Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Sijakuambia kuwa ukiamini trading is like other shit in life so kila mtu Anazo beliefs zake sema uzuri your beliefs inapimwa na your trading account haifichi kile unachokifahamu mkuu.wewe unataka kile unachoamini au kujua ndio kiwe always kwa akili hii forex huiwezi utapoteza sana pesa.
Sipendi tuongee like Kama tunaoshena umwamba na kuhukumiana ama kutunishiana misuli. I don't like this kind of shit. Kama unachokifahamu just make money.Forex inataka ujue yakua soko linaweza kwenda vyovyote kwa wakati wowote lakini wewe unataka soko liende kama analysis yako kila wakati so utapigwa tu.
Baadae utakuja kuelewa kuwa walimu ambao hata hawana mtaala maalumu unaowaongoza sio trader mkuu.So imagine ukiwa na wanafunzi 1,000 wakakulipa $50 kwa mwezi si chap umepata easy money ya $ 50,000
Understanding and doing are two quite different things. Wangapi wanajua sigara pombe kuzini Ni kubaya Ila hawawezi acha fanya.Naona kuna ishu zinakusumbua sana kwenye mind yako. Ni hivi forex ni risk business hivyo watu wanatafuta namna ya kupunguza risk mojawapo ni hiyo kuwafundisha wengine au hata kuwa broker. So imagine ukiwa na wanafunzi 1,000 wakakulipa $50 kwa mwezi si chap umepata easy money ya $ 50,000!. Ninachokwambia sio kila biashara ni ya kila mtu hasa forex maana kwenyewe saikoloji ndio ishu kubwa sana sasa na wewe unataka kile unachoamini au kujua ndio kiwe always kwa akili hii forex huiwezi utapoteza sana pesa. Forex inataka ujue yakua soko linaweza kwenda vyovyote kwa wakati wowote lakini wewe unataka soko liende kama analysis yako kila wakati so utapigwa tu. Mfano leo akienda mfanyabiashara sokoni kariakoo akawa na magunia milioni moja ya mahindi anauza unafikiri nini kitatokea kwenye bei? ninachomaanisha wakati wowote kwenye forex anaweza tokea mwenye pesa say hedge funds au banks au large trader akaingiza sokoni big lot kutokana na mtaji wake hapo soko litamfuata yeye haijalishi set up au structure ilikuaje. Ukifaham hili always utalinda mtaji wako na kujifunza zaidi analysis. Forex sio rahisi na huku kuna wenye pesa na utaalam sana so ukiingia kichwa kichwa unaliwa tu. So for now jifunze kile unaweza fanya na kifanye always utapata odds za kuwin kubwa. By the way kwenye forex inafaa ujue hakuna strategy iliobora 100% ila kuna trader ambao ni bora 100% mfano anaweza kuwa na strategy yenye win ratio ya 40% maana yake ktk mfano trade 10 anakua sahihi 4 ila ktk hizo 4 anatengeneza mpunga mrefu zaidi ya alichopoteza hii ndio inaitwa consistency.
Wewe ni muongo[emoji2]Mi kilichonifanya niache forex, kuna siku nilikua natrade short, na chart zilikuwa zinaenda down in my favour, zimepass 21 pips, badala ya kuonyesha profit of 21 usd, instead ikawa inaonyesha loss of 21 usd, nikashangaa sanaa.. nikawacheck customer care, naona wananijib siasa nyingi. Baadae price line ikaoverturn ikawa above the selling price line(ask), heeh! Naona still inaonyesha Γ±egative.. ikiwa above, negative(loss), ikiwa below, negative(loss).
Nikagundua hawa jamaa kumbe wanao uwezo wa kucontroll chart na balance wanavyotaka, wakiamua. Nikaclose trade, nikawithdraw balance yote iliyobaki, nikaachana nao, shenzi sana. Nilimind kinoma.
Walahi nakuambia, ukweli mtupu.. afu imenitokea juzi tu hapa.. sema sikuscreenshot chattings zangu na customer care, ningezitupia humu.Wewe ni muongo[emoji2]
Maelezo Yako ni uongo pure
Nikweli ila nimara chache inatokea hivyoWalahi nakuambia, ukweli mtupu.. afu imenitokea juzi tu hapa.. sema sikuscreenshot chattings zangu na customer care, ningezitupia humu.
Umeiva tayari mkuu.Aisee nimependa Sana uchambuzi wako na udadisi wako ktk biashara ya forex.
Lakini na Mimi pia Nina idea ninayoina inaweza kufanya kazi kwa trader yeyote
1. Kwenye Forex unaweza kuwa na Setup ile ile ya Jana ukaingia Kama Jana lakini Jana ikakupa pesa kesho ikakaunyima pesa vizuri tu.
2. Kwenye Forex Kuna kitu kinaitwa zero sum game theory Yani Kuna participants wapo connected na mabroker na special wapo kwaajiri ya kupata pesa na sio kupoteza so wao huwa wanajua kabisa wangapi wamebuy this pair na wao wakisell kwa uzito gani candle zitarespond kwao (Kama 3mzuka) na retail kuchoma au kuhit stoploss zao eg Nssf watrade pesa za wafanyakazi uko afu utegemee Nssf wapoteze pesa zao ni uongo.
3.sasa mbinu kubwa Sana ambayo mm naona inaweza kukupa pesa huko ni Β°kuingia setup zile zile unazozifaham usichange change the way u trade.
Β°kwasabuabu soko lipo kwaajiri ya wewe upoteze pesa af ao ma huge perticipants wavune mzigo Sasa wewe usiweke stoploss kwa kufuata mfumo wa vitabu vya fx au mentors comments wew weka stop loss kwa kuangalia I need to lose very small and hold more profits
Kuna kibabu kimoja iv ndo kinashikiria historia ya kuwa most profitable & pro trader of fx tangia ianze kinaitwa George Soros kilitoa ushauri mmoja ivi konki Sana kuhusu hii forex kilisema:
"ili ufanikiwe kwenye forex suala sio kupata faida au hasara ila suala ni unakuwa umepata faida kiasi gani in comparison na hasara kiasi gani."
kiufupi apo nikagundua hutakiwi kudeal ana na ma strategy strategy ila unatakiwa uangalie your trading account history ktk mt4 au 5 yako ndo inakuwa Kama kioo chako bcz ukipata asala itakaa uko na faida itakaa uko so jukumu kubwa la kulipambania ni kuweza kumaintain positive account history kwa day,week, month, 3month, 6month and more.
So cut your loss very very quickly ikikushinda tumia ata swings za 1min charts kuweka stoploss af tp consider your setup za kuanzia 4hrs+ Sasa ata Kama utalose setup 9 out of 10 let say kwa pips below 10 ambazo zoote unawinda not less than 150 pips basi it's 100% possibly kuwin setup 1 ambayo ni ya 10 ikiwa na return ya pips 100 na Sasa what if ktk izo loosing streak ya 10 pips ingekua mala 7 una lose af ukawin mala 3 out of 10. Your trading account history inakuwa in positivity and then ukimaintain hiyo habits basi linakuwa suala la kucompound tu Yan as time goes wew unaupdate lot sizes tu.
Β° remember the golden role hapo ni kuwa hakuna mafanikio ya haraka because utapoteza wee na lazima utapata setup ata 2 safi out of 10 so kuja kuwa na large amount of money ndo inaitaji subira na commitment like other business zinapokuwa kubwa within 5 - 10 years or even more than that.
4. Nilikuja kugundua forex Ina parts or phase kuu tatu (3) ambazo lazma uzipitie Kama trader
A. Age of technical analysis - apo ni
phase ya kutumia ma strategy kibao
ukidhani strategy ndo pesa.
B.Age ya psychology - apo ni phase ya
kuamini kuwa ela unaweza ukapata na
loss unaweza ukapata Sasa unajihisi
kuwa Kuna emotions zinakutesa.
C.Age ya ku fu*k attention ya mass
psychology + social medias about
trading fx na kupush mdogo mdogo
Yani slow gratification kiasi kwamba
it's you + your technique + your roles +
your plans + so it's you vs your fu*kng
shits kiasi kwamba ni chaguo lako
unaliishi kimya kimya bcz hauna wa kumtegea kwenye maisha yako so unapiga mzigo kimya kimya mbaka ufike stage ya kupata unacho kitafuta ata Kama ni kwa miaka 10.
5.forex ni biashara inayo cheza Sana na psychology yako binafsi ( ukishindwa kujiwekea Sheria na kuzifiata) basi jua ni shimo ilo Mimi pia nimechoma Sana tu because of psychology lakini nikaja pia kugundua njia moja ya trader kuhandle saikolojia yake: nikagundua kila trader anaudhaifu wake unaompelekea ale loss na uo udhaifu ndo akili yake na ndio ubongo wake π Sasa njia pekee ya kudeal na psychology yako sio kusema I need to be consistent, discipline, patient wewe unahitaji 1st: trade ktk week 1 tu πaf orodhesha makosa yako yoote uliyoyaona af ayo makosa yatengenezee Sheria ama katiba kuwa Sheria yangu nisirudie hili na hili na hili bro I swear utajikuta ayo masuala ya psychology yanakuwa under your control bcz ukiwa unafuata roles zako vizuri lazma discipline itajidhihirisha na consistency itaonekana tu sio wewe uanze kusema naitafuta hapanaπππ
Note: niwe muwazi nimeanza kujifunza in deep hii forex Jan 2017 - now 2022 Yani simaanishi kujifunza juu juu af naacha no Yan kila ninapokuwa na bundle nafatilia maforex tu most of time na nimefanya vitu vingi ma indicator, marobots, signals, nimeuzuria course sijui za akina sirjeff sijui akina nani ukoππ namaanisha nimeifatilia in deep nimefika stage mt5 au 4 naifanya Kama application ya kucheza game so it's my hobby. But I believe one day I'll make it because I love it and I'm committed to do it.
For more forex ideas check me 0744-08-9993 bcz mm sio fan wa JF nimepita pita tu na kucomment for free ili kuacha a small legacy kwa mtu ambaye anapush upande huu wa fx
Nakuomba cheki wazungu wanavyofanya kazi mkuu,hawafanyi uaminifu kwani umefungua nyumba ya ibada ili uaminifu wako ututeke ili tutoe sadaka kweli.UAMINIFU
Mkuu na weww tuwekee screenshots za withdrawals za hio 6350...πππkaka pole sana fuatilia niliko toka naye ndio utaelewa imekuwaje
pia sina maana get rech fast ila nina maana ukielewa biashara yako nirahisi kujua namna gani unaweza kudoble faida,
nimecheza na forex miaka minne, mtaji total ilikuwa ni usd 800,
within miaka minne total withdraw 6350 huku aiwa amekula zaidi ya hiyo niliyotoa ila naona nimamake profit sababu sijawahi deposit zaidi ya hiyo niliotoa 800.
soma vyema hoja yangu utanielewa, pia sikusema neno langu ni sheria, shida ya huyo jamaa anataka aweke neno lake ni sheria.
pia zaidi ya yote mnaitetea forex huku mkiwa mmeshindwa kujibu maswali yangu kiufasaha.
above all kila mtu huvumilia biashara fulani kwa kuzingatia malengo yake yaliyo mbele,
ukiwa unawazo la kujenga tu kakibanda kadogo kakuishi hata kuuza sambusa inakufaa tu, lakini ukiwa na wazo la kumiliki real estate lazima utabadirika katika utendaji wa biashara zako.
mmoja anapowaza ndani ya miaka mitano awe sehemu fulani basi kimawazo na jitihada atakuwa tofauti na anayeweza siku yoyote atafanikiwa .
soma tena andiko langu utanielewa sio mnapinga pinga tu
Hivi ni kwanini komment zako nyingi huzipost usiku mnene tu, saa 6,7 8,9 10 au 11 alfajiri?Forex sio ya kila mmoja wetu,ukweli uko hivi wenye forex yao wako kimya sana na hutaona wanachangia kitu hapa.Cha msingi tuliopigwa na forex tuendelee na matanga faraja iko mbele kwa kufanya mengine nje ya forex.Wenye liforex lao waacheni wasonge na wanaotaka kuingia huko forex waende tuu no one know tomorrow.