Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiooo na ndio uhakika kitanifikisha kwa muda ninaoutakaKwani wewe icho unachokomaa nacho unasubiria kujenga ghorofa ama.
hiki ndio nimeamua mimi kufanya
M pesa na Templer wana mkataba unaweza Ku deposit kwa Mpesa na kuwithdrawal kwa mpesaM -pesa unadeposit kwa kutumia mastercard au agent. Na with draw unatumia agent au directly
akalime au akafanye biashara zingine nafasi bado ipo ya kuzalisha mabilionea kumi kwenye ukooHuyu jamaaa alieandika huu Uzi kanichekesha sana ila so mbaya kila MTU ana haki ya kutoa anachofikiri .Sema tatizo lako na Forex lilianza ulipowaza "kutengeneza mabillionea kumi kwenye ukoo wako kupitia Forex",labda nachoweza kusema Mimi Forex is a real business with great rewards as well as great risky .RISKY MANAGEMENT IS EVERY THING
Kuna watu wanaishi hawana keshi mkononi namie nikiwemo mkuu.
Yaani Kama nikiingia hapa malaika beach resort nikispend ni mwendo wa visa card.
Sehemu nyingi sana wanakubali card mbona.
Hayo yalikuwa ya zamani wafanyabiashara wanasafiri hela za dukani kwenye begi ndugu,dunia imechenji Sana,Kama Malaya wamla unalipa kwa mpesa. Yaani keshi ni kidogo Sana.kwanza kwa usalama wako unaweza ukatekwa.
Hebu wewe lete za kwako tuone kwa unachokifanya.
Yani mpaka nashangaa sijui watu wanaifikiriaje trading ama investment.
Warren Buffet hii alianza akiwa 11 yrs baba yake alikuwa ni stocker broker so kijana aliianza fani mapema sana.huku tukiwa gizani tukiwa tunajua kuibiana ng'ombe na kuua Simba kuwa ndo unaonekana mwanaume.
Pamoja sana. Nawewe Sasa unataka tukifuate hicho Cha kwako amandiooo na ndio uhakika kitanifikisha kwa muda ninaoutaka
hapana hakuna mahali nimesema mkifuate ama msikifuatePamoja sana. Nawewe Sasa unataka tukifuate hicho Cha kwako ama
issue sio kutrade tuuu ila issue nikwamba je itakufikisha kwenye malengooo?
muhimu iashara iwe inaweza kukua, sasa ukiwa na biashara ambayo haijarishi umeielewa kiasi gani bado hauna uhakika wa faida kipengele tayari hicho