sehemu ya maisha yangu sababu mimi sio mfanyakazi wa mtu hivyo muda mwingi niko nayo tu,
natamani ungekuwa hata karibu tupeane mawili matatu ungeweza kunielewa ninacho maanisha

huyo dr anapokuwa level ya chini akiweza kuimasta nakuiweka kichwani ana uhakika na kile alichonacho kumpa maisha au hata kujiupdates ila sio kwa forex no matter what mzeee
Kumbuka anasoma 20yrs almost na bado anahitaji miaka si chini ya 10 afanye kazi awe professional level.
Unamjua highway Engineer or resident Engineer wanaosimamia miradi kikubwa kabisa like bwawa la nyerere ama ujenzi wa reli sgr ama viwanja vya mpira huko Qatar wanachukuliwa wakiwa na uzoefu si chini ya 20 miaka katika fani.
Hakuna kirahisi duniani.
Kusoma umesoma na unaweza usisome right education na bado hujaingia kazini ukifanyie kazi ulichosoma mkuu.
Hii achana nayo Ila Sasa usitake kumfanya kila mtu aiache.
Naomba unikumbushe hapa hapa baada ya miaka 5 mbele kuanzi 2022 kuwa nimefikia wapi na Nina Nini nitaku prove wrong your mindset
 
speculation is probability, currency CFD is among application of probability in real life and that application we terms it BUSINESS, if you believe probability is a business ongeza juhudi, and if you don't pita kushoto, the probability to be a business you must have knowledge, if you don't have knowledge don't term it business. uhakika wa kuita biashara ni proportional na maarifaa sahihi. najua niwachache wanaofanikiwa, ila kupitia hao wanaofanikiwa ndo tunadhibitisha kuwa ni biashara

ni sawasawa na kujihusisha na uranguzi wa mafero ya mchanga wa dhahabu, unaponunua lundo ukapiga chabo, hio chabo si uhakika kwamba ukisaga hayo mafero utapata gramu nyingi, ila maarifa yako yanaweza ongeza or maxmizing your probabilty to achieve more ng'anaazi! hicho kitendo cha kulangua fero ni BIASHARA na unalipia leseni TRA, japo tunasema ni probability business, na hizi mambo mala nyingi risk huwa ni kubwa so kupata pesa nyingi inawezekana na kupoteza inawezekana,

inaweza kuwa tofauti na biashara nyingine kwasababu zenyewe unatarajilika slowly na pia unanfilisika slowly, ile kugain slowly watu wana term kuwa uhakika ahahahaha! na probability game inaweza ukaitune uongeze uhakika wa kugain slowly na kufilisika slowly, na pia unaweza uitune ukagain fast na ufilisike fast tofauti na biashara zingine huweze tune magunia ya mchele uyapandishe bei juu fast na ugain fast hapana, ila unaweza yatune bei uishushe ufilisikee mapema, so inakuwa free kwa upande mmoja na closed upande mwingine, ila forex iko open pande zote za kutune

summary
forex , tune more slowly gain and loss more slowly also tune more gain and more loose

other business, tune more slowly gain and more slowly loose and also tune more loose and slowly gain or no gain

huyo mr hapo juu kadepost 10, lakini now inasoma 17 hapo ni trade moja tu na ukute ni siku mbili tu, sasa kapandisha profit ya 7usd kutoka 10usd amabyo ni sawa na 70% ya capita yake, kitu kwa biashara zingine ni ngumu coz ninategemeana ugain slowly hadi kufika breakeven, yaani kweli uzungushe 10million then after three days upate faida ya 10million, hapana ningumu sanaa
ILOVE FOREX, sitafuti wateja, sihitaji TIN, nawithdraw muda wote, pesa napata kimykmya pasipo jilani kujua kama nimehila, nafanya mipango kimyakmya na vilevile napoteza kimykmy huwezi jua hadi nikuambie mahitaji yangu ni bando,simu/laptop, cfd account,maarifa, na capital yangu kuanzia 25000tsh nachekelea huku naangalia shuguli zingine za kupunguza kitambi uzembe.
Dogo umeiva lazima tutembelee Wall Street one day,Tokyo stock , Singapore, Sydney, Frankfurt,Paris, London n.k.
Nimepiga salute mkuu uko kwa njia sahihi ongeza bidii sana. Don't be satisfied where are you.
Keep on pushing yourself. Hakuna kanuni ya kujenga like goli la mpira wa kikapu Ila jamaa wanarusha mipira takribani alfu kumi baadaye wanaanza kuwa na Ile intuition.
Trade trade trade until it becomes second nature
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
MKUU UMEPIGA KWENYE MSHONO
 
maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kafanye biashara itakayokupa hao mabilionea sasa.
Tatizo vijana mnatamaa sana,mnataka mambo yaende very fast.
Be Patient man.
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
Asante kwa somo. Umeeleza umeeleweka
 
Back
Top Bottom