Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

We endelea kukariri maisha tu uone wanao watakqvyo kuja kukushangaa uko mbeleni, alafu alekuambia fx Kuna pesa rahis Nani who told you hahaha unakesha usiku mzima kusubir confirmation ,unafikir no ku click tu so Kila mtu Angelia na lambo mjini hapa, fx sio kwa watu wenye roho laini laini hivi we unaweza endelea kuwa normal ilihali asubuh tu umetoka Kila loss ya 2000$+ mi nakumbuka sometime unapata had homa unalal mud huo huo fx is simple money in harsh way. Ila ukishamaster aisee fx ni tamu Sana Sana tu Ila msoto lazima
Hela ya FX ni ngumu sana kwa wanaojua.....
fx muda wote inakuweka kwenye presha
ila watu wasiojua wanafikiri unaingia tu unaclick buy or sale unapata hela......
Watz wengi wapo nyuma ......
na ni wajinga sana
 
We endelea kukariri maisha tu uone wanao watakqvyo kuja kukushangaa uko mbeleni, alafu alekuambia fx Kuna pesa rahis Nani who told you hahaha unakesha usiku mzima kusubir confirmation ,unafikir no ku click tu so Kila mtu Angelia na lambo mjini hapa, fx sio kwa watu wenye roho laini laini hivi we unaweza endelea kuwa normal ilihali asubuh tu umetoka Kila loss ya 2000$+ mi nakumbuka sometime unapata had homa unalal mud huo huo fx is simple money in harsh way. Ila ukishamaster aisee fx ni tamu Sana Sana tu Ila msoto lazima
Chukua jembe kalime utaheshimika tu,, leo ukiulizwa na mtu unafanya kazi gani unasema kabisa mi ni Forex trader😀😀😀😀😀 swali utakaloulizwa ndiyo nini hio? Acheni kutapeliwa kwa kujitakia kubalini tu mbadilike.. Wakuja kunishangaa mimi ni nani huko mbeleni?ukute wewe ni mmoja wapo wazaz wako waliweka hela DECI wakaliwa zote, leo ndo unawashangaa walivo maskini na bado hujifunzi kuacha utopolo..
 
Transaction kama hii ya jana au!?
ukiona huwezi unapita vile sipo hapa kwa ajili ya kushawishi yyte.....
nilitaka kumjibu huyo kilaza hapo juu kuna watu wanaweza

View attachment 1923566
Lete cash mezani tukuheshimu.. sio matakataka hayo umescreen shot kwa simu..mafigure hayo kibao hayana maana yoyote mbele ya karatasi ya hela unayoweza kwenda nayo kwa mangi ukanunua mkate ukala, sabuni ukafulia na bodyspray ya buku 6 ukapata.
 
kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja???
Nakuhurumia hujui unachokiongea ni Nini mkuu. Hakuna hela nyepesi popote. Na Tena katika trading Kuna ugumu ingawa kwa nje inaonekana Kama ni kubonyeza cursor tu hela inaingia.
Yaani hii no ngumu Sana na ukiingia unajua ni hela nyepesi utaishia kulia.
Lazima uwe tayari kujifunza minimum five years na sio guarantee ya kutusua.
Iko Ivi trading and investing in financial instruments is career like any other career.
Unajua lawyer anasotea miaka mingapi mpaka anapata mhuri wake ama mhasibu kupata CPA.
Ama unadhani aliangalia YouTube videos,akasoma PDF kadhaa.
Yaani hii ni taaluma na Tena ni ngumu.
Sema watu wanaowapa watu wanawaaminisha kuwa ni nyepesi haiko ivyo.

Lazima uwe ni passion yako,uwe na burning desire from your heart.
Lazima ukipende kitu,ni sawa mtu kuwa mwanamziki,mcheza gofu,athletes ama base baller ,kicker boxer ama ulijua alilala siku moja akaamka akajikuta tayari amefanikiwa,
You've to have Michael Jordan talent,Line Bryant,Tiger wood,Anord Shwaznerger.

Ku achieve heavy performance endeavor ni kazi Sana.

Kila mtu anataka kwenda mbunguni Ila hakuna anayetaka kufa, kila mtu anataka kuwa champion Ila hakuna anayetaka kupiga njia ya champion.

Acheni msiwe mnaongea vitu ambavyo hamjui undani wake jamani.

So hata kununua mpunga nahifadhi afu Bei ikikua niiuze nayo sio kazi.

Mbona unaweza ukanunua yen ya mjapan ukakaa nayo afu ikipanda thamani dhidi ya dola ya mmarekani ama Tzs unaiuza.

Kama unaona digital haikufai fanya manual tu Wala hakuna shida.

Ama nanunua share za koka value ikipanda share zangu ziko more valuable.

Pia kumbuka biashara Ina pande mbili.

Mwaka 1996 USD 1 =600Tzs Kuna mganda nilimuuziaga sabuni ya protex mbili akanipa 1$ kila sabuni sh 600 nikachenji afu nikapata hela yetu ya TZs.

Wwe nunua Rand ya sauzi kaa nayo afu ikipanda unauza si utapata hela nyingi Sana.

Hii makitu bana achana nayo.
Jamani nahitaji kuwa professional surgeon,Soma vitabu, hudhuria weekend courses,watch YouTube videos about surgery,baada ya miezi 6 utakuwa mtalaamu utakuwa unatafutwa.
Does it sense.

Hata maduka ya kuuza pesa za kigeni huyaoni.


Ukishakatwa na nyoka Jani likikugusa tu lazima uruke.

Mkuu ni wengi wanatamani wawe juu Ila sio wote.
Be ready kwa ilo ni maisha Kama maisha mengine uliyozea.
So mpunga usipopanda nakula hasara unakubaliana namie.

Kama Nina pesa nyingi nasubiria mpaka msimu utatokea ukame utapanda nitauza.
So fanya hii Kama inakufaa.

Waweza Leta ndizi zako tokea karagwe unafika sokoni fuso Kama Mia lazima ukatike mtaji upende usipende.

Ukijikuta ni wewe alone capital yako itaenda hata 5 times ama ni uwongo.

Sema Kama umekariri manual komaa.

Crypto zilipokuja walizikataa saivi iko kitu $50k+ Ila hapo 2007/8 ilikuwa Bei gani unajua.
Your homework
 
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX

Mimi nafanya kazi at the same time nina trade...
you got that! haya mambo kama yamekupitia kushoto acha usilazimishe wengine wakufuate ww looser.......
waachie wengine wanaojua.....
usije pasuka mkyundu wote
Hajaelewa Mana ya hiyo kauli kuwa house always wins. Hajui inamaanishaje.
Hebu Kama unaelewa ielezew hapa tukuone.
 
Ila ukishamaster aisee fx ni tamu Sana Sana tu Ila msoto lazima
Yes to master or to be mastery of anything takes time,dedication,courage,persperverance,petrol fire burning desire ( demu wako unayempenda mpaka hauli akiakumbia njoo posta wewe uko kibaha na hakuna gari unatembea Tena unakimbia utashangaa nguvu n, courage umeitoa wapi hata Kama ni usiku na unapita porini Kuna wanyama wakali ama ni uwongo jamani)

The same desire takes to master at anything,unajua Usain bolt alitumia mingapi mpaka akafikia pale akakimbia chini ya dakika mbili tu na jumla ya hela alizolipwa ni 70Bln Tzs .
But to get there over below 2min ilimchukua 20yrs. Nothing come easy mazafanta. If you think to be a champion ni sawa kuoa ama pole yako.

Nakupata mkuu yaani ukishamasta your craft ndo watu wanakutamani Ila hawajui how many times you'd fucked. Like sacrificing your sleepy,your friends who don't share the same dream.

Pamoja Sana ndugu.
 
broo hizi mambo za figures na ghaphs hazi make sense kama huna cash mkononi kwenye kile unacho kifanya. Kama haileti hela hiyo hai-make sense
Kuna watu wanaishi hawana keshi mkononi namie nikiwemo mkuu.
Yaani Kama nikiingia hapa malaika beach resort nikispend ni mwendo wa visa card.
Sehemu nyingi sana wanakubali card mbona.
Hayo yalikuwa ya zamani wafanyabiashara wanasafiri hela za dukani kwenye begi ndugu,dunia imechenji Sana,Kama Malaya wamla unalipa kwa mpesa. Yaani keshi ni kidogo Sana.kwanza kwa usalama wako unaweza ukatekwa.

Hebu wewe lete za kwako tuone kwa unachokifanya.

Yani mpaka nashangaa sijui watu wanaifikiriaje trading ama investment.

Warren Buffet hii alianza akiwa 11 yrs baba yake alikuwa ni stocker broker so kijana aliianza fani mapema sana.huku tukiwa gizani tukiwa tunajua kuibiana ng'ombe na kuua Simba kuwa ndo unaonekana mwanaume.
 
Nimetumia ili uone pia nakukata kilimi chako,Kuna vijana Wana ndoto zao waache wafikie ndoto zao mkuu.
Kuna ishu zingine kuachieve mastery isn't an easy.
Subiria muamala ukiingia benki nitakuonyesha.
Sio kuwa nataka kujionyesha Mana vichwa viko ku assess negativity na ndo kazi ya akili zetu.ila najua wapo watakaokuwa encourage.pia sio kuwa nakuuzia kozi, kitabu,sihitaji IB, unajua mwizi ama jambazi ni mwanaume anayejitoa kufa lakini asiishi bila Mali Mana ametafuta kawaida kashindwa.
So anakuwa tayari ku risk maisha yake kisa tu mwanaume awe na pesa.
Swali kidogo wewe unayeenda kwa mke wa mtu pia waweza uuwa kumbuka ama ukilema.
So wewe uanyefia kidonda na jambazi anayefia kwenye Mali unadhani ni Nani kidogo kwa jamii anaonekana ni mwanaume kiutafutaji.
Trading unahitaji uwe na roho ngumu kisnge uwe tayari hata mahusiano yako yanakufa. So Kama unapenda mahusiano komaa nayo. Jamani hii ishu ni ngumu mpaka utoe hela kwa broker sio rahisi. So nawashangaa wanaposema kuwa ni nyepesi.

Sidhani kuwa waweza ipiga part time ukatoboa yaani ni zaidi ya wito hii.

Ila kubabake ukishamasta skills unatengeneza pesa kwa maisha yako yote.

Komaaeni mnaokomaahii kitu ni Tamu kinyama.

Ila mpaka uwe na jicho ama akili ya trading ni kuwa umeshajijua.

The greatest victory in the Earth is to conquer oneself by Plato"*
 
Chukua jembe kalime utaheshimika tu,, leo ukiulizwa na mtu unafanya kazi gani unasema kabisa mi ni Forex trader😀😀😀😀😀 swali utakaloulizwa ndiyo nini hio? Acheni kutapeliwa kwa kujitakia kubalini tu mbadilike.. Wakuja kunishangaa mimi ni nani huko mbeleni?ukute wewe ni mmoja wapo wazaz wako waliweka hela DECI wakaliwa zote, leo ndo unawashangaa walivo maskini na bado hujifunzi kuacha utopolo..
Mambo mengine yaache kama yalivyo kama hujawahi fanya kitu fulani huna uzoefu nacho kaa kimya maana unakuwa unapiga ramli
 
Jamani forex sio rahisi tunavyoiwazia. It's simple but not easy. Tafuta Mana ya hayo maneno tofauti yake.
Pia Kama haukuwa mtu wa msuli yatima sidhani Kama utaweza komaa. Mana inatakiwa unajifunza mwenyewe hakuna mwalimu Wala twisheni.
So waza hayo kwanza na inatakiwa usome kweli.
Yaani mpaka nawaza wanaoifanya as part time ,I Don't think so. Mana unahitaji fresh energy Sasa fresh energy unazitumia kwa kumtumikia mtu. Lazima uwe na sabaabu ya kwa Nini unaitaka iwe inakumahasisha.

Usiogope kupoteza na je ukifa kesho itakuwaje.

So komaa na ndoto zako pia wtu wasipangiane ndoto.
Haitakiwi uingie humu kwa kushauriwa Ila inatakiwa ujue mwihoni utakuwa Nani basi Kama unayapenda hayo maisha Zama.

Sio kirahisi Kama ivyo tunavyoiwazia mwanzoni.

Jamani sio uone mtu anaendesha ndege huku anaongea na simu unadhani ni easy.

It takes time yaani it takes time to master a certain craft.

Kaulize Myweather alitumia muda gani mpaka akawa vile akapigana na Mann Pacquiao ndani ya sijui hata lisaaa halijafika Ila mazafanta alilipwa si chini 350Bilioni Tanzania mane.
So kila mtu anapenda matunda Ila Sasa amka asubuhi acha blanket lako na Ile baridi ya asubuhi afu twende tukandae shamba.

Life is very tight ,but you've to work smart not hard.
Mana Kama ni ku work hard bamedi,wasukuma toroli,vibarua wa viwandani ndio wangekuwa matajiri.

Hakuna kanuni ya maisha watu tumezeshwa sana hapa duniani
 
Usiwe na tamaa ya kufanikiwa kesho think for 20 yrs to come. This is the game of to get rich slowly. Sema hii makitu ni Tamu Sana.

Waweza ndani ya dakika tano mtu ametengeneza hela ya Engineer ya miezi hata mitatu na pia na kuipoteza inawezekana Kama hujui unachokifanya.

Listen risk is doing something that you don't know.
 
240789490_1471875239837134_7213995043796199819_n.jpg
 
Back
Top Bottom