Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

kweli unaweza ona miaka michache ila miaka minne inaweza kutoshosha sana kuweza kukupa uhakika wa kile unachokitafuta ama usikipate
kwa nyongeza forex ilikuwa sehemu ya maisha yangu sababu mimi sio mfanyakazi wa mtu hivyo muda mwingi niko nayo tu,
natamani ungekuwa hata karibu tupeane mawili matatu ungeweza kunielewa ninacho maanisha

huyo dr anapokuwa level ya chini akiweza kuimasta nakuiweka kichwani ana uhakika na kile alichonacho kumpa maisha au hata kujiupdates ila sio kwa forex no matter what mzeee
Kila la kheri mkuu. Mwanzo watu wanakuwa na expectations babkubwa Sana Ila ishu ni tight kuliko kawaida.
Na ndo Mana ni rahisi kuwavuta watu kuwa kesho unaacha kaazi utajilipia Ada na wakajaa
 
Unahisi ukiwa mkulima mzuri unajua kila kitu ndo utakua unapata mazao kila msimu??
Swali zuri sana tena la akili mnoo na linakupa majibu yako
faida yakuwa mkulima mzuri na bora ni hii hapa

1.Kwanza utakuwa unajua kabisa ni zao gani utapaswa kulilima kwaajili ya biashara au chakula, itakupa urahisi mkubwa sana na wepesi wakukabiliana na changamoto za ukame,magonjwa nk
maana muda wote upo tayari sababu unaelewa unachokifanya,
mtu akikuambia lima matikitiki unaelewa kabisa kwasasa unapaswa kulima kahawa

sasa kwa forex ni kinyume kabisa hakuna uhakika wa faida zaidi ya hasara tuu,
tumia akili ya darasa la kwanza kujijibu maswali haya
1 kwanini watu wengi wa forex hukimbilia kufundisha watu kwa fedha?
2 kwanini wakisha fanikikiwa kupata mitaji hukimbilia kuwa ma-broker wakati wanaweza kumake faida kubwa zaidi?(mfano Ontario/sir Jeff)
3 HUyo Broker kasimama baina ya trader na nani na huyo wa juu yake faida yake iko wapi?

forex yaukweli nikufanya in real money cash tena uwe nayo nzito tumia moja kwa moja kununua fedha bank nk
 
Kila la kheri mkuu. Mwanzo watu wanakuwa na expectations babkubwa Sana Ila ishu ni tight kuliko kawaida.
Na ndo Mana ni rahisi kuwavuta watu kuwa kesho unaacha kaazi utajilipia Ada na wakajaa
aisee nimenunua sana course hizo,
kwa ufupi niliwekeza muda pamoja na fedha niweze kutoboa ila nimegungua huko nikupoteza muda ukija kuelewa tayari kumekucha
 
Unahisi ukiwa mkulima mzuri unajua kila kitu ndo utakua unapata mazao kila msimu??
Hajui kuna factors ambazo ni nje ya uwezo wa mfanyabiashara. Unaweza kuwa mkulima mkongwe ukalima mpunga heka za kutosha na usivune kama hali ya hewa ikienda opposite.

Linaweza kutokea baa kama ukame, mafuriko, nzige,ndege, ajali, n.k hivi vinaweza kukurudisha zero kabisa. So hakuna biashara ya guarantee ya success 100%. Ni series za ups and downs.

Unaweza kuwa na stock ya mahindi unapeleka nchi jirani..serikali ikapiga marufuku kuuza nje..bei ikaporomoka ukauza kwa hasara.

Unaweza fika sokoni na mzigo ukakuta bei ya kuuza ni ndogo kuliko uliyofungia mzigo.
 
Hakuna profitable trader, atabaki kuhangaika na ada za kufundishia wakati ana uhakika wa kuingiza pesa ndefu kwenye ku trade[emoji28].

Ukiona mtu anahangaika kufundisha Fx ujue hakuna kitu anapata kwenye hicho anachofundisha
ha ha ha ha ha kabisa mzeeee
 
Hajui kuna factors ambazo ni nje ya uwezo wa mfanyabiashara. Unaweza kuwa mkulima mkongwe ukalima mpunga heka za kutosha na usivune kama hali ya hewa ikienda opposite.

Linaweza kutokea baa kama ukame, mafuriko, nzige,ndege, ajali, n.k hivi vinaweza kukurudisha zero kabisa. So hakuna biashara ya guarantee ya success 100%. Ni series za ups and downs.

Unaweza kuwa na stock ya mahindi unapeleka nchi jirani..serikali ikapiga marufuku kuuza nje..bei ikaporomoka ukauza kwa hasara.

Unaweza fika sokoni na mzigo ukakuta bei ya kuuza ni ndogo kuliko uliyofungia mzigo.
sasa hiyo risk katika kilimo ina asilimia ndogo sana ukiringanisha na faida
lakini katika forex ina asilimia kubwa sana ya hasara kuliko faida
 
Anyway kila mtu afanye analoona jema hahahaa maana forex ukiwa na moyo wa panzi mwaka humalizi ila nijuacho hakuna biashara rahisi au isiyo na hasara same na forex.
Kupoteza hela ni uzembe hujui unachofanya sokoni hasa ukiwa na hata mwaka unatrade

Wengi tunadhani ni kitu cha kukupa utajiri fasta tunakua tunaruka tu sokoni bila sababu za msingi wala strategy.
Last year niliweka usd 100 nikatrade 6 month kwa risk management yani sikuichoma kabisaa inapanda na kushuka tu nikatoa nikatafuta knowledge zaidi now siwezi kuchoma acc hata ya usd 50.
Mwisho field ziko nyingi tupambane huko.
 
Biashara yoyoyte Ile ina pande2 faida au hasara same applies to Forex
Upo sahihi Kwa mtazamo wako lakini pia wapo wanaomake money daily katika hiihii biashara unayoiona SIO
nakupa mfano mmoja mzuri mfatilie 🤝Raja banks YouTube live during American session kila siku anatrade live anamake money live mkiona ukiamua kucopy mnawin pamoja ama mnaloose pamoja as well Ila mwisho wa wik ukipiga esabu loses Vs win unajiluta unaprofit zako
 
Swali zuri sana tena la akili mnoo na linakupa majibu yako
faida yakuwa mkulima mzuri na bora ni hii hapa

1.Kwanza utakuwa unajua kabisa ni zao gani utapaswa kulilima kwaajili ya biashara au chakula, itakupa urahisi mkubwa sana na wepesi wakukabiliana na changamoto za ukame,magonjwa nk
maana muda wote upo tayari sababu unaelewa unachokifanya,
mtu akikuambia lima matikitiki unaelewa kabisa kwasasa unapaswa kulima kahawa

sasa kwa forex ni kinyume kabisa hakuna uhakika wa faida zaidi ya hasara tuu,
tumia akili ya darasa la kwanza kujijibu maswali haya
1 kwanini watu wengi wa forex hukimbilia kufundisha watu kwa fedha?
2 kwanini wakisha fanikikiwa kupata mitaji hukimbilia kuwa ma-broker wakati wanaweza kumake faida kubwa zaidi?(mfano Ontario/sir Jeff)
3 HUyo Broker kasimama baina ya trader na nani na huyo wa juu yake faida yake iko wapi?

forex yaukweli nikufanya in real money cash tena uwe nayo nzito tumia moja kwa moja kununua fedha bank nk
Ushasikia hakuna tajiri mwenye chanzo kimoja cha mapato?? Kwahiyo sababu anajua forex asiwekeze kwingine? Wengine wanatoa hela kwa forex wanalima au wanawekeza biashara nyingine.

Huna uhakika wa faida kama hujui unafanya nini sokoni naamini hilo, maana kwa uzoefu wangu mdogo naweza kuplace trades 10 nikawin 4 nikalose 6 na bado nikawa profitable ukiona trades 10 umelose zote acha kutrade katafute knowledge.
 
Biashara yoyoyte Ile ina pande2 faida au hasara same applies to Forex
Upo sahihi Kwa mtazamo wako lakini pia wapo wanaomake money daily katika hiihii biashara unayoiona SIO
nakupa mfano mmoja mzuri mfatilie [emoji1666]Raja banks YouTube live during American session kila siku anatrade live anamake money live mkiona ukiamua kucopy mnawin pamoja ama mnaloose pamoja as well Ila mwisho wa wik ukipiga esabu loses Vs win unajiluta unaprofit zako
Mali iko shamba
 
Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
 
Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
Je una ushuhuda wa mtu aliyefanikiwa na forex hapa Tz?
 
sasa hiyo risk katika kilimo ina asilimia ndogo sana ukiringanisha na faida
lakini katika forex ina asilimia kubwa sana ya hasara kuliko faida
Kwani kwenye forex hakuna namna ya ku protect mtaji wako ikitokea soko limeenda tofauti na ulivyotarajia?

Navyofahamu ni kuwa unaweza ku calculate rate ya loss ambayo uko willing ku incur na kiasi gani cha mtaji wako uki risk kwenye trade husika. Hiyo ni calculated risk.

Ni sawa tu na biashara nyingine ambayo risk inategemea wewe owner unapangaje..ukiamua uweke mtaji wote au uwekeze baadhi ya sehemu ya mtaji. Risks are always there, unaweza kulima ukavuna sana au kidogo au usivune kabisa...yote yanawezekana. Lakini bado business tunafanya.
 
Back
Top Bottom