Dit000
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 710
- 1,041
hivi lile gorofa alilokuwa anajenga limekamilika??Ndio mkuu ni broker na ofisi yake inaitwa 360 Capital ipo pale PSSSF Tower jirani na Mlimani City flour ya 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi lile gorofa alilokuwa anajenga limekamilika??Ndio mkuu ni broker na ofisi yake inaitwa 360 Capital ipo pale PSSSF Tower jirani na Mlimani City flour ya 9
😂😂😂Linakamilika soon,then mwaka ujao ananunua Tesla model x SUV.hivi lile gorofa alilokuwa anajenga limekamilika??
ahaaaa hapana😂😂😂Linakamilika soon,then mwaka ujao ananunua Tesla model x SUV.
Vipi lile ghorofa ndio lilikufanya ukaaza kutrade?
Now mwamba ana drive Jaguar😂😂😂Linakamilika soon,then mwaka ujao ananunua Tesla model x SUV.
Vipi lile ghorofa ndio lilikufanya ukaaza kutrade?
ahaaaa hapana
hivi hiyo broker yake anaiendesha vipi? inafanya kazi vipi??😂😂😂Linakamilika soon,then mwaka ujao ananunua Tesla model x SUV.
Vipi lile ghorofa ndio lilikufanya ukaaza kutrade?
Sijaitumia but inaitwa 360capital ltd, complains nyingi ni kwenye withdrawals watu wanachelewa kupata mitonyo.hivi hiyo broker yake anaiendesha vipi? inafanya kazi vipi??
I agree but uongeze na ujanja ujanja unaokaribiana na utapeli .Now mwamba ana drive Jaguar
Forex hustle is real wakuu
Mimi huwa naenda sana pale ofisini kwake kula nondo taratibu Coz maarifa hayana mwisho
MuhimuI agree but uongeze na ujanja ujanja unaokaribiana na utapeli .
Huyu jamaa kajipitisha na kapitishwa kwenye tabu nyingi mpaka kafikia hapo na siyo kuweka buy or sell tu.
hivi lile gorofa alilokuwa anajenga limekamilika??
Mkuu unamoyo kumuelezea yote haya mi nishamaliza kumuita Bata tu inatosha mtu anafanya forex halafu hata hajui kuwa brokers wanaleseni..🤣Aiseh bado tuna safari ndefu kama nchi...wewe umeshawahi kuona chombo chochote kinacho regulate business dunia nzima? Kuwa tukitaka ku exchange pesa baina ya nchi na nchi lazima twende kwenye hicho chombo cha dunia nzima?
Brokers wako regulated na sheria za nchi husika walikojisajilia. Ila forex ni something global, haina mipaka, haina central authority, ni networks of banks and other players at once. Hauwezi kusema internet ni fake kwa vile haimilikiwi na any central authority.
Bila shaka umeshasikia kuna kitu kinaitwa "soko la dunia" utasikia kuwa mafuta yamepanda bei kwenye soko la dunia...hilo soko la dunia umeshawahi kuliona? Kuwa kuna mahala ukifika unaambiwa hapa ndiyo soko la dunia? Nani ana regulate hilo soko la dunia?
Inatia simanzi kuona kijana anasema forex ni utapeli kwa vile haijasajiliwa popote. Sasa ukisikia kuwa hadi central banks zinafanya Forex si utasema nazo ni matapeli?
Hii suala la virtual money sijui haulielewi kwa nini wakati ni simple concept kabisa..! Kabla hela haijaonekana kwenye account yako ya forex ni lazima udeposit...u-fund hiyo account kupitia njia zinazoruhusiwa..eg bank, Mobile money etc.
Na mtu anapoeda kudeposit maana yake ametoa physical money kampa whoever is concerned na hiyo taasisi ikamuwekea fedha hizo kwenye account yake ya Fx.
So zinapo appear kama virtual money once account ikiwa funded ni kuwa mchakato ulianza na kudeposit kwanza...trader alitoa kiasi fulani kwanza either toka bank account au mobile au njia nyingine akaziweka kwenye forex account.
So hizo unazoziita sijui virtual money...hazitokei tu out of nowhere. Zina backing ya fiat money..tangible money.
Wewe ukiwa na laki 5 kwenye Mpesa yako...hizo si fedha halisi kwa sababu tu hazishikiki? Ukimtumia mtu kutoka kwenye hiyo mpesa kunakuwa na makato ya kodi, service fees za makampuni.
Hizo pesa za makato wahusika wanazipataje kama ni virtual money tu? Maana unapokatwa kodi ya serikali na tozo pindi ufanyapo muhamala hakuna sehemu ambayo serikali inapelekewa ile pesa yake physically...sasa serikali inaipataje hiyo pesa ya tozo? Think critically.
Mtu akikutumia milioni 40 TZS toka akaunti yake kuja kwako....hizo pesa huwa unaletewa physically ndipo tuseme ni real money? Elewa kuwa money inaweza kuwa transferred electronically na bado ikabaki kuwa ni ile ile.
So hizo fedha zote unazoziona kwenye forex market zilianza na mchakato wa kuwa funded kwenye accounts za wahusika. Ni sawa na wewe uende bank kwa teller u deposit pesa...anaingia kwenye account yako ambayo ni virtual anaongeza kiasi ulichoweka na kukupa print out slip kama ushahidi wa kuhifadhi fedha. Ila pesa zenu wateja wote zinahifadhiwa sehemu moja. So ushahidi unaoonesha kuwa wewe una kiasi fulani cha fedha bank ni electronic si physical.
Hicho unachokidharau na kukibeza kama virtual money ndiyo kimewapa watu ukwasi. Hisa zinashikika? Ni tangible? Ila si zinauzwa na kununuliwa? Majuzi hapa Gamestop imewafanya traders kuwa overnight millionaires kwa ku trade hisa tu...kuna kijana alinunua hisa hizo kwa 28,000$ zilipopanda thamani akawa na $3.8 M sitting on his account. Ni virtual na ni halisi pia...anaweza kuzi withdraw akazifanyia chochote akitakacho.
hiloapo limekamilika
Hiyo Jaguar ni gari ya bei gani? Nistue ukienda skuingine mkuu..na mimi nipate maarifa hayoNow mwamba ana drive Jaguar
Forex hustle is real wakuu
Mimi huwa naenda sana pale ofisini kwake kula nondo taratibu Coz maarifa hayana mwisho
Poa mzee ila mimi huwa naenda pale kwasababu ya moja wa vijana wa Sirjeff Denis anajiita Captain Eric ndo huwa yupo pale sana, ntakustua one day tuende woteHiyo Jaguar ni gari ya bei gani? Nistue ukienda skuingine mkuu..na mimi nipate maarifa hayo
ahaaa unakula nondo gani mkuu, tumbo langu huwa halishibi linataka nondo, sijui kwa nini nisingesomaga mambo ya ucumi tuNow mwamba ana drive Jaguar
Forex hustle is real wakuu
Mimi huwa naenda sana pale ofisini kwake kula nondo taratibu Coz maarifa hayana mwisho
Jamaa anakujibu kwa busara tena kitaalam lkn wewe ndio waleta utopolo wenyewe.Kwa ujumla wewe you wanted to get rich fast so soko limekutia adabu.Mimi hapa nlipo soko lilisha nitia hasara ya zaidi ya $ 3780 lakini nkarudi kusoma upyaa na ku backtest.Nlichogundua ni kwamba human psychology ndio iliniumiza sana.Kasome kaka.NIKAJUA NAONGEA NA MTU AMBAYE ZIKO TIMAMU KUMBE UTOPOLO TU
HEBU ANGALIENI MAMBO ANAYOYAWEKA HADHARANI HAYA HAPA AIBU TUPU HARAFU NDIO TRADER
Mke wangu kaniruhusu nimchakate rafikiye kipenzi
HARAFU KUMBE UNARISITI UNAJIFANYA UNATRADE FOREX ACHA UTOTO KIJANA
Reseater form 4 msaada
kaka pole sana fuatilia niliko toka naye ndio utaelewa imekuwajeJamaa anakujibu kwa busara tena kitaalam lkn wewe ndio waleta utopolo wenyewe.Kwa ujumla wewe you wanted to get rich fast so soko limekutia adabu.Mimi hapa nlipo soko lilisha nitia hasara ya zaidi ya $ 3780 lakini nkarudi kusoma upyaa na ku backtest.Nlichogundua ni kwamba human psychology ndio iliniumiza sana.Kasome kaka.
kaka bana soma sababu zangu humo ndani sio kichwa tu cha habariKijana huru kala kona kama imekushinda kaa kimya waache wengine waeendelee
Halafu anakwambia eti alianza forex since 2013. Lakini hadi leo haijui forex inavyo-operate duniani. HUYU NI CERTIFIED KILAZAMkuu unamoyo kumuelezea yote haya mi nishamaliza kumuita Bata tu inatosha mtu anafanya forex halafu hata hajui kuwa brokers wanaleseni..🤣
Huyu usikute hata alichagua broker wa hovyo!.
nimesoma vizur imekushinda ww kaa tuliakaka bana soma sababu zangu humo ndani sio kichwa tu cha habari
ha ha ha ha ha