Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
Umefunga thread mkuu. Wabongo sijui tutafungua lini vichwa asee yani bado tupo karne ya 19 hahhaa kuna madogo wanapiga mpunga mrefu kwa hizi mambo sasa akiambiwa mambo ya NFT si atakimbilia kijijini.
 
Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
Umeiva baba hata sijui nikupe nyota ngapi. Kama jeshini ni cheo Cha mwisho kabisa.
Mwambie jamaa nishawahi wahi tuma hela home from Russia like $4k so huku mpokeaji akapatA Tzs .
Benki wao wanazipokea Kama USD Ila wananunua kwa rate ya chini wanakupa shilling
 
aisee nimenunua sana course hizo,
kwa ufupi niliwekeza muda pamoja na fedha niweze kutoboa ila nimegungua huko nikupoteza muda ukija kuelewa tayari kumekucha
Hapo kwenye kununua kozi na kuwalipa mentors ulipgwa. Mbona kila kitu kipo online.
Pia hii kitu kukomaa huwezi komaa Kama ulitoka shule zile za spoon feeding.
 
Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
Mkuu mpaka na wish nikupe bia mbili ama kuku choma ama sato choma mzima.
Ila umemaliza.
Kijana anatakiwa afikirie kuwa trader for 20yrs to come.
Wengi hapa patience huwa hawawezi.

FOREX & CURRENCIES TRADING FOREX TRADING STRATEGY & EDUCATION

Interbank Market​


By
ADAM HAYES

Updated Jun 9, 2021

What Is the Interbank Market?​

The interbank market is a global network utilized by financial institutions to trade currencies and other currency derivatives directly between themselves. While some interbank trading is done by banks on behalf of large customers, most interbank trading is proprietary, meaning that it takes place on behalf of the banks' own accounts. Banks use the interbank market to manage their own exchange rate and interest rate risk as well as to take speculative positions based on research.

The interbank market is a subset of the interdealer market, which is an over-the-counter (OTC) venue where financial institutions can trade a variety of asset classes among one another and on behalf of their clients, often facilitated by interdealer brokers (IDBs).
 
Japo mimi si forex trader ila ukweli ni kuwa forex is real na inafanywa hata na mabenki ambayo wewe umesema kuwa hawafanyi hii biashara.

Kuna kitu kinaitwa interbank market ambapo mabenki hufanya biashara hii hii ya forex baina yao. Na hawa mabenki ndiyo wana ukwasi mkubwa kwenye forex market. Ukienda bank unakuta pale wameweka bei za kuuza na kununua fedha za kigeni...thats forex!.


Again unazungumzia forex na unaiponda kuwa ni virtual money na kuwa haina dili sana kama physical money ambayo wewe unadhani ndiyo mtu akitumia kufanya biashara atatoboa. Currency ni ile ile whether iwe virtual or physical..ni the same na value yake ni ile ile.

Ni sawa na uiponde pesa uliyotumiwa kwa Tigopesa au Mpesa kuwa ile msg inayokutaarifu kuwa una kiasi fulani cha pesa kwenye akaunti yako ya Mpesa kuwa si real money.

It seems una little understanding on how money is transferred. Mtu anapofund account yake iwe ya forex au ya kawaida tu ya benki si zile tunazowekewa kuonesha deposit au withdrawal ni virtual digits tu..? Na pesa unayowapa benki unadhani kuna mahala wanatunza kila mteja anawekewa separately?

Ukitumiwa hela toka US kuja TZ unadhani zile hela huwa zinapandishwa ndege toka US mpaka Tz? Lakini si unapata notification kuwa hela imeingia kwenye account yako toka kwa mtumaji from US? Naam hii ni interbank forex market.

Kwa kifupi naona wewe uliingia kwenye forex ukiwa na expectations kubwa na ikakupiga sasa zile disappointments zinakufanya uipe majina mabaya.

Unasema kuwa hakuna mabilionea wanaofanya forex? Kweli? Hizi hedge funds kubwa za kina George Soros na Paul Tudor ambao ni mabilionea waliopata ukwasi kwenye forex huzifahamu?

Forex ipo na ni real...mchongo uliopo ni little understanding ya retail traders wengi on markets. Ikiwa wewe ulikuwa disappointed haimaanishi sasa kuwa forex ni scam...forex was there before you..and it will be there after you are gone.

Ukiambiwa kuwa unaweza kutrade masoko ya hisa makubwa duniani ambayo nayo yanafata kanuni zile zile za forex market napo si utasema ni utapeli?

Those who say it cannot be done should not interrupt those who are doing it.
Mkuu umeandika kwa uchungu sana, shida sisiwatanzania tunakurupuka wakati wa kufanya kitu
 
mbona Sir.brev, Imack king wameweza kila siku wanatembea dunia kwa denge, bado nakiburi 100% mungu nisaidie nisikate tamaa, bado sanaa may be 4 years mbeleni, japo nafeli kuna watu wanafaulu kama wanafaulu kumbe inawezeka licha ya mimi kufeli.
najua kusoma na kuandika lazima nitafika tu

1.PNG


2.PNG


33.PNG


44.PNG


5555.PNG
 
Najua wote muwazima

wacha nisonge kwa mada moja kwa moja
nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk
kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.
Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza udhoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.
hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka,
nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.
Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.
Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2.HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA
Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk
Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.
Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tuuu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni ktu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi,
Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani katiba na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"
Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.
Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?
sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.
hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.
Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha
1.Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2.kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3.kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4.Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.
Umenikomboa kifikra mzee,, nmezkubali hizi scenarios
 
Nadhani hiyo haikuwa hoja...hoja ilikuwa whether forex market ni real au ni scam? Yes kuna forex traders nchini ambao ni successful na wapo wanaopata losses.

Suala la kuwafahamu au kutowafahamu haimaanishi kuwa hao watu hawapo.
I know forex is real ila ni wangapi wanaofaidika nayo ukilinganisha na wanaofeli nayo
 
Hapo kwenye kununua kozi na kuwalipa mentors ulipgwa. Mbona kila kitu kipo online.
Pia hii kitu kukomaa huwezi komaa Kama ulitoka shule zile za spoon feeding.
nikweli nilianza kwanza online tu ila ilifikia mahali nahitaji nondo fulani iliyochambuliwa vyema na yenye ushibe basi ndio nikajikuta nakuwa nalipia hizo material,
lakini pia baadhi nilizinunua ili niweze kujua wale wanaouza wameweka mambo gani ya ziada nk
hao mentor hawakuwa walimu wa kukaa nao darasani lakini ilikuwa nikwamba nakaa naye kama lisaa limoja ama mawili nakuwa na maswali yangu kama mjadala naye then nampooza kidogo tu natembea
so ndio kama hivyo tu
 
nikweli nilianza kwanza online tu ila ilifikia mahali nahitaji nondo fulani iliyochambuliwa vyema na yenye ushibe basi ndio nikajikuta nakuwa nalipia hizo material,
lakini pia baadhi nilizinunua ili niweze kujua wale wanaouza wameweka mambo gani ya ziada nk
hao mentor hawakuwa walimu wa kukaa nao darasani lakini ilikuwa nikwamba nakaa naye kama lisaa limoja ama mawili nakuwa na maswali yangu kama mjadala naye then nampooza kidogo tu natembea
so ndio kama hivyo tu
Forex Ipo kichwani mwako. To study forex is study oneself.
 
Umefunga thread mkuu. Wabongo sijui tutafungua lini vichwa asee yani bado tupo karne ya 19 hahhaa kuna madogo wanapiga mpunga mrefu kwa hizi mambo sasa akiambiwa mambo ya NFT si atakimbilia kijijini.
Naam mkuu...nikisoma uzi wa huyu mdau na updates alizoongeza unaona kabisa kuwa mwamba aliamua kuacha Forex akiwa hajaifahamu vyema. Lakini anai attack as if yeye alifikia level za pro trader. Kama angefikia level hizo asingeikimbia forex.

Mtu anauliza kuwa kwanini mtu anaamua kufungua brokerage firm kama yeye ni successful trader? Kweli? Anasahau kuwa a brokerage company nayo ni biashara kama biashara zingine...so anayefungua this kind of company ameingia kwenye business in financial sector na ana make profits.

Ni sawa na insurance brokers companies...hawa kazi yao ni kupeleka order zetu za ku buy na ku sell sokoni. Same as forex broker..anapeleka order za wateja wake sokoni.

Jamaa anasema pia kwa vile forex ni virtual money so haijulikani nani anayezimiliki au kuzi control na pia ni easy kui-trace physical money than virtual currency....leo hii mtu akinilipa kwa dollar ambayo ni physical nikawa nayo mfukoni...federal bank ya Marekani watajua kuwa mimi nina currency yao? Dollar wanazo hadi wale magaidi na makundi ya waasi.

Au nilipwe hata kwa pesa ya madafu...nikiamua kukaa nazo ndani hata kwa 6 months...no one will know kuwa nina hizo pesa mpaka nizirudishe kwenye mzunguko kwa kununua huduma au bidhaa.

Hakuna single entity inayo control forex market...hii ni global market. Ni kama internet tu, no single entity duniani inayomiliki internet exclusively. Internet inamilikiwa na kila mtu/taasisi iliyosehemu ya network hii.

Hizo mambo za NFT naona nazo anaweza kusema ni utapeli...unless aambiwe akaangalie kwa Messi alitangaza NFT zake majuzi hapa...blockchain technology inaleta innovations mpya ambazo ni future ya dunia hii...
 
Naam mkuu...nikisoma uzi wa huyu mdau na updates alizoongeza unaona kabisa kuwa mwamba aliamua kuacha Forex akiwa hajaifahamu vyema. Lakini anai attack as if yeye alifikia level za pro trader. Kama angefikia level hizo asingeikimbia forex.

Mtu anauliza kuwa kwanini mtu anaamua kufungua brokerage firm kama yeye ni successful trader? Kweli? Anasahau kuwa a brokerage company nayo ni biashara kama biashara zingine...so anayefungua this kind of company ameingia kwenye business in financial sector na ana make profits.

Ni sawa na insurance brokers companies...hawa kazi yao ni kupeleka order zetu za ku buy na ku sell sokoni. Same as forex broker..anapeleka order za wateja wake sokoni.

Jamaa anasema pia kwa vile forex ni virtual money so haijulikani nani anayezimiliki au kuzi control na pia ni easy kui-trace physical money than virtual currency....leo hii mtu akinilipa kwa dollar ambayo ni physical nikawa nayo mfukoni...federal bank ya Marekani watajua kuwa mimi nina currency yao? Dollar wanazo hadi wale magaidi na makundi ya waasi.

Au nilipwe hata kwa pesa ya madafu...nikiamua kukaa nazo ndani hata kwa 6 months...no one will know kuwa nina hizo pesa mpaka nizirudishe kwenye mzunguko kwa kununua huduma au bidhaa.

Hakuna single entity inayo control forex market...hii ni global market. Ni kama internet tu, no single entity duniani inayomiliki internet exclusively. Internet inamilikiwa na kila mtu/taasisi iliyosehemu ya network hii.

Hizo mambo za NFT naona nazo anaweza kusema ni utapeli...unless aambiwe akaangalie kwa Messi alitangaza NFT zake majuzi hapa...blockchain technology inaleta innovations mpya ambazo ni future ya dunia hii...
Huyu Jamaa anauliza kwanni ni profitable trader halafu unafungua brokerage firm, yaani ni kama aulize kwanini ni mwalimu na unafundisha halafu ufungue shule uajiri walimu wengine wakafundishe kwenye shule yako.

Kwani kuna ubaya gani mtu kuwa na more than one source of income streams?
 
mbona Sir.brev, Imack king wameweza kila siku wanatembea dunia kwa denge, bado nakiburi 100% mungu nisaidie nisikate tamaa, bado sanaa may be 4 years mbeleni, japo nafeli kuna watu wanafaulu kama wanafaulu kumbe inawezeka licha ya mimi kufeli.
najua kusoma na kuandika lazima nitafika tu

View attachment 1918734

View attachment 1918735

View attachment 1918736

View attachment 1918737

View attachment 1918738
Dogo usiwe unafuatilia hao jamaa Sina ninaye interact naye inst Ila hao no wahuni na wanafeki Sana maisha.
Ngoja nikuulize kitu mie siwajui hao Ila Tabia zao nazijua. Huwa hakuna kozi wanazouza ama sijui signals or something like training or lifetime mentorship, or account management.
Huku anajionyesha hela nyingi .hizo dola zinanunuliwaga Alibaba nikuambie hata wewe ukitaka unanunua. Yaani ukilipa dola Mia unapewa dola alfu kumi.ndo unakuja kufanyia mauzo.
Ukitaka umkamate mwambie akuonyeshe withdraw from his account na sms Ile ya benki utamuona mapovu.
Wapo wanaotredi demo Tena yenye real badge ama cent account wanavuta wenye greed wanapigwa.
Haujiulizi mtu anameki $100k plus afu anakuaambia kuwa umlipe 30-60$ ili ujiunge na kozi yake.
Soma vitabu dogo nadhani uko vizuri endelea kukomaa. Think for 20 yrs from now
 
Back
Top Bottom