Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Please be informed that in order to protect our clients and our firm from any potential extreme market volatility, USDRUB is set to close-only effective immediately.
 
1.PNG
2.PNG
1.PNG
2 (2).PNG
2.PNG
3.PNG
4.PNG
5.PNG
5.PNG
6.PNG
7.PNG
8.PNG
9.PNG
10.PNG
11.PNG
12.PNG
13.PNG
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode t

Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
Aisee nimependa Sana uchambuzi wako na udadisi wako ktk biashara ya forex.

Lakini na Mimi pia Nina idea ninayoina inaweza kufanya kazi kwa trader yeyote

1. Kwenye Forex unaweza kuwa na Setup ile ile ya Jana ukaingia Kama Jana lakini Jana ikakupa pesa kesho ikakaunyima pesa vizuri tu.

2. Kwenye Forex Kuna kitu kinaitwa zero sum game theory Yani Kuna participants wapo connected na mabroker na special wapo kwaajiri ya kupata pesa na sio kupoteza so wao huwa wanajua kabisa wangapi wamebuy this pair na wao wakisell kwa uzito gani candle zitarespond kwao (Kama 3mzuka) na retail kuchoma au kuhit stoploss zao eg Nssf watrade pesa za wafanyakazi uko afu utegemee Nssf wapoteze pesa zao ni uongo.

3.sasa mbinu kubwa Sana ambayo mm naona inaweza kukupa pesa huko ni °kuingia setup zile zile unazozifaham usichange change the way u trade.

°kwasabuabu soko lipo kwaajiri ya wewe upoteze pesa af ao ma huge perticipants wavune mzigo Sasa wewe usiweke stoploss kwa kufuata mfumo wa vitabu vya fx au mentors comments wew weka stop loss kwa kuangalia I need to lose very small and hold more profits
Kuna kibabu kimoja iv ndo kinashikiria historia ya kuwa most profitable & pro trader of fx tangia ianze kinaitwa George Soros kilitoa ushauri mmoja ivi konki Sana kuhusu hii forex kilisema:

"ili ufanikiwe kwenye forex suala sio kupata faida au hasara ila suala ni unakuwa umepata faida kiasi gani in comparison na hasara kiasi gani."

kiufupi apo nikagundua hutakiwi kudeal ana na ma strategy strategy ila unatakiwa uangalie your trading account history ktk mt4 au 5 yako ndo inakuwa Kama kioo chako bcz ukipata asala itakaa uko na faida itakaa uko so jukumu kubwa la kulipambania ni kuweza kumaintain positive account history kwa day,week, month, 3month, 6month and more.


So cut your loss very very quickly ikikushinda tumia ata swings za 1min charts kuweka stoploss af tp consider your setup za kuanzia 4hrs+ Sasa ata Kama utalose setup 9 out of 10 let say kwa pips below 10 ambazo zoote unawinda not less than 150 pips basi it's 100% possibly kuwin setup 1 ambayo ni ya 10 ikiwa na return ya pips 100 na Sasa what if ktk izo loosing streak ya 10 pips ingekua mala 7 una lose af ukawin mala 3 out of 10. Your trading account history inakuwa in positivity and then ukimaintain hiyo habits basi linakuwa suala la kucompound tu Yan as time goes wew unaupdate lot sizes tu.

° remember the golden role hapo ni kuwa hakuna mafanikio ya haraka because utapoteza wee na lazima utapata setup ata 2 safi out of 10 so kuja kuwa na large amount of money ndo inaitaji subira na commitment like other business zinapokuwa kubwa within 5 - 10 years or even more than that.

4. Nilikuja kugundua forex Ina parts or phase kuu tatu (3) ambazo lazma uzipitie Kama trader
A. Age of technical analysis - apo ni
phase ya kutumia ma strategy kibao
ukidhani strategy ndo pesa.
B.Age ya psychology - apo ni phase ya
kuamini kuwa ela unaweza ukapata na
loss unaweza ukapata Sasa unajihisi
kuwa Kuna emotions zinakutesa.

C.Age ya ku fu*k attention ya mass
psychology + social medias about
trading fx na kupush mdogo mdogo
Yani slow gratification kiasi kwamba
it's you + your technique + your roles +
your plans + so it's you vs your fu*kng
shits kiasi kwamba ni chaguo lako
unaliishi kimya kimya bcz hauna wa kumtegea kwenye maisha yako so unapiga mzigo kimya kimya mbaka ufike stage ya kupata unacho kitafuta ata Kama ni kwa miaka 10.


5.forex ni biashara inayo cheza Sana na psychology yako binafsi ( ukishindwa kujiwekea Sheria na kuzifiata) basi jua ni shimo ilo Mimi pia nimechoma Sana tu because of psychology lakini nikaja pia kugundua njia moja ya trader kuhandle saikolojia yake: nikagundua kila trader anaudhaifu wake unaompelekea ale loss na uo udhaifu ndo akili yake na ndio ubongo wake 😄 Sasa njia pekee ya kudeal na psychology yako sio kusema I need to be consistent, discipline, patient wewe unahitaji 1st: trade ktk week 1 tu 😄af orodhesha makosa yako yoote uliyoyaona af ayo makosa yatengenezee Sheria ama katiba kuwa Sheria yangu nisirudie hili na hili na hili bro I swear utajikuta ayo masuala ya psychology yanakuwa under your control bcz ukiwa unafuata roles zako vizuri lazma discipline itajidhihirisha na consistency itaonekana tu sio wewe uanze kusema naitafuta hapana😄😄😄


Note: niwe muwazi nimeanza kujifunza in deep hii forex Jan 2017 - now 2022 Yani simaanishi kujifunza juu juu af naacha no Yan kila ninapokuwa na bundle nafatilia maforex tu most of time na nimefanya vitu vingi ma indicator, marobots, signals, nimeuzuria course sijui za akina sirjeff sijui akina nani uko😄😄 namaanisha nimeifatilia in deep nimefika stage mt5 au 4 naifanya Kama application ya kucheza game so it's my hobby. But I believe one day I'll make it because I love it and I'm committed to do it.

For more forex ideas check me 0744-08-9993 bcz mm sio fan wa JF nimepita pita tu na kucomment for free ili kuacha a small legacy kwa mtu ambaye anapush upande huu wa fx
 
Aisee nimependa Sana uchambuzi wako na udadisi wako ktk biashara ya forex.

Lakini na Mimi pia Nina idea ninayoina inaweza kufanya kazi kwa trader yeyote

1. Kwenye Forex unaweza kuwa na Setup ile ile ya Jana ukaingia Kama Jana lakini Jana ikakupa pesa kesho ikakaunyima pesa vizuri tu.

2. Kwenye Forex Kuna kitu kinaitwa zero sum game theory Yani Kuna participants wapo connected na mabroker na special wapo kwaajiri ya kupata pesa na sio kupoteza so wao huwa wanajua kabisa wangapi wamebuy this pair na wao wakisell kwa uzito gani candle zitarespond kwao (Kama 3mzuka) na retail kuchoma au kuhit stoploss zao eg Nssf watrade pesa za wafanyakazi uko afu utegemee Nssf wapoteze pesa zao ni uongo.

3.sasa mbinu kubwa Sana ambayo mm naona inaweza kukupa pesa huko ni °kuingia setup zile zile unazozifaham usichange change the way u trade.

°kwasabuabu soko lipo kwaajiri ya wewe upoteze pesa af ao ma huge perticipants wavune mzigo Sasa wewe usiweke stoploss kwa kufuata mfumo wa vitabu vya fx au mentors comments wew weka stop loss kwa kuangalia I need to lose very small and hold more profits
Kuna kibabu kimoja iv ndo kinashikiria historia ya kuwa most profitable & pro trader of fx tangia ianze kinaitwa George Soros kilitoa ushauri mmoja ivi konki Sana kuhusu hii forex kilisema:

"ili ufanikiwe kwenye forex suala sio kupata faida au hasara ila suala ni unakuwa umepata faida kiasi gani in comparison na hasara kiasi gani."

kiufupi apo nikagundua hutakiwi kudeal ana na ma strategy strategy ila unatakiwa uangalie your trading account history ktk mt4 au 5 yako ndo inakuwa Kama kioo chako bcz ukipata asala itakaa uko na faida itakaa uko so jukumu kubwa la kulipambania ni kuweza kumaintain positive account history kwa day,week, month, 3month, 6month and more.


So cut your loss very very quickly ikikushinda tumia ata swings za 1min charts kuweka stoploss af tp consider your setup za kuanzia 4hrs+ Sasa ata Kama utalose setup 9 out of 10 let say kwa pips below 10 ambazo zoote unawinda not less than 150 pips basi it's 100% possibly kuwin setup 1 ambayo ni ya 10 ikiwa na return ya pips 100 na Sasa what if ktk izo loosing streak ya 10 pips ingekua mala 7 una lose af ukawin mala 3 out of 10. Your trading account history inakuwa in positivity and then ukimaintain hiyo habits basi linakuwa suala la kucompound tu Yan as time goes wew unaupdate lot sizes tu.

° remember the golden role hapo ni kuwa hakuna mafanikio ya haraka because utapoteza wee na lazima utapata setup ata 2 safi out of 10 so kuja kuwa na large amount of money ndo inaitaji subira na commitment like other business zinapokuwa kubwa within 5 - 10 years or even more than that.

4. Nilikuja kugundua forex Ina parts or phase kuu tatu (3) ambazo lazma uzipitie Kama trader
A. Age of technical analysis - apo ni
phase ya kutumia ma strategy kibao
ukidhani strategy ndo pesa.
B.Age ya psychology - apo ni phase ya
kuamini kuwa ela unaweza ukapata na
loss unaweza ukapata Sasa unajihisi
kuwa Kuna emotions zinakutesa.

C.Age ya ku fu*k attention ya mass
psychology + social medias about
trading fx na kupush mdogo mdogo
Yani slow gratification kiasi kwamba
it's you + your technique + your roles +
your plans + so it's you vs your fu*kng
shits kiasi kwamba ni chaguo lako
unaliishi kimya kimya bcz hauna wa kumtegea kwenye maisha yako so unapiga mzigo kimya kimya mbaka ufike stage ya kupata unacho kitafuta ata Kama ni kwa miaka 10.


5.forex ni biashara inayo cheza Sana na psychology yako binafsi ( ukishindwa kujiwekea Sheria na kuzifiata) basi jua ni shimo ilo Mimi pia nimechoma Sana tu because of psychology lakini nikaja pia kugundua njia moja ya trader kuhandle saikolojia yake: nikagundua kila trader anaudhaifu wake unaompelekea ale loss na uo udhaifu ndo akili yake na ndio ubongo wake 😄 Sasa njia pekee ya kudeal na psychology yako sio kusema I need to be consistent, discipline, patient wewe unahitaji 1st: trade ktk week 1 tu 😄af orodhesha makosa yako yoote uliyoyaona af ayo makosa yatengenezee Sheria ama katiba kuwa Sheria yangu nisirudie hili na hili na hili bro I swear utajikuta ayo masuala ya psychology yanakuwa under your control bcz ukiwa unafuata roles zako vizuri lazma discipline itajidhihirisha na consistency itaonekana tu sio wewe uanze kusema naitafuta hapana😄😄😄


Note: niwe muwazi nimeanza kujifunza in deep hii forex Jan 2017 - now 2022 Yani simaanishi kujifunza juu juu af naacha no Yan kila ninapokuwa na bundle nafatilia maforex tu most of time na nimefanya vitu vingi ma indicator, marobots, signals, nimeuzuria course sijui za akina sirjeff sijui akina nani uko😄😄 namaanisha nimeifatilia in deep nimefika stage mt5 au 4 naifanya Kama application ya kucheza game so it's my hobby. But I believe one day I'll make it because I love it and I'm committed to do it.

For more forex ideas check me 0744-08-9993 bcz mm sio fan wa JF nimepita pita tu na kucomment for free ili kuacha a small legacy kwa mtu ambaye anapush upande huu wa fx
Mkuu umefafanua kitaalamu sana na bila shaka umebobea sana katika FOREX
 
Mkuu umefafanua kitaalamu sana na bila shaka umebobea sana katika FOREX
Nifundishe forex
Aisee nimependa Sana uchambuzi wako na udadisi wako ktk biashara ya forex.

Lakini na Mimi pia Nina idea ninayoina inaweza kufanya kazi kwa trader yeyote

1. Kwenye Forex unaweza kuwa na Setup ile ile ya Jana ukaingia Kama Jana lakini Jana ikakupa pesa kesho ikakaunyima pesa vizuri tu.

2. Kwenye Forex Kuna kitu kinaitwa zero sum game theory Yani Kuna participants wapo connected na mabroker na special wapo kwaajiri ya kupata pesa na sio kupoteza so wao huwa wanajua kabisa wangapi wamebuy this pair na wao wakisell kwa uzito gani candle zitarespond kwao (Kama 3mzuka) na retail kuchoma au kuhit stoploss zao eg Nssf watrade pesa za wafanyakazi uko afu utegemee Nssf wapoteze pesa zao ni uongo.

3.sasa mbinu kubwa Sana ambayo mm naona inaweza kukupa pesa huko ni °kuingia setup zile zile unazozifaham usichange change the way u trade.

°kwasabuabu soko lipo kwaajiri ya wewe upoteze pesa af ao ma huge perticipants wavune mzigo Sasa wewe usiweke stoploss kwa kufuata mfumo wa vitabu vya fx au mentors comments wew weka stop loss kwa kuangalia I need to lose very small and hold more profits
Kuna kibabu kimoja iv ndo kinashikiria historia ya kuwa most profitable & pro trader of fx tangia ianze kinaitwa George Soros kilitoa ushauri mmoja ivi konki Sana kuhusu hii forex kilisema:

"ili ufanikiwe kwenye forex suala sio kupata faida au hasara ila suala ni unakuwa umepata faida kiasi gani in comparison na hasara kiasi gani."

kiufupi apo nikagundua hutakiwi kudeal ana na ma strategy strategy ila unatakiwa uangalie your trading account history ktk mt4 au 5 yako ndo inakuwa Kama kioo chako bcz ukipata asala itakaa uko na faida itakaa uko so jukumu kubwa la kulipambania ni kuweza kumaintain positive account history kwa day,week, month, 3month, 6month and more.


So cut your loss very very quickly ikikushinda tumia ata swings za 1min charts kuweka stoploss af tp consider your setup za kuanzia 4hrs+ Sasa ata Kama utalose setup 9 out of 10 let say kwa pips below 10 ambazo zoote unawinda not less than 150 pips basi it's 100% possibly kuwin setup 1 ambayo ni ya 10 ikiwa na return ya pips 100 na Sasa what if ktk izo loosing streak ya 10 pips ingekua mala 7 una lose af ukawin mala 3 out of 10. Your trading account history inakuwa in positivity and then ukimaintain hiyo habits basi linakuwa suala la kucompound tu Yan as time goes wew unaupdate lot sizes tu.

° remember the golden role hapo ni kuwa hakuna mafanikio ya haraka because utapoteza wee na lazima utapata setup ata 2 safi out of 10 so kuja kuwa na large amount of money ndo inaitaji subira na commitment like other business zinapokuwa kubwa within 5 - 10 years or even more than that.

4. Nilikuja kugundua forex Ina parts or phase kuu tatu (3) ambazo lazma uzipitie Kama trader
A. Age of technical analysis - apo ni
phase ya kutumia ma strategy kibao
ukidhani strategy ndo pesa.
B.Age ya psychology - apo ni phase ya
kuamini kuwa ela unaweza ukapata na
loss unaweza ukapata Sasa unajihisi
kuwa Kuna emotions zinakutesa.

C.Age ya ku fu*k attention ya mass
psychology + social medias about
trading fx na kupush mdogo mdogo
Yani slow gratification kiasi kwamba
it's you + your technique + your roles +
your plans + so it's you vs your fu*kng
shits kiasi kwamba ni chaguo lako
unaliishi kimya kimya bcz hauna wa kumtegea kwenye maisha yako so unapiga mzigo kimya kimya mbaka ufike stage ya kupata unacho kitafuta ata Kama ni kwa miaka 10.


5.forex ni biashara inayo cheza Sana na psychology yako binafsi ( ukishindwa kujiwekea Sheria na kuzifiata) basi jua ni shimo ilo Mimi pia nimechoma Sana tu because of psychology lakini nikaja pia kugundua njia moja ya trader kuhandle saikolojia yake: nikagundua kila trader anaudhaifu wake unaompelekea ale loss na uo udhaifu ndo akili yake na ndio ubongo wake 😄 Sasa njia pekee ya kudeal na psychology yako sio kusema I need to be consistent, discipline, patient wewe unahitaji 1st: trade ktk week 1 tu 😄af orodhesha makosa yako yoote uliyoyaona af ayo makosa yatengenezee Sheria ama katiba kuwa Sheria yangu nisirudie hili na hili na hili bro I swear utajikuta ayo masuala ya psychology yanakuwa under your control bcz ukiwa unafuata roles zako vizuri lazma discipline itajidhihirisha na consistency itaonekana tu sio wewe uanze kusema naitafuta hapana😄😄😄


Note: niwe muwazi nimeanza kujifunza in deep hii forex Jan 2017 - now 2022 Yani simaanishi kujifunza juu juu af naacha no Yan kila ninapokuwa na bundle nafatilia maforex tu most of time na nimefanya vitu vingi ma indicator, marobots, signals, nimeuzuria course sijui za akina sirjeff sijui akina nani uko😄😄 namaanisha nimeifatilia in deep nimefika stage mt5 au 4 naifanya Kama application ya kucheza game so it's my hobby. But I believe one day I'll make it because I love it and I'm committed to do it.

For more forex ideas check me 0744-08-9993 bcz mm sio fan wa JF nimepita pita tu na kucomment for free ili kuacha a small legacy kwa mtu ambaye anapush upande huu wa fx
Mkuu nifundishe forex
 
Dogo usiwe unafuatilia hao jamaa Sina ninaye interact naye inst Ila hao no wahuni na wanafeki Sana maisha.
Ngoja nikuulize kitu mie siwajui hao Ila Tabia zao nazijua. Huwa hakuna kozi wanazouza ama sijui signals or something like training or lifetime mentorship, or account management.
Huku anajionyesha hela nyingi .hizo dola zinanunuliwaga Alibaba nikuambie hata wewe ukitaka unanunua. Yaani ukilipa dola Mia unapewa dola alfu kumi.ndo unakuja kufanyia mauzo.
Ukitaka umkamate mwambie akuonyeshe withdraw from his account na sms Ile ya benki utamuona mapovu.
Wapo wanaotredi demo Tena yenye real badge ama cent account wanavuta wenye greed wanapigwa.
Haujiulizi mtu anameki $100k plus afu anakuaambia kuwa umlipe 30-60$ ili ujiunge na kozi yake.
Soma vitabu dogo nadhani uko vizuri endelea kukomaa. Think for 20 yrs from now
Inaonekana hujui ishu inaitwa diversification. Humuoni Mo anamakampuni kibao hadi mkonge analima? Kwenye biashara usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja. Ishu ya forex inarisk kubwa kwakua wengi hawataki kukubali yakua pair/indices au zile volatility zinaweza kwenda tofauti na analysis zao. Ni kama mkulima ufikiri kwakua ni majira ya mvua na umefuata mbinu za kilimo bora basi lazima uvune kama ulivyotegema, wakati kunaweza tokea mabadiliko ya hali ya hewa na ukatengeza hasara sana. Cha msingi kwenye forex ni kuzingatia uelewa (knowledge and analysis) wa soko, kudhibiti uoga na ulafi na pia kupanga kiasi cha hasara iwapo mambo yatakwenda tofauti. Sasa forex inaendeshwa na watu ama makampuni yenye fedha ndefu hivyo inaweza tokea tu mtu mwenye pesa akaamua kubuy au kusell huge wkt analysis yako ilikua inaonyesha kubuy mfano zamani alifanya George Soros hadi kuishusha pound. So kwenye mazingira haya ile hasara ulioipanga itaondoka na wewe utassess upya na kuendelea na soko. Ishu ya wengi utaanza kupingana na soko na kusema aaah hii lazima iende huku na utazidi kuongeza positions huku soko linaenda tofauti ila wewe utafikiri unamiliki pesa zote duniani utaendelea kulazimisha soko liende upande wako na mwisho unaunguza account. So kwa kifupi kwenye forex ni muhimu kujifunza vizuri na kufanya majaribio ikiwamo na kuweka mind yako vizuri.
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
i have been in thee game for the last three years since 2019, i agree that i have made big loses n less profits.

Forex trading real, the problem with you is that your greed n you want quick money it wont work
Forex is 80%waiting n 20% trading.
um in the game for life risk management is the key never fight the market, follow wht it is doing.
 
katika mt5 yako fungua demo account kisha rudi real account ukisha weka pair yako kaiweke sawa na kule kwenye demo kisha angalia na trading view same pair hiyohiyo utaweza kutana na kitu cha ajabu mno
Wewe ni muongo mkubwa nimekushtukia[emoji2]
 
unapoweka lot size kubwa mtaji ukiwa mdogo tafasiri yake nikwamba unauhakika na soko lako,
sasa kama unauhakika nasoko na bado mtu anakupangia namna yakwenda na soko hakuna maana yakuwa na elimu,
elimu nikwamba usome uelewe ujitambue na uweze kujiongoza katika maamuzi,
but why forex huwezi kaa ukajiongoza hata kama una elimu nzito? mwisho wasiku unaendelea tena kusimawi vilevile wala hauna uhakika wakumake profit hata kidogo,
nipe sababu za msingi za hao profitable trader kukimbilia kuwa brokers ikiwa ukiwa trader still unamake profit kubwa tu
Kwa hii commemt wewe ulikusa bado mchanga

Kila kitu kinafata mashrti yake hakuna kubadili masharti eti kisa unajiamini

Fuata huo utaratibu mwaka mzima uone kama utachoma account hasa kama njia yako ni ya ukweli.
 
Inaonekana hujui ishu inaitwa diversification. Humuoni Mo anamakampuni kibao hadi mkonge analima? Kwenye biashara usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja. Ishu ya forex inarisk kubwa kwakua wengi hawataki kukubali yakua pair/indices au zile volatility zinaweza kwenda tofauti na analysis zao
Don't take Mo as reference Mana mo sio traders Wala investor Bali Ni businessman.
Sasa mie nakupa reference ya gwiji mmoja alisema diversification is for who don't know what are they doing, they aren't sure of their professionals. pia alisema risk comes of not knowing of what are you doing.Pengine nakubaliana na wewe. Hebu niambie Ni wapi gwiji ambao Ni traders ambao walimeki above $100M walikuja kujifanya Kama wanakupenda kukuelekeza wanakuuzia services of trading.
Listen if you really know this shit you make very fuckin money than selling trading services.
Show me the books written by Jesse Livermore,Joji Soros,Richard Dennis,William Eckhart,Bill lipschtiz, Paulo Tudor Jones.
Pia hao Wana brag mitandaoni wauze hata waonyeshe withdraw ya dola alfu kumi from broker to their Bank account uwaone watakavyotoa povu mkuu.
Listen teaching trading is very easy is like childish game but the real game is really played by men when real money is on the line.
Many can talk the talk but few can walk the walk when real money is on line.
You've to have a thick skin or ice cold in your blood vessels.
Kufundisha Vita Ni rahisi mno yaani mno mkuu,demo is like plastic bullets but the real fight with real risasi utakutana na wanaume wachache mno.
Kama hutaki shupaza kichwa. Pia Kama unaifanya hupati muda wa ku brag in social networks pia unakuwa hujaji master your mental emotions effectively.
Hebu check jamaa mmoja mjapani anaitwa Takashi Kotegawa alitoa akaunti from $13600 to $158M Sasa niletee video hata take moja alipokuwa anafundisha Kuna laki hapa mfuko wa shati nakupa.

Tunaishi dunia ya information yaani chochote ukitaka unakipata ndani ya sekunde. Sasa hatari tuliyo nayo Ni Aina gani ya real, genuine information.
Kizazi Cha saivi we've to be able to learn, to learn unlearn,to relearn,filter right information Mana kila mtu anaweza akaaandika hints za kiafya ingawa sio kuwa Yuko entitled to it,not answerable to it.
Trading Haina tofauti hakuna right education ambayo Ni easily available,kila mtu anafundisha alichosoma kwa pdf fulani.
Yaani Kuna education imejaa kila Kona Sasa je Ni right education jiulize Kama Ni right education why this industry has more failure rate?
It's impossible to fail in 50/50 but we fail.
Waandika vitabu pages za kufa mtu hawana rekodi za trading.
Cheers endelea kukomaaa sibishani Ila we share our experiences,pia sihitaji kuwa mshindi mie Ni kilaza napiga demo account so relax am still newbies.
Stay with your beliefs
 
Don't take Mo as reference Mana mo sio traders Wala investor Bali Ni businessman.
Sasa mie nakupa reference ya gwiji mmoja alisema diversification is for who don't know what are they doing, they aren't sure of their professionals. pia alisema risk comes of not knowing of what are you doing.Pengine nakubaliana na wewe. Hebu niambie Ni wapi gwiji ambao Ni traders ambao walimeki above $100M walikuja kujifanya Kama wanakupenda kukuelekeza wanakuuzia services of trading.
Listen if you really know this shit you make very fuckin money than selling trading services.
Show me the books written by Jesse Livermore,Joji Soros,Richard Dennis,William Eckhart,Bill lipschtiz, Paulo Tudor Jones.
Pia hao Wana brag mitandaoni wauze hata waonyeshe withdraw ya dola alfu kumi from broker to their Bank account uwaone watakavyotoa povu mkuu.
Listen teaching trading is very easy is like childish game but the real game is really played by men when real money is on the line.
Many can talk the talk but few can walk the walk when real money is on line.
You've to have a thick skin or ice cold in your blood vessels.
Kufundisha Vita Ni rahisi mno yaani mno mkuu,demo is like plastic bullets but the real fight with real risasi utakutana na wanaume wachache mno.
Kama hutaki shupaza kichwa. Pia Kama unaifanya hupati muda wa ku brag in social networks pia unakuwa hujaji master your mental emotions effectively.
Hebu check jamaa mmoja mjapani anaitwa Takashi Kotegawa alitoa akaunti from $13600 to $158M Sasa niletee video hata take moja alipokuwa anafundisha Kuna laki hapa mfuko wa shati nakupa.

Tunaishi dunia ya information yaani chochote ukitaka unakipata ndani ya sekunde. Sasa hatari tuliyo nayo Ni Aina gani ya real, genuine information.
Kizazi Cha saivi we've to be able to learn, to learn unlearn,to relearn,filter right information Mana kila mtu anaweza akaaandika hints za kiafya ingawa sio kuwa Yuko entitled to it,not answerable to it.
Trading Haina tofauti hakuna right education ambayo Ni easily available,kila mtu anafundisha alichosoma kwa pdf fulani.
Yaani Kuna education imejaa kila Kona Sasa je Ni right education jiulize Kama Ni right education why this industry has more failure rate?
It's impossible to fail in 50/50 but we fail.
Waandika vitabu pages za kufa mtu hawana rekodi za trading.
Cheers endelea kukomaaa sibishani Ila we share our experiences,pia sihitaji kuwa mshindi mie Ni kilaza napiga demo account so relax am still newbies.
Stay with your beliefs
Naona kuna ishu zinakusumbua sana kwenye mind yako. Ni hivi forex ni risk business hivyo watu wanatafuta namna ya kupunguza risk mojawapo ni hiyo kuwafundisha wengine au hata kuwa broker. So imagine ukiwa na wanafunzi 1,000 wakakulipa $50 kwa mwezi si chap umepata easy money ya $ 50,000!. Ninachokwambia sio kila biashara ni ya kila mtu hasa forex maana kwenyewe saikoloji ndio ishu kubwa sana sasa na wewe unataka kile unachoamini au kujua ndio kiwe always kwa akili hii forex huiwezi utapoteza sana pesa. Forex inataka ujue yakua soko linaweza kwenda vyovyote kwa wakati wowote lakini wewe unataka soko liende kama analysis yako kila wakati so utapigwa tu. Mfano leo akienda mfanyabiashara sokoni kariakoo akawa na magunia milioni moja ya mahindi anauza unafikiri nini kitatokea kwenye bei? ninachomaanisha wakati wowote kwenye forex anaweza tokea mwenye pesa say hedge funds au banks au large trader akaingiza sokoni big lot kutokana na mtaji wake hapo soko litamfuata yeye haijalishi set up au structure ilikuaje. Ukifaham hili always utalinda mtaji wako na kujifunza zaidi analysis. Forex sio rahisi na huku kuna wenye pesa na utaalam sana so ukiingia kichwa kichwa unaliwa tu. So for now jifunze kile unaweza fanya na kifanye always utapata odds za kuwin kubwa. By the way kwenye forex inafaa ujue hakuna strategy iliobora 100% ila kuna trader ambao ni bora 100% mfano anaweza kuwa na strategy yenye win ratio ya 40% maana yake ktk mfano trade 10 anakua sahihi 4 ila ktk hizo 4 anatengeneza mpunga mrefu zaidi ya alichopoteza hii ndio inaitwa consistency.
 
ivoooo
 

Attachments

  • F6C4701F-F6DC-4C9A-B59D-0C095BBD1BD9.png
    F6C4701F-F6DC-4C9A-B59D-0C095BBD1BD9.png
    74 KB · Views: 31
Naona bado hujajua unachokifanya Sasa trading ndio Ina easy money sema kuzipata Ni ngumu. Trading is the hardest way to get easy money.
imagine ukiwa na wanafunzi 1,000 wakakulipa $50 kwa mwezi si chap umepata easy money ya $ 50,000!.
 
Listen analysts dont make money bro trust me. Wanafundisha trust me.making money isn't a function of your analysis.kumbuka unaongea na kilaza Kama wewe Ni guru sawa.
Forex inataka ujue yakua soko linaweza kwenda vyovyote kwa wakati wowote lakini wewe unataka soko liende kama analysis yako kila wakati so utapigwa tu
 
Mfano leo akienda mfanyabiashara sokoni kariakoo akawa na magunia milioni moja ya mahindi anauza unafikiri nini kitatokea kwenye bei? ninachomaanisha wakati wowote kwenye forex anaweza tokea mwenye pesa say hedge funds au banks au large trader akaingiza sokoni big lot kutokana na mtaji wake hapo soko litamfuata yeye haijalishi set up au structure ilikuaje.
You're alright.
 
Back
Top Bottom