Sisi wasukuma hatuwezi kuishi Dar kwa kula chips aiseeeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Huyo ni msuka nywele kama wewe, sio Men huyo!
Dah yani 39 vat wamekula 5 jamani hii kodi ndefu sanaNgoja nimuoneshe ile bill yetu ya Samaki Samaki
View attachment 689427
Mimi Dar siwezi kuja mkuu, huo mji mimi siwezi kupishana na wanaume warembo kama dada zao....[emoji2] [emoji2] [emoji2]Na we unakosea hutakiwi kuuliza bei ule kwanza usubili bill
After all hajaiba! Hakuna kesi paleNa we unakosea hutakiwi kuuliza bei ule kwanza usubili bill
Acha tuchangie mkuu...hio 5000 kitaa chips kuku unapata.Dah yani 39 vat wamekula 5 jamani hii kodi ndefu sana
Acha wivuMimi Dar siwezi kuja mkuu, huo mji mimi siwezi kupishana na wanaume warembo kama dada zao....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu tutake radhi...Mimi Dar siwezi kuja mkuu, huo mji mimi siwezi kupishana na wanaume warembo kama dada zao....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ohhooooo.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Acha wivu
Radhi mkuu....[emoji12] [emoji12]Mkuu tutake radhi...
Kwani umeombwa uje? Mji wenyewe umejaa sana unafanya vuzuri kubaki huko Kolomije, hamasisha na wenzio wabaki huko maana mkija huku mnabeba na tabia zenu za porinMimi Dar siwezi kuja mkuu, huo mji mimi siwezi kupishana na wanaume warembo kama dada zao....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Na wi-fi alipata huyo jamaapole na hongera lakini si ulipewa risiti mbele ya yule muhindi?
Hiyo ndiyo price discrimination.....
Hapo kodi ni kubwa,mazingira mzuri,hali ya hewa nzuri tena kwa sasa wameboresha zaidi na pia kuna usalama kuanzia wa chakula chako hadi wewe....
Ila mkuu tunachangia nyingi sana ukilinganisha na huduma zinazo turudia ukijumlisha bandali mali asili kuna vitu ilitakiwa visiingizwe kwenye hii kodi umeme tunauziwa kwa bei kuna faida hapo wanapata kuna service chag hii inalipwa tuu sijui kwa nini na kila yunit tunalipaAcha tuchangie mkuu...hio 5000 kitaa chips kuku unapata.
Bora tuendelee kubaki huku Coll Me J, maana huyo mmoja tulie mleta hapo Dar anawapeleka puta hata mnashindwa kuhema wallah....[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwani umeombwa uje? Mji wenyewe umejaa sana unafanya vuzuri kubaki huko Kolomije, hamasisha na wenzio wabaki huko maana mkija huku mnabeba na tabia zenu za porin
Mkuu hio mada itaharibu mood ya TGIFIla mkuu tunachangia nyingi sana ukilinganisha na huduma zinazo turudia ukijumlisha bandali mali asili kuna vitu ilitakiwa visiingizwe kwenye hii kodi umeme tunauziwa kwa bei kuna faida hapo wanapata kuna service chag hii inalipwa tuu sijui kwa nini na kila yunit tunalipa
Mngeenda kununua uswahili. Muwarudishie vinywaji vyaoUwiiii pole mkuu mimi nilienda arusha kumfata hubby so jioni akaniambia twende impala sasa hubby yeye ni mzee wa konyagi always akaagiza konyagi yake na mie nikaagiza savana yangu +indian food ile kumaliza tunataka kuondoka tukaomba bill lohh kuangalia bei ya konyagi ni tsh 79000 nilishangaa sana na hela iliniuma sana kwa kwl duh.....siku ya pili gold crest tukaenda inauzwa 45 kitu kama hicho!! Nikasema shkamoooo arusha