Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Ngonjera tupu. Don't pretend that you know things better than others. Leave alone those who are still trading forex. Remember NOT EVERYTHING IS FOR EVERY ONE. FIND WHAT YOU CAN AFFORD TO DO BETTER.
acha upuuzi wewe nimesema neno langu sio sheria hayo ninmaamuzi yangu na sababu zangu sasa ngonjera zinatoka wapi?
inauma ukweli mkiambiwa ama?
 
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX haikufai market itakuwa ilikufua kweli kaa pembeni acha wanaume tufanye kazi
kwahiyo mwenzetu unasubiria kujenga gorofa na forex au sio? na wakat huohuo unaendelea kukomaa na maisha mengine
#nonsense
 
we don't have perfect analysis, we have basic rules
 
ukiwa na maarifa mengi inawezekana kukuza 10usd to 500usd, kwa muda mfupi with both high and low lot size, ukiwa na maarifa madogo ni vyema ukaingia ukiwa na capital kubwaa coz ni rahisi kuhandle negative pips nyingi kuliko ukiwa na low capital
 
market direction is out in your control, trading rules is within in your control
so focus on what you can control.
kutumia lot size kubwa ukiwa na low capital ni sawa na kulala na mwanamke bila kinga ukamwamini hana virusi vya ukimwa, so muda wowote unageuzwa miguu juu kichwa chini au unaweza pata utamu pasipokupata virus
 
haujaelewa mada yangu ndugu na haujaelewa kapuku ni nani
house always win usipoelewa kanuni bado utaendelea kupigwa always, utavumilia na kupoteza muda utakuja kuamka ukiwa umekwisha chelewa
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX
kwahiyo mwenzetu unasubiria kujenga gorofa na forex au sio? na wakat huohuo unaendelea kukomaa na maisha mengine
#nonsense
Mimi nafanya kazi at the same time nina trade...
you got that! haya mambo kama yamekupitia kushoto acha usilazimishe wengine wakufuate ww looser.......
waachie wengine wanaojua.....
usije pasuka mkyundu wote
 
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX

Mimi nafanya kazi at the same time nina trade...
you got that! haya mambo kama yamekupitia kushoto acha usilazimishe wengine wakufuate ww looser.......
waachie wengine wanaojua.....
usije pasuka mkyundu wote
uko sahihi mzee mwanaume aliyewekewa limbwata na mke wake hawezi kujitambua hasilani,

biashara usiyoilewa hasara yake huwezi kujua unapoteza nini,

laiti ungejua thamani ya muda huwezwa kuthaminishwa na uwezo wa kufikiri basi ungejitambua pia.

samaki havuliwi feli mzee huyo hununuliwa jifunze kuelewa nyavu na bahari yako kabla haujajiona wewe ndio mvuvi hodari
 
uko sahihi mzee mwanaume aliyewekewa limbwata na mke wake hawezi kujitambua hasilani,

biashara usiyoilewa hasara yake huwezi kujua unapoteza nini,

laiti ungejua thamani ya muda huwezwa kuthaminishwa na uwezo wa kufikiri basi ungejitambua pia.

samaki havuliwi feli mzee huyo hununuliwa jifunze kuelewa nyavu na bahari yako kabla haujajiona wewe ndio mvuvi hodari
Jana hiyo ww kiazi.....
watu tumetengeneza profit kama kawa kama dawa

Screenshot_20210904-145405.png
 
Forex... forex.... forex, kuna mtu mwingine juzi humu kalialia sana kupoteza hela mpaka anamtukana demu wake aliemsaidia milioni 1 na nusu. Vijana mtapata ukichaa kwa hela za kwenye screen za simu na computer wanazowadanganya wazungu, hela ambazo sio tangible.. huishiki. Fanya kazi nyingine ongeza kipato chako bila stress za mitandao kuzima kama ilivyozimwa D9Clube.. mbona hela zipo kwingine kwingi tuuu? kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja??? uliskia wapi hela inatafutwa hivyo? hela ifuate... hela kapigane ngumi na vijana wanakuibia... hela katoke jasho tukuone... hiyo ndo hela halali, na hela inakua tamu umeisotea... nenda kariakoo kalenge viatu, yebo za kanye, au nguo kauze mkoani huko mwanza, kigoma na mikoa mingine.. kapande Kisbo, Nyehunge.. kagombane na makonda wa mizigo... uspo pata hela njoo ututukane wote humu tumekudanganya. Usije kulia lia na mambo yenu ya forex au wale jamaa wa QNET kila muda goodmorning kama vichaa. Badilikeni ... tutawaskia wengi tuu wanakuja na hasira zao humu..
Aiseee umeharisha kinoma !
 
Mkuu acha usanii weka transaction hizo kila mtu anaweza
Transaction kama hii ya jana au!?
ukiona huwezi unapita vile sipo hapa kwa ajili ya kushawishi yyte.....
nilitaka kumjibu huyo kilaza hapo juu kuna watu wanaweza

Screenshot_20210904-154718.png
 
Forex... forex.... forex, kuna mtu mwingine juzi humu kalialia sana kupoteza hela mpaka anamtukana demu wake aliemsaidia milioni 1 na nusu. Vijana mtapata ukichaa kwa hela za kwenye screen za simu na computer wanazowadanganya wazungu, hela ambazo sio tangible.. huishiki. Fanya kazi nyingine ongeza kipato chako bila stress za mitandao kuzima kama ilivyozimwa D9Clube.. mbona hela zipo kwingine kwingi tuuu? kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja??? uliskia wapi hela inatafutwa hivyo? hela ifuate... hela kapigane ngumi na vijana wanakuibia... hela katoke jasho tukuone... hiyo ndo hela halali, na hela inakua tamu umeisotea... nenda kariakoo kalenge viatu, yebo za kanye, au nguo kauze mkoani huko mwanza, kigoma na mikoa mingine.. kapande Kisbo, Nyehunge.. kagombane na makonda wa mizigo... uspo pata hela njoo ututukane wote humu tumekudanganya. Usije kulia lia na mambo yenu ya forex au wale jamaa wa QNET kila muda goodmorning kama vichaa. Badilikeni ... tutawaskia wengi tuu wanakuja na hasira zao
We endelea kukariri maisha tu uone wanao watakqvyo kuja kukushangaa uko mbeleni, alafu alekuambia fx Kuna pesa rahis Nani who told you hahaha unakesha usiku mzima kusubir confirmation ,unafikir no ku click tu so Kila mtu Angelia na lambo mjini hapa, fx sio kwa watu wenye roho laini laini hivi we unaweza endelea kuwa normal ilihali asubuh tu umetoka Kila loss ya 2000$+ mi nakumbuka sometime unapata had homa unalal mud huo huo fx is simple money in harsh way. Ila ukishamaster aisee fx ni tamu Sana Sana tu Ila msoto lazima
 
Biashara yoyoyte Ile ina pande2 faida au hasara same applies to Forex
Upo sahihi Kwa mtazamo wako lakini pia wapo wanaomake money daily katika hiihii biashara unayoiona SIO
nakupa mfano mmoja mzuri mfatilie [emoji1666]Raja banks YouTube live during American session kila siku anatrade live anamake money live mkiona ukiamua kucopy mnawin pamoja ama mnaloose pamoja as well Ila mwisho wa wik ukipiga esabu loses Vs win unajiluta unaprofit zako

Kila biashara haiwezi kwenda vile unavyotaka, maana kuna ushindani ata huko forex lazima uwepo baina ya wauzaji na wanunuzi. Kikubwa ukikiheshimu unachofanya kitakupa faida ata baada ya mwaka, miaka. Ngoja sisi tuendelee kuuza tofali tuu

Unatumia bank gani?
 
Back
Top Bottom