OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Brokerage company yake inaitwaje mkuu?Amekuwa Broker aiseee kutoka kuwa profitable trader amekuwa broker yaani anaendelea kuhangaika kushawishi watu wawe wanatrade kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brokerage company yake inaitwaje mkuu?Amekuwa Broker aiseee kutoka kuwa profitable trader amekuwa broker yaani anaendelea kuhangaika kushawishi watu wawe wanatrade kwake
Soma vyema sana hii kauli yako na ujiulize swali moja la muhimu sana kwanini kanuni iliyoaminika kukupa faida haina uhakika wakukupa achambuzi ulio yakinifu?there is no perfect analysis but there is basic rules mtu utamkuta anafocus ktk lower tf bila kujua monthly chart imeelemea wapi,
sikumbuki poa ila ingia kwa account yake insta utaona details zake zote kaweka kwa uwaziBrokerage company yake inaitwaje mkuu?
shida sio wote wanafaulu shida nikwamba unafaulu halafu hauna uhakika wa kazi sasa i bora usingesoma ungeenda kusoma kitakachokupa ajila ya uhakikaHata darasan hamfaulu wote pambania kombe mzee wanalfaul wapo wanaofel wapo pia
ha ha ha ha ha ha ha kabisa aiseeJamani ukiona unaitwa kwenye fursa fahamu kuwa ww ndie fursa
Hatar sana aiseeeeeUnaambiwa "invest what you're afford to loose"
Eti mtu anakuita kwenye utajiri.. serious ndugu zake wote/ukoo wametajirika.?!ha ha ha ha ha ha ha kabisa aisee
sasa angalia namna ambavyo wanabisha pasipo kupinga hoja kwa hoja
wanajifanya wanahuruma hawa mbwaEti mtu anakuita kwenye utajiri.. serious ndugu zake wote/ukoo wametajirika.?!
sijawahi fungua account ya demo , kujifunza kwangu nilijifunza kupitia trading view, then namalizia na mt5 real money, sijawihi kutumia demo demo kabisaYaani izo zinanunuliwa so unaonekana una hela nyingi Sana.zile za akina Lil Wayne wanaaimba kuwa I make it rain anawarushia pesa mademu matakoni sio real dolaz ndugu.
Komaa bana utaona mwanga. Ila practice real hata ya dola Mia Kuna SoMo kubwa unajifunza kuliko demo.
Yaani siku uliofanya real like demo unameki hela.
katika mt5 yako fungua demo account kisha rudi real account ukisha weka pair yako kaiweke sawa na kule kwenye demo kisha angalia na trading view same pair hiyohiyo utaweza kutana na kitu cha ajabu mnosijawahi fungua account ya demo , kujifunza kwangu nilijifunza kupitia trading view, then namalizia na mt5 rela money, sijawihi kutumia demo demo
Mkuu kuna mmoja wa gnld aliniingiza chaka hadi sielewani nae 80000 yangu ilipotea kimasiharawanajifanya wanahuruma hawa mbwa
Iyo ndo biashara sasa mkuu nawashukuru wazaz wangu kunilea ktk biashara tangu ni darasa la nne, ktk biashara kuna basic kwamba nauza unga na mchele nipate faida, ila saiv wateja hawaji why unajiuliza utapata jibu utwist strategy uwek mchle mzuri upimie watu vizuri packaj nzuri na price nzuri, ivyo utarud ktk basic unauza na wateja wanakuja, ktk fx ni ivyo ivyo na ndo maana unatakiwa uzielewe candlestic, kwamba hapa kwann soko limfail kuhold, unakuja kugundua seller wameelemea sehemu flan,unakuja gundua volume n ndogo, au kuna structure ktk tf frame fulani,Soma vyema sana hii kauli yako na ujiulize swali moja la muhimu sana kwanini kanuni iliyoaminika kukupa faida haina uhakika wakukupa achambuzi ulio yakinifu?
yaani unakubaliana naukweli halafu unaukataa tena ukweli
Trading view kuna broker tofauti so dont compare na broker wako kama si the same ,candle close hutofsutiana kulingn n spread na type y brokerkatika mt5 yako fungua demo account kisha rudi real account ukisha weka pair yako kaiweke sawa na kule kwenye demo kisha angalia na trading view same pair hiyohiyo utaweza kutana na kitu cha ajabu mno
sasa umeelewa broker ndio controller? au bado nikuletee alomfunga yanga akufundisheTrading view kuna broker tofauti so dont compare na broker wako kama si the same ,candle close hutofsutiana kulingn n spread na type y broker
shida sio wote wanafaulu shida nikwamba unafaulu halafu hauna uhakika wa kazi sasa i bora usingesoma ungeenda kusoma kitakachokupa ajila ya uhakika
Na bado anafundisha,wanajifanya wanahuruma hawa mbwa
Inategemea na type ya broker, unaijua kaz ya dalali? Dalali wpo feki na wenye nia njema, anachokuambia dalal changanya na chako ufanya uamuzi, kuna broker atakuambia price ipo ktk zone na kuna atakae kuonysha bado 20pip kufik kt zone, hahaaa tafuta sn Maarifa. Ukichora zone or lines kwa baadhi ya STP Broker ni tofaut na ECN ! JApo tofaut n ndog ila ina maana na ndo maana tunashauriwa kutrade ktk broker mzur angalau hacheat sanasasa umeelewa broker ndio controller? au bado nikuletee alomfunga yanga akufundishe
Mwambie nione sasa meseji ya bank na mpesa hapo uone mitusi maana hawajui hizo hueditiwa na sio hapo tu angalia accont type haijonyeshwa hadi mwisho
sasa kwanini unasema broker mzuri hacheat sana?Inategemea na type ya broker, unaijua kaz ya dalali? Dalali wpo feki na wenye nia njema, anachokuambia dalal changanya na chako ufanya uamuzi, kuna broker atakuambia price ipo ktk zone na kuna atakae kuonysha bado 20pip kufik kt zone, hahaaa tafuta sn Maarifa. Ukichora zone or lines kwa baadhi ya STP Broker ni tofaut na ECN ! JApo tofaut n ndog ila ina maana na ndo maana tunashauriwa kutrade ktk broker mzur angalau hacheat sana
Mwambie nione sasa meseji ya bank na mpesa hapo uone mitusi maana hawajui hizo hueditiwa na sio hapo tu angalia accont type haijonyeshwa hadi mwisho
Nilikua nasubiri useme ivyoMwambie nione sasa meseji ya bank na mpesa hapo uone mitusi maana hawajui hizo hueditiwa na sio hapo tu angalia accont type haijonyeshwa hadi mwisho