Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Makapuku si ndio kama huyu mleta mada analia lia...... hajui maana ya consistent hajui risk management..... anyway am busy nasubiri NFP badae saa tisa na nusu
haujaelewa mada yangu ndugu na haujaelewa kapuku ni nani
house always win usipoelewa kanuni bado utaendelea kupigwa always, utavumilia na kupoteza muda utakuja kuamka ukiwa umekwisha chelewa
 
FX ni hesabu..... huwezi uka inverst dola 200 ukaweka lot size ya 10x3 or 10x2 hayo ni makosa makubwa ukiwa na dola 200 target profit ya dola 3 mpaka 4......kwa lot size ya0. 01x3 or 0.01x4...
Hata market ikienda against ww unakuwa na loss ya 4 USD unaweka dola 200 unataka kesho upate dola 400 utajiri wa haraka haraka upuuzi....
Ukiweka lot size kubwa mtaji mdogo hapo unakuwa unafanya gambling
unapoweka lot size kubwa mtaji ukiwa mdogo tafasiri yake nikwamba unauhakika na soko lako,
sasa kama unauhakika nasoko na bado mtu anakupangia namna yakwenda na soko hakuna maana yakuwa na elimu,
elimu nikwamba usome uelewe ujitambue na uweze kujiongoza katika maamuzi,
but why forex huwezi kaa ukajiongoza hata kama una elimu nzito? mwisho wasiku unaendelea tena kusimawi vilevile wala hauna uhakika wakumake profit hata kidogo,
nipe sababu za msingi za hao profitable trader kukimbilia kuwa brokers ikiwa ukiwa trader still unamake profit kubwa tu
 
unapoweka lot size kubwa mtaji ukiwa mdogo tafasiri yake nikwamba unauhakika na soko lako,
sasa kama unauhakika nasoko na bado mtu anakupangia namna yakwenda na soko hakuna maana yakuwa na elimu,
elimu nikwamba usome uelewe ujitambue na uweze kujiongoza katika maamuzi,
but why forex huwezi kaa ukajiongoza hata kama una elimu nzito? mwisho wasiku unaendelea tena kusimawi vilevile wala hauna uhakika wakumake profit hata kidogo,
nipe sababu za msingi za hao profitable trader kukimbilia kuwa brokers ikiwa ukiwa trader still unamake profit kubwa tu
Kuwa Broker ni mtaji mkubwa hao ma broker wanatred vile vile.....
Alafu nimegundua ww ni mweupe kabisa kwenye FX.......
Currency value can change every minute huwezi kuwa 100 percent sure.....
ndio maana lazima uzingatie risk management....
 
hilo ndio tatizo la forex
kwanini useme mtu anakuwa na hofu au anakuwa haraka yakupata pesa?
kama unaweza ukawa unachambua soko na ukawa na sababu yakukuonyesha kuwa hili soko sahihi kwanini usiweke lot kubwa na ukapiga mapesa?

ninachokielewa ni hiki unaweka bima sababu hauna uhakika wakupata faida , unapewa tahadhari vhungu nzima sababu unakuwa hauna uhakika wakupiga pesa namna hiyo,
nimetenga miaka minne nadeal na forex moja kwa moja na sikuwa mfanyakazi wa mahali popote mimi kijana wa nyumbani tu hivyo nakuwa na muda mwingi wakujisomea na kuongeza ujuzi
but mwisho wasiku inakuwa shida sababu there is no any mechanism of profit na biashara ikiwa hivyo tayari sio biashara kabisa hata kidogo ndio maana kaika forex huwezi fanya your ways sababu huwezi kuelewa kitu ambacho hakipo katika uhalisia,
hela yakwako elimu ya kwako ujuzi wakwako lakini bado haupaswi kupigana kwa kanuni zako.
usipokielewa hiki nimekiandika hapo juu, jua kuna shida kubwa inakukabili mbele yako juu ya maamuzi sahihi ya maisha,
neno langu sio sheria ila walau jitahidi basi kuelewa kwanini huyu mwizi kaiba kabla haujaua, unaweza kushangaa sana ukielewa sababu
Yaani unavyoongea unajivua nguo jinsi ambavyo bado hujaelewa what's trading and life is all about mdogo wangu.

Yaani mpaka nakuhurumia. Nashauri tu ungenyamaza Wala sio kuja kuwaonyeshea watu kuwa hii makitu sio ,okay sio kwako Ila sio kwa universe.

Listen Ford word of wisdom " two men ,one says impossible and one says possible,two are equal alright"
Nimemaliza
 
Kuwa Broker ni mtaji mkubwa hao ma broker wanatred vile vile.....
Alafu nimegundua ww ni mweupe kabisa kwenye FX.......
Currency value can change every minute huwezi kuwa 100 percent sure.....
ndio maana lazima uzingatie risk management....
Yes ni mweupe na anajiabisha pia.anakomaa na eti uweke lot size kubwa Mana kisa una uhakika.
Binafsi namhurumia. Yaani yeye angeomba msaada.
Afu huyu ni type ya alpha male hawezi fanya hii kitu inaonekana.yaani alivyokuwa anakomaa shule anapata kuwa namba moja so imemuathiri so na huku anajua akikomaa Mambo yatakuwa Kama huko before.

Pia ni dizaini ya watu ya wanaopenda binary options answers like yes or no,black or white, 100% or 0% sure thing.

Yaani hii makitu Kuna Aina kabisa ya vichwa inavitema.
So unapotemwa sio kuwa haufai.
This mental game and not hard work game.
 
Kuwa Broker ni mtaji mkubwa hao ma broker wanatred vile vile.....
Alafu nimegundua ww ni mweupe kabisa kwenye FX.......
Currency value can change every minute huwezi kuwa 100 percent sure.....
ndio maana lazima uzingatie risk management....
Afu Ras Jeff wewe sio kuwa ndiye Ontario kweli jamani.
Mie hii kitu nimeipatia kwa Ontario Ila nimekomaa nayo sio maelezo kiukweli nj ngumu na tulipotezwa kuwa ni hela ya fasta Sana.
Ila this fascinating game to deal with.
 
nimetenga miaka minne nadeal na forex moja kwa moja na sikuwa mfanyakazi wa mahali popote mimi kijana wa nyumbani tu hivyo nakuwa na muda mwingi wakujisomea na kuongeza ujuzi
Mkuu yaani suala la muda uliowekeza sio guarantee. Practice make permanent but right practice makes perfect bear it in mind.
Waweza komaa maisha yako Ila usitoboe.
Kusoma kusoma gani na unasoma Nini na iyo elimu Nani akaipitisha kuwa ndo right education.

Kumbuka tu ni kuwa hii ishu ni ngumu hata huko nje wanachezea za uso wanakimbilia kufungua u broker,kufundisha na kutunga vitabu wauze na kuwa YouTubers.

Sikia vitabu vya trading unajaza hata semi Mia moja Ila the real books from traders hand and experience unavishikilia mkononi na unatembea navyo.
Ishu hii sio ya kukomaa Sana kuwa ndio tiketi ya kufaulu.
Unaweza unaambiwa Cha kufanya ndani ya masaa manne na ukawa unameki money but if you've right mindset
 
hili soko sahihi k
Hapa ndo panapokusumbua.point ya mafanikio na kutofanikiwa ni ndogo Sana. Ile wanasema a thin layer.
Pia kufundisha sio kuwa ndo mtu anaweza akameki mane.
Many talk the talk but few can walk the walk when real money is online.
 
haujaelewa mada yangu ndugu na haujaelewa kapuku ni nani
house always win usipoelewa kanuni bado utaendelea kupigwa always, utavumilia na kupoteza muda utakuja kuamka ukiwa umekwisha chelewa
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX haikufai market itakuwa ilikufua kweli kaa pembeni acha wanaume tufanye kazi
 
Ngoja tuendelee na huu "utopolo"
Screenshot_20210903-222517.jpg
 
kaka pole sana fuatilia niliko toka naye ndio utaelewa imekuwaje
pia sina maana get rech fast ila nina maana ukielewa biashara yako nirahisi kujua namna gani unaweza kudoble faida,
nimecheza na forex miaka minne, mtaji total ilikuwa ni usd 800,
within miaka minne total withdraw 6350 huku aiwa amekula zaidi ya hiyo niliyotoa ila naona nimamake profit sababu sijawahi deposit zaidi ya hiyo niliotoa 800.
soma vyema hoja yangu utanielewa, pia sikusema neno langu ni sheria, shida ya huyo jamaa anataka aweke neno lake ni sheria.
pia zaidi ya yote mnaitetea forex huku mkiwa mmeshindwa kujibu maswali yangu kiufasaha.

above all kila mtu huvumilia biashara fulani kwa kuzingatia malengo yake yaliyo mbele,
ukiwa unawazo la kujenga tu kakibanda kadogo kakuishi hata kuuza sambusa inakufaa tu, lakini ukiwa na wazo la kumiliki real estate lazima utabadirika katika utendaji wa biashara zako.
mmoja anapowaza ndani ya miaka mitano awe sehemu fulani basi kimawazo na jitihada atakuwa tofauti na anayeweza siku yoyote atafanikiwa .

soma tena andiko langu utanielewa sio mnapinga pinga tu
Alafu ulikuwa "unacheza forex" ndio maana ukakimbia pole sana mkuu
 
Wenyewe wanakwambia Forex is not for everyone.
Ngojea porojo na screenshot za profit toka Kwa Forex "professional traders" WA tz.
tatizo nao matrader wengi wanapiga mboyoyo huko telegram. Mara signal, mara mentorship mpka unajiuliza wana roho gani ya namna ya kusaidia wengine namna hiyo .
 
Kuwa Broker ni mtaji mkubwa hao ma broker wanatred vile vile.....
Alafu nimegundua ww ni mweupe kabisa kwenye FX.......
Currency value can change every minute huwezi kuwa 100 percent sure.....
ndio maana lazima uzingatie risk management....
Hata mi nimemgundua jamaa ni mweupe kabsa kapuku uanzishe brokerage y fx utakua uongo ni yy aliamua kuexpand wigo
 
Sports betting is far better than forex..
That's according to you. Hata mimi naweza sema kulima tikiti is far better than sport betting. Not everything is for everyone. Do what you can afford to do.
 
hilo ndio tatizo la forex
kwanini useme mtu anakuwa na hofu au anakuwa haraka yakupata pesa?
kama unaweza ukawa unachambua soko na ukawa na sababu yakukuonyesha kuwa hili soko sahihi kwanini usiweke lot kubwa na ukapiga mapesa?

ninachokielewa ni hiki unaweka bima sababu hauna uhakika wakupata faida , unapewa tahadhari vhungu nzima sababu unakuwa hauna uhakika wakupiga pesa namna hiyo,
nimetenga miaka minne nadeal na forex moja kwa moja na sikuwa mfanyakazi wa mahali popote mimi kijana wa nyumbani tu hivyo nakuwa na muda mwingi wakujisomea na kuongeza ujuzi
but mwisho wasiku inakuwa shida sababu there is no any mechanism of profit na biashara ikiwa hivyo tayari sio biashara kabisa hata kidogo ndio maana kaika forex huwezi fanya your ways sababu huwezi kuelewa kitu ambacho hakipo katika uhalisia,
hela yakwako elimu ya kwako ujuzi wakwako lakini bado haupaswi kupigana kwa kanuni zako.
usipokielewa hiki nimekiandika hapo juu, jua kuna shida kubwa inakukabili mbele yako juu ya maamuzi sahihi ya maisha,
neno langu sio sheria ila walau jitahidi basi kuelewa kwanini huyu mwizi kaiba kabla haujaua, unaweza kushangaa sana ukielewa sababu
Ngonjera tupu. Don't pretend that you know things better than others. Leave alone those who are still trading forex. Remember NOT EVERYTHING IS FOR EVERY ONE. FIND WHAT YOU CAN AFFORD TO DO BETTER.
 
Forex... forex.... forex, kuna mtu mwingine juzi humu kalialia sana kupoteza hela mpaka anamtukana demu wake aliemsaidia milioni 1 na nusu. Vijana mtapata ukichaa kwa hela za kwenye screen za simu na computer wanazowadanganya wazungu, hela ambazo sio tangible.. huishiki. Fanya kazi nyingine ongeza kipato chako bila stress za mitandao kuzima kama ilivyozimwa D9Clube.. mbona hela zipo kwingine kwingi tuuu? kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja??? uliskia wapi hela inatafutwa hivyo? hela ifuate... hela kapigane ngumi na vijana wanakuibia... hela katoke jasho tukuone... hiyo ndo hela halali, na hela inakua tamu umeisotea... nenda kariakoo kalenge viatu, yebo za kanye, au nguo kauze mkoani huko mwanza, kigoma na mikoa mingine.. kapande Kisbo, Nyehunge.. kagombane na makonda wa mizigo... uspo pata hela njoo ututukane wote humu tumekudanganya. Usije kulia lia na mambo yenu ya forex au wale jamaa wa QNET kila muda goodmorning kama vichaa. Badilikeni ... tutawaskia wengi tuu wanakuja na hasira zao humu..
 
Back
Top Bottom