Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Now mwamba ana drive Jaguar
Forex hustle is real wakuu
Mimi huwa naenda sana pale ofisini kwake kula nondo taratibu Coz maarifa hayana mwisho
I agree but uongeze na ujanja ujanja unaokaribiana na utapeli .
Huyu jamaa kajipitisha na kapitishwa kwenye tabu nyingi mpaka kafikia hapo na siyo kuweka buy or sell tu.
 
Aiseh bado tuna safari ndefu kama nchi...wewe umeshawahi kuona chombo chochote kinacho regulate business dunia nzima? Kuwa tukitaka ku exchange pesa baina ya nchi na nchi lazima twende kwenye hicho chombo cha dunia nzima?

Brokers wako regulated na sheria za nchi husika walikojisajilia. Ila forex ni something global, haina mipaka, haina central authority, ni networks of banks and other players at once. Hauwezi kusema internet ni fake kwa vile haimilikiwi na any central authority.

Bila shaka umeshasikia kuna kitu kinaitwa "soko la dunia" utasikia kuwa mafuta yamepanda bei kwenye soko la dunia...hilo soko la dunia umeshawahi kuliona? Kuwa kuna mahala ukifika unaambiwa hapa ndiyo soko la dunia? Nani ana regulate hilo soko la dunia?

Inatia simanzi kuona kijana anasema forex ni utapeli kwa vile haijasajiliwa popote. Sasa ukisikia kuwa hadi central banks zinafanya Forex si utasema nazo ni matapeli?

Hii suala la virtual money sijui haulielewi kwa nini wakati ni simple concept kabisa..! Kabla hela haijaonekana kwenye account yako ya forex ni lazima udeposit...u-fund hiyo account kupitia njia zinazoruhusiwa..eg bank, Mobile money etc.

Na mtu anapoeda kudeposit maana yake ametoa physical money kampa whoever is concerned na hiyo taasisi ikamuwekea fedha hizo kwenye account yake ya Fx.

So zinapo appear kama virtual money once account ikiwa funded ni kuwa mchakato ulianza na kudeposit kwanza...trader alitoa kiasi fulani kwanza either toka bank account au mobile au njia nyingine akaziweka kwenye forex account.

So hizo unazoziita sijui virtual money...hazitokei tu out of nowhere. Zina backing ya fiat money..tangible money.

Wewe ukiwa na laki 5 kwenye Mpesa yako...hizo si fedha halisi kwa sababu tu hazishikiki? Ukimtumia mtu kutoka kwenye hiyo mpesa kunakuwa na makato ya kodi, service fees za makampuni.

Hizo pesa za makato wahusika wanazipataje kama ni virtual money tu? Maana unapokatwa kodi ya serikali na tozo pindi ufanyapo muhamala hakuna sehemu ambayo serikali inapelekewa ile pesa yake physically...sasa serikali inaipataje hiyo pesa ya tozo? Think critically.

Mtu akikutumia milioni 40 TZS toka akaunti yake kuja kwako....hizo pesa huwa unaletewa physically ndipo tuseme ni real money? Elewa kuwa money inaweza kuwa transferred electronically na bado ikabaki kuwa ni ile ile.

So hizo fedha zote unazoziona kwenye forex market zilianza na mchakato wa kuwa funded kwenye accounts za wahusika. Ni sawa na wewe uende bank kwa teller u deposit pesa...anaingia kwenye account yako ambayo ni virtual anaongeza kiasi ulichoweka na kukupa print out slip kama ushahidi wa kuhifadhi fedha. Ila pesa zenu wateja wote zinahifadhiwa sehemu moja. So ushahidi unaoonesha kuwa wewe una kiasi fulani cha fedha bank ni electronic si physical.

Hicho unachokidharau na kukibeza kama virtual money ndiyo kimewapa watu ukwasi. Hisa zinashikika? Ni tangible? Ila si zinauzwa na kununuliwa? Majuzi hapa Gamestop imewafanya traders kuwa overnight millionaires kwa ku trade hisa tu...kuna kijana alinunua hisa hizo kwa 28,000$ zilipopanda thamani akawa na $3.8 M sitting on his account. Ni virtual na ni halisi pia...anaweza kuzi withdraw akazifanyia chochote akitakacho.
Mkuu unamoyo kumuelezea yote haya mi nishamaliza kumuita Bata tu inatosha mtu anafanya forex halafu hata hajui kuwa brokers wanaleseni..🤣
Huyu usikute hata alichagua broker wa hovyo!.
[/QUOTE]
Halafu anakwambia eti alianza forex since 2013. Lakini hadi leo haijui forex inavyo-operate duniani. HUYU NI CERTIFIED KILAZA
 
Now mwamba ana drive Jaguar
Forex hustle is real wakuu
Mimi huwa naenda sana pale ofisini kwake kula nondo taratibu Coz maarifa hayana mwisho
ahaaa unakula nondo gani mkuu, tumbo langu huwa halishibi linataka nondo, sijui kwa nini nisingesomaga mambo ya ucumi tu
 
NIKAJUA NAONGEA NA MTU AMBAYE ZIKO TIMAMU KUMBE UTOPOLO TU

HEBU ANGALIENI MAMBO ANAYOYAWEKA HADHARANI HAYA HAPA AIBU TUPU HARAFU NDIO TRADER

Mke wangu kaniruhusu nimchakate rafikiye kipenzi

HARAFU KUMBE UNARISITI UNAJIFANYA UNATRADE FOREX ACHA UTOTO KIJANA

Reseater form 4 msaada

Jamaa anakujibu kwa busara tena kitaalam lkn wewe ndio waleta utopolo wenyewe.Kwa ujumla wewe you wanted to get rich fast so soko limekutia adabu.Mimi hapa nlipo soko lilisha nitia hasara ya zaidi ya $ 3780 lakini nkarudi kusoma upyaa na ku backtest.Nlichogundua ni kwamba human psychology ndio iliniumiza sana.Kasome kaka.
 
Jamaa anakujibu kwa busara tena kitaalam lkn wewe ndio waleta utopolo wenyewe.Kwa ujumla wewe you wanted to get rich fast so soko limekutia adabu.Mimi hapa nlipo soko lilisha nitia hasara ya zaidi ya $ 3780 lakini nkarudi kusoma upyaa na ku backtest.Nlichogundua ni kwamba human psychology ndio iliniumiza sana.Kasome kaka.
kaka pole sana fuatilia niliko toka naye ndio utaelewa imekuwaje
pia sina maana get rech fast ila nina maana ukielewa biashara yako nirahisi kujua namna gani unaweza kudoble faida,
nimecheza na forex miaka minne, mtaji total ilikuwa ni usd 800,
within miaka minne total withdraw 6350 huku aiwa amekula zaidi ya hiyo niliyotoa ila naona nimamake profit sababu sijawahi deposit zaidi ya hiyo niliotoa 800.
soma vyema hoja yangu utanielewa, pia sikusema neno langu ni sheria, shida ya huyo jamaa anataka aweke neno lake ni sheria.
pia zaidi ya yote mnaitetea forex huku mkiwa mmeshindwa kujibu maswali yangu kiufasaha.

above all kila mtu huvumilia biashara fulani kwa kuzingatia malengo yake yaliyo mbele,
ukiwa unawazo la kujenga tu kakibanda kadogo kakuishi hata kuuza sambusa inakufaa tu, lakini ukiwa na wazo la kumiliki real estate lazima utabadirika katika utendaji wa biashara zako.
mmoja anapowaza ndani ya miaka mitano awe sehemu fulani basi kimawazo na jitihada atakuwa tofauti na anayeweza siku yoyote atafanikiwa .

soma tena andiko langu utanielewa sio mnapinga pinga tu
 
Mkuu unamoyo kumuelezea yote haya mi nishamaliza kumuita Bata tu inatosha mtu anafanya forex halafu hata hajui kuwa brokers wanaleseni..🤣
Huyu usikute hata alichagua broker wa hovyo!.
Halafu anakwambia eti alianza forex since 2013. Lakini hadi leo haijui forex inavyo-operate duniani. HUYU NI CERTIFIED KILAZA
[/QUOTE]
soma kwa umakini nimeeleza nimeijua huo mwaka but kuifanya sijasema nimeanza huo mwaka,
mbona mnaumia sasa? kama mnamake pesa kuna haja gani yakuthibitishia umma kuwa mnamake pesa?
 
Back
Top Bottom