Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

sasa kwanini unasema broker mzuri hacheat sana?
unamajibu humohumo ila hautaki kujiuliza haya huyo broker anajisajili kwa nani?
rudi kwenye andiko langu kuna maswali yapo ya msingi sana pale nisaidie kujibu labda na wadau wengine wanaweza wakaelewa vzuri
Kuna maswal mengiNe hata naona uvivu kuyajibu, broker lazima awe regulated hapa ndo muhimu, je yupo regulated nchi gani na iyo nchi sheria zake za fedha zipoje, mfano ukiona regulated south africa,saint vicent island,shelishel uyo si mzuri trade tu ila si mzur unless unauzoefu nae, rest google
 
ndugu hiyo bado iko hewani sio hela halali nawakali wa photoshop tunafanya kama unakunywa uji tu
tuone aina ya account pale juu tujue real au demo
pia ulipoitoa hiyo hela umeitolea wapi huko ndio tunataka tuone

kwanini msiweke hata bank statement? maana hiyo pesa ndefu kwa simu hauwezi itoa

mnapigwa sana mnaishia kujifariji tu
 
Kuna maswal mengiNe hata naona uvivu kuyajibu, broker lazima awe regulated hapa ndo muhimu, je yupo regulated nchi gani na iyo nchi sheria zake za fedha zipoje, mfano ukiona regulated south africa,saint vicent island,shelishel uyo si mzuri trade tu ila si mzur unless unauzoefu nae, rest google
bado hauelewi somo mzeee

mimi naweza kuwa wakala wa mpesa lakini nikakuambia nipo chini ya vodacom
sasa wew broker wa forex upo chini ya nani jibu swali acha tantalinta
 
bado hauelewi somo mzeee

mimi naweza kuwa wakala wa mpesa lakini nikakuambia nipo chini ya vodacom
sasa wew broker wa forex upo chini ya nani jibu swali acha tantalinta
FCA. Ya nchi husika so manipulation of price itakua kulingana na sheria za nchi husika zitakavyo mbana fullstop. mi simtetei broker coz nawajua michezo yao na si wote hii inafanya angalau uwee na akount kqa broker zaid y mmoja
 
NIKAJUA NAONGEA NA MTU AMBAYE ZIKO TIMAMU KUMBE UTOPOLO TU

HEBU ANGALIENI MAMBO ANAYOYAWEKA HADHARANI HAYA HAPA AIBU TUPU HARAFU NDIO TRADER

Mke wangu kaniruhusu nimchakate rafikiye kipenzi

HARAFU KUMBE UNARISITI UNAJIFANYA UNATRADE FOREX ACHA UTOTO KIJANA

Reseater form 4 msaada

Everyone havs its own fantasy and sharing fun and history , mi ni trader ndio since 2016, pili am younger age hata 30 sina so maisha hayapo sirias unavyo ya chukulia,elimu yangu ya four 2013 nimedropout chuo kuuliza reseat nilikua namsaidia mtu ajue
 
Nimegundua una maarifa na fx sio lazima ufanye kuna vitu ving vya kufanya kama kuna faida za uhakika kwenye biashara zingine waambie washkaj zako unaowapenda mkachote pesa..
pesa sio nyepesi hivyoo kijan..
 
Kama sio utapeli haya niambie Tanzania umesajiliwa wapi?
Duniani kote forex imesajiliwa wapi? ujibu utoe ref za hiyo virtual money sio real money ya cash kupitia bank
Sasa Unataka virtual Kama hiyo uisajili kwani Kuna mtu anamiliki forex!! Mbona hao brokers wana leseni wamezitoa wapi Sasa au unafikiri hivyo vibali wanavitoa wapi..?
Mb.. we Bata tusisumbuane nenda katafute hotuba ya Samia alopokuwa anafungua jengo la BOT mwanza labda ndo utaelewa.
 
issue sio kutrade tuuu ila issue nikwamba je itakufikisha kwenye malengooo?
muhimu iashara iwe inaweza kukua, sasa ukiwa na biashara ambayo haijarishi umeielewa kiasi gani bado hauna uhakika wa faida kipengele tayari hicho
Correct. Kama biashara haikuletei faida ambayo unaitegemea, unaipiga chini
 
Mkuu kuna mmoja wa gnld aliniingiza chaka hadi sielewani nae 80000 yangu ilipotea kimasihara
Kama wanakupenda Sana wanakuambia Kuna mgodi wa gold inamwagika wamechoka kuchota so wanakuambia na wewe ukachote so wanakupenda Sana.
Yaani bana. Wanakuwa Kama wale umejishindia milioni 50 Ila tuma laki ilo uelekezwe utaratibu wa kuzipata pesa zako
 
Sasa Unataka virtual Kama hiyo uisajili kwani Kuna mtu anamiliki forex!! Mbona hao brokers wana leseni wamezitoa wapi Sasa au unafikiri hivyo vibali wanavitoa wapi..?
Mb.. we Bata tusisumbuane nenda katafute hotuba ya Samia alopokuwa anafungua jengo la BOT mwanza labda ndo utaelewa.
Aliongea kuwa BOT wawe ready for virtual money. Digitalization of currency. One currency worldwide Mana hizi exchange zinasumbua na zinafanya upotevu wa hela.
Mfano Kama una 10bn Tzs ukitaka kuagiza Japan mzigo.ukichenji tu Kuna hela zitapotea.

So naiona hii idea ya nwo Kama iko mbioni fulani. One language one religion one currency one leader one school system et al
 
ndugu hiyo bado iko hewani sio hela halali nawakali wa photoshop tunafanya kama unakunywa uji tu
tuone aina ya account pale juu tujue real au demo
pia ulipoitoa hiyo hela umeitolea wapi huko ndio tunataka tuone

kwanini msiweke hata bank statement? maana hiyo pesa ndefu kwa simu hauwezi itoa

mnapigwa sana mnaishia kujifariji tu
Na siku hiz baadhi ya broker bandage ya real wameitoa

20210901132928.jpg
 
Kuna maswal mengiNe hata naona uvivu kuyajibu, broker lazima awe regulated hapa ndo muhimu, je yupo regulated nchi gani na iyo nchi sheria zake za fedha zipoje, mfano ukiona regulated south africa,saint vicent island,shelishel uyo si mzuri trade tu ila si mzur unless unauzoefu nae, rest google
Sure mkuu like Mauritius sijui pia na Bahamas sema utakuta yupo regulated na asic fca Ila akaenda hizo nchi ambazo hazina masharti Sana anafungua huko ilo anase wateja wengi wanaotaka leverage hata ya 1:5000 Mana mfano asic wanaruhusu 1:30 basi ambayo Kama sie yabidi uwe na na kitu Kama $50k ili utredi comfortably
 
Sasa Unataka virtual Kama hiyo uisajili kwani Kuna mtu anamiliki forex!! Mbona hao brokers wana leseni wamezitoa wapi Sasa au unafikiri hivyo vibali wanavitoa wapi..?
Mb.. we Bata tusisumbuane nenda katafute hotuba ya Samia alopokuwa anafungua jengo la BOT mwanza labda ndo utaelewa.
wewe hapo ndio bata mwenyewe
hizo leseni broker wanazitoa wapi? anayewapa hizo leseni ni nani?
huyo broker yupo kati ya trader na nani?

zingatia kujibu maswali unayouliza sio unaanza kuleta taarabu tu hapa, na hii ndio shida ya ninyi broker mkipigwa maswali makubwa mnakimbilia hotuba sasa hotuba inanipa majibu gani na inahusiana na nini na uhalisia wa unachoulizwa?
hakuna ubaya wakupiga pesa forex kama unavyodai unapiga ila ubaya ni pale hautaki kuujua undani zaidi ili mnapotaka kula ada za watu muwe mnaweza kujibu maswali kiufasaha
 
Kama sio utapeli haya niambie Tanzania umesajiliwa wapi?
Duniani kote forex imesajiliwa wapi? ujibu utoe ref za hiyo virtual money sio real money ya cash kupitia bank
[/QUOTE]
Aiseh bado tuna safari ndefu kama nchi...wewe umeshawahi kuona chombo chochote kinacho regulate business dunia nzima? Kuwa tukitaka ku exchange pesa baina ya nchi na nchi lazima twende kwenye hicho chombo cha dunia nzima?

Brokers wako regulated na sheria za nchi husika walikojisajilia. Ila forex ni something global, haina mipaka, haina central authority, ni networks of banks and other players at once. Hauwezi kusema internet ni fake kwa vile haimilikiwi na any central authority.

Bila shaka umeshasikia kuna kitu kinaitwa "soko la dunia" utasikia kuwa mafuta yamepanda bei kwenye soko la dunia...hilo soko la dunia umeshawahi kuliona? Kuwa kuna mahala ukifika unaambiwa hapa ndiyo soko la dunia? Nani ana regulate hilo soko la dunia?

Inatia simanzi kuona kijana anasema forex ni utapeli kwa vile haijasajiliwa popote. Sasa ukisikia kuwa hadi central banks zinafanya Forex si utasema nazo ni matapeli?

Hii suala la virtual money sijui haulielewi kwa nini wakati ni simple concept kabisa..! Kabla hela haijaonekana kwenye account yako ya forex ni lazima udeposit...u-fund hiyo account kupitia njia zinazoruhusiwa..eg bank, Mobile money etc.

Na mtu anapoeda kudeposit maana yake ametoa physical money kampa whoever is concerned na hiyo taasisi ikamuwekea fedha hizo kwenye account yake ya Fx.

So zinapo appear kama virtual money once account ikiwa funded ni kuwa mchakato ulianza na kudeposit kwanza...trader alitoa kiasi fulani kwanza either toka bank account au mobile au njia nyingine akaziweka kwenye forex account.

So hizo unazoziita sijui virtual money...hazitokei tu out of nowhere. Zina backing ya fiat money..tangible money.

Wewe ukiwa na laki 5 kwenye Mpesa yako...hizo si fedha halisi kwa sababu tu hazishikiki? Ukimtumia mtu kutoka kwenye hiyo mpesa kunakuwa na makato ya kodi, service fees za makampuni.

Hizo pesa za makato wahusika wanazipataje kama ni virtual money tu? Maana unapokatwa kodi ya serikali na tozo pindi ufanyapo muhamala hakuna sehemu ambayo serikali inapelekewa ile pesa yake physically...sasa serikali inaipataje hiyo pesa ya tozo? Think critically.

Mtu akikutumia milioni 40 TZS toka akaunti yake kuja kwako....hizo pesa huwa unaletewa physically ndipo tuseme ni real money? Elewa kuwa money inaweza kuwa transferred electronically na bado ikabaki kuwa ni ile ile.

So hizo fedha zote unazoziona kwenye forex market zilianza na mchakato wa kuwa funded kwenye accounts za wahusika. Ni sawa na wewe uende bank kwa teller u deposit pesa...anaingia kwenye account yako ambayo ni virtual anaongeza kiasi ulichoweka na kukupa print out slip kama ushahidi wa kuhifadhi fedha. Ila pesa zenu wateja wote zinahifadhiwa sehemu moja. So ushahidi unaoonesha kuwa wewe una kiasi fulani cha fedha bank ni electronic si physical.

Hicho unachokidharau na kukibeza kama virtual money ndiyo kimewapa watu ukwasi. Hisa zinashikika? Ni tangible? Ila si zinauzwa na kununuliwa? Majuzi hapa Gamestop imewafanya traders kuwa overnight millionaires kwa ku trade hisa tu...kuna kijana alinunua hisa hizo kwa 28,000$ zilipopanda thamani akawa na $3.8 M sitting on his account. Ni virtual na ni halisi pia...anaweza kuzi withdraw akazifanyia chochote akitakacho.
 
Kama sio utapeli haya niambie Tanzania umesajiliwa wapi?
Duniani kote forex imesajiliwa wapi? ujibu utoe ref za hiyo virtual money sio real money ya cash kupitia bank
Aiseh bado tuna safari ndefu kama nchi...wewe umeshawahi kuona chombo chochote kinacho regulate business dunia nzima? Kuwa tukitaka ku exchange pesa baina ya nchi na nchi lazima twende kwenye hicho chombo cha dunia nzima?

Brokers wako regulated na sheria za nchi husika walikojisajilia. Ila forex ni something global, haina mipaka, haina central authority, ni networks of banks and other players at once. Hauwezi kusema internet ni fake kwa vile haimilikiwi na any central authority.

Bila shaka umeshasikia kuna kitu kinaitwa "soko la dunia" utasikia kuwa mafuta yamepanda bei kwenye soko la dunia...hilo soko la dunia umeshawahi kuliona? Kuwa kuna mahala ukifika unaambiwa hapa ndiyo soko la dunia? Nani ana regulate hilo soko la dunia?

Inatia simanzi kuona kijana anasema forex ni utapeli kwa vile haijasajiliwa popote. Sasa ukisikia kuwa hadi central banks zinafanya Forex si utasema nazo ni matapeli?

Hii suala la virtual money sijui haulielewi kwa nini wakati ni simple concept kabisa..! Kabla hela haijaonekana kwenye account yako ya forex ni lazima udeposit...u-fund hiyo account kupitia njia zinazoruhusiwa..eg bank, Mobile money etc.

Na mtu anapoeda kudeposit maana yake ametoa physical money kampa whoever is concerned na hiyo taasisi ikamuwekea fedha hizo kwenye account yake ya Fx.

So zinapo appear kama virtual money once account ikiwa funded ni kuwa mchakato ulianza na kudeposit kwanza...trader alitoa kiasi fulani kwanza either toka bank account au mobile au njia nyingine akaziweka kwenye forex account.

So hizo unazoziita sijui virtual money...hazitokei tu out of nowhere. Zina backing ya fiat money..tangible money.

Wewe ukiwa na laki 5 kwenye Mpesa yako...hizo si fedha halisi kwa sababu tu hazishikiki? Ukimtumia mtu kutoka kwenye hiyo mpesa kunakuwa na makato ya kodi, service fees za makampuni.

Hizo pesa za makato wahusika wanazipataje kama ni virtual money tu? Maana unapokatwa kodi ya serikali na tozo pindi ufanyapo muhamala hakuna sehemu ambayo serikali inapelekewa ile pesa yake physically...sasa serikali inaipataje hiyo pesa ya tozo? Think critically.

Mtu akikutumia milioni 40 TZS toka akaunti yake kuja kwako....hizo pesa huwa unaletewa physically ndipo tuseme ni real money? Elewa kuwa money inaweza kuwa transferred electronically na bado ikabaki kuwa ni ile ile.

So hizo fedha zote unazoziona kwenye forex market zilianza na mchakato wa kuwa funded kwenye accounts za wahusika. Ni sawa na wewe uende bank kwa teller u deposit pesa...anaingia kwenye account yako ambayo ni virtual anaongeza kiasi ulichoweka na kukupa print out slip kama ushahidi wa kuhifadhi fedha. Ila pesa zenu wateja wote zinahifadhiwa sehemu moja. So ushahidi unaoonesha kuwa wewe una kiasi fulani cha fedha bank ni electronic si physical.

Hicho unachokidharau na kukibeza kama virtual money ndiyo kimewapa watu ukwasi. Hisa zinashikika? Ni tangible? Ila si zinauzwa na kununuliwa? Majuzi hapa Gamestop imewafanya traders kuwa overnight millionaires kwa ku trade hisa tu...kuna kijana alinunua hisa hizo kwa 28,000$ zilipopanda thamani akawa na $3.8 M sitting on his account. Ni virtual na ni halisi pia...anaweza kuzi withdraw akazifanyia chochote akitakacho.
[/QUOTE]
Mkuu unamoyo kumuelezea yote haya mi nishamaliza kumuita Bata tu inatosha mtu anafanya forex halafu hata hajui kuwa brokers wanaleseni..🤣
Huyu usikute hata alichagua broker wa hovyo!.
 
Wala msipate shida na watu kama hawa na wala hupaswi kutumia nguvu kumuelekeza

Najua mleta mada alipata kuisikia fursa ya Forex na akaenda kuisoma huku akiwa na mawazo ya haraka kwa ajili ya kutajirika kwa kupata pesa nyingi sna kwa kipindi kifupi

Forex is not about theory learning only but is about much practice, na ndio maana unashauriwa Ukisha soma na kuijua vizuri usikimbilie haraka katika kudeposit real money bila kufanya demo account kwa muda mrefu ili uelewe unachokifanya sokoni

Kuna watu wanacheza demo account kwa hadi mwaka mzima bila kuwa na matamanio ya kuweka Real money na kuna watu wanachoma forex account zao kila wakideposit mpunga wao kwa miaka zaidi ya miwili ila kumbe ndo yanakuwa mafunzo yao kupitia kuchoma na sasa wamekuwa wakipata faida nzuri sana sokoni

Forex trade Inabidi uifanye kwa trading plan ambayo inasema, faida unayotakiwa uipate katika soko ni 10% tu ya mtaji wako na ikizidi hapo basi unaelekea kuchoma account yako ila vijana wengi hasa wa kibongo wanataka faida nyingi za haraka kwa kipindi kifupi

Naamini mleta mada amechoma sana Account bila kuficha katika hili liko wazi na hivyo amekata tamaa katika biashara hii na mimi nakushauri forex ukienda nayo kwa speed na yenyewe inakufanya kitu hakuna
 
Back
Top Bottom