Kilichonishangaza kwenye Taarifa ya habari, ni chombo kimoja kilichorusha habari ya Makonda. Huu ni utaratibu mzuri dhidi ya Mabeberu

Kilichonishangaza kwenye Taarifa ya habari, ni chombo kimoja kilichorusha habari ya Makonda. Huu ni utaratibu mzuri dhidi ya Mabeberu

Nimeangalia Taarifa ya Habari iwe ITV, TBC, AZAM TV hakuna habari iliyotangazwa ya Makonda sijui kuzuiliwa kwenda Marekani

Huu utaratibu mzuri kesho tena tunategemea kutoona gazeti lolote lililoandika ujinga wa Mabeberu

====
Edit:

Azam TV wamei-cover habari hii
Ondoa Post yako ujipange upya.
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo vs mabeberu applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, amekuwa condemned unheard na mabeberu Wamarekani ambao ni outsiders, hivyo media ya Tanzania zimeamua kutanguliza uzalendo kwa kushikamana na mteule mzalendo mchapakazi Makonda na kuwapuuza mabeberu Wamarekani na vibaraka wao waliotamalaki mitandaoni.
P
Sikuwahi jua kuwa wew ni mchumia tumbo namna hii. Ni heri ungekaa kimya kubakia na kaheshima kako kadogo kaliko salia. Kwahiyo uzalendo ni kutotangaza uovvu uliofanywa na mteule wa rais! Hii hasara kubwa kama taifa litakuwa na majitu ya kujikomba kama wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni ujinga au uzalendo utaiona as from next week
Nione nini kutoka katika nchi masikini Kama hii yetu ya Tanzania..?

Nini jipya!!? Labda ndio tunazidi kujizidishia umasikini, tunazidi kuwatia Watanzania kwenye ufukara..

Mnachokosea mnafikiri mnashinadana na Wamarekani, mkae mkijua hamshindani na Marekani bali mnashindana na Wakati, mnashindana na Enzi,

Hizi ni Enzi za Ukweli na Uwazi,Enzi za IT, ukenda kinyume na hivyo ujue utaumbuka tu,.... Mark my words
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo vs mabeberu applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, amekuwa condemned unheard na mabeberu Wamarekani ambao ni outsiders, hivyo media ya Tanzania zimeamua kutanguliza uzalendo kwa kushikamana na mteule mzalendo mchapakazi Makonda na kuwapuuza mabeberu Wamarekani na vibaraka wao waliotamalaki mitandaoni.
P
Ndumilakuwili katika ubora wako...👏
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo vs mabeberu applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, amekuwa condemned unheard na mabeberu Wamarekani ambao ni outsiders, hivyo media ya Tanzania zimeamua kutanguliza uzalendo kwa kushikamana na mteule mzalendo mchapakazi Makonda na kuwapuuza mabeberu Wamarekani na vibaraka wao waliotamalaki mitandaoni.
P
😃😃sio kwa kung·ata na kupuliza huku
 
Washasumbuliwa sana na faini wameshapigwa sana mpaka hawana hamu. Sasa hivi huwezi kukuta wapinzani mikutano yao inarushwa hewani. Wakiripoti kuhusu upinzani ni zile issue za wapinzani kwenda mahakamani. Unashitakiwa kwa kuhusiwa siyo mtanzania ila kesi inabadilishwa inakuwa ya uhujumu uchumi (money laundry). Hata kama hakuna sheria, tutakusumbua sana mpaka wenzio wakuonee huruma.
Kamuulize Kabendera anajibu zuri sana la kukupa
Lakini hii ndio ingekuwa nafasi nzuri kwao (vyombo vya habari) kuandika habari hiyo kikamilifu kabisa na kwa uwazi ili wakisumbuliwa ionekane wazi kuwa wananyimwa nafasi ya kufanya kazi yao bila ya usumbufu.

Wanapoteza fursa nzuri sana hii.
 
si ndio uminywaji wa democrasia huo au umeshindwa kujiongeza tukusaidie ndugu
Washasumbuliwa sana na faini wameshapigwa sana mpaka hawana hamu. Sasa hivi huwezi kukuta wapinzani mikutano yao inarushwa hewani. Wakiripoti kuhusu upinzani ni zile issue za wapinzani kwenda mahakamani. Unashitakiwa kwa kuhusiwa siyo mtanzania ila kesi inabadilishwa inakuwa ya uhujumu uchumi (money laundry). Hata kama hakuna sheria, tutakusumbua sana mpaka wenzio wakuonee huruma.
Kamuulize Kabendera anajibu zuri sana la kukupa
Kwani McMahoon, kuna sehemu yoyote katika andiko langu niliposema kwamba hayo yote uliyoyaweka hapo hayawapati wapinzani?

Maana ya mapambano ni nini mkuu wangu; hukumbuki kuwa kuna watu walijitoa mhanga wa maisha yao katika baadhi ya nchi wakipambania uhuru wa nchi hizo?

Hayo wanayofanyiwa wapinzani hapa nyumbani ni sehemu ya mapambano, kamwe hayawezi kuzuia juhudi zao za kuyapambania wanayoyaamini wao kuwa ndiyo yenye manufaa kwa taifa letu.

Sasa kama kazi hiyo hawaiwezi kuifanya wakisubiri hadi hapo anayewazuia awaruhusu - kama hicho ndicho unachowashauri wakifanye, basi wewe na wao mtasubiri milele.
 
Azam walitangaza Ila wasema uPUMBAVU eti kazuiliwa sababu anakemea ushoga asee nimewadharau sana
Nimeangalia Taarifa ya Habari iwe ITV, TBC, AZAM TV hakuna habari iliyotangazwa ya Makonda sijui kuzuiliwa kwenda Marekani

Huu utaratibu mzuri kesho tena tunategemea kutoona gazeti lolote lililoandika ujinga wa Mabeberu

====
Edit:

Azam TV wamei-cover habari hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulipigana na Mkoloni mweupe ili tujenge nchi yetu sote. Najua kuna tofauti ndogo ndogo za kwetu wafrika ila siyo za kuturudisha kipindi kile cha ukoloni wa Mjerumani na Mwingereza. Ulichoandika kina maanisha wapinzani waanze tena kuikomboa nchi zao kutoka kwa mkoloni mweusi kama waasisi walivyokomboa nchi zao kutoka kwa wakoloni. Kitu ambacho siyo kweli 100%.
Kutozingatiwa katiba na sheria ndiyo maana unaona "Sasa kama kazi hiyo hawaiwezi kuifanya wakisubiri hadi hapo anayewazuia awaruhusu - kama hicho ndicho unachowashauri wakifanye, basi wewe na wao mtasubiri milele"
Kwani McMahoon, kuna sehemu yoyote katika andiko langu niliposema kwamba hayo yote uliyoyaweka hapo hayawapati wapinzani?

Maana ya mapambano ni nini mkuu wangu; hukumbuki kuwa kuna watu walijitoa mhanga wa maisha yao katika baadhi ya nchi wakipambania uhuru wa nchi hizo?

Hayo wanayofanyiwa wapinzani hapa nyumbani ni sehemu ya mapambano, kamwe hayawezi kuzuia juhudi zao za kuyapambania wanayoyaamini wao kuwa ndiyo yenye manufaa kwa taifa letu.

Sasa kama kazi hiyo hawaiwezi kuifanya wakisubiri hadi hapo anayewazuia awaruhusu - kama hicho ndicho unachowashauri wakifanye, basi wewe na wao mtasubiri milele.
 
Kutozingatiwa katiba na sheria ndiyo maana unaona yote hayo. Sababu zimetolewa na zipo wazi na nzito. Swali. Nani ataripoti hiyo habari kwa hayo makosa yaliyotajwa? Ukiripoti ujue wewe si mzalendo na lazima utapigwa faini kwa kuhamasisha uchochezi. Nani yupo tayari kuripoti? Kabendera anajibu zuri sana la kukupa
Azam walitangaza Ila wasema uPUMBAVU eti kazuiliwa sababu anakemea ushoga asee nimewadharau sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo vs mabeberu applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, amekuwa condemned unheard na mabeberu Wamarekani ambao ni outsiders, hivyo media ya Tanzania zimeamua kutanguliza uzalendo kwa kushikamana na mteule mzalendo mchapakazi Makonda na kuwapuuza mabeberu Wamarekani na vibaraka wao waliotamalaki mitandaoni.
P
Njaa inakutesa sana!!!
 
Tulipigana na Mkoloni mweupe ili tujenge nchi yetu sote. Najua kuna tofauti ndogo ndogo za kwetu wafrika ila siyo za kuturudisha kipindi kile cha ukoloni wa Mjerumani na Mwingereza. Ulichoandika kina maanisha wapinzani waanze tena kuikomboa nchi zao kutoka kwa mkoloni mweusi kama waasisi walivyokomboa nchi zao kutoka kwa wakoloni. Kitu ambacho siyo kweli 100%.
Kutozingatiwa katiba na sheria ndiyo maana unaona "Sasa kama kazi hiyo hawaiwezi kuifanya wakisubiri hadi hapo anayewazuia awaruhusu - kama hicho ndicho unachowashauri wakifanye, basi wewe na wao mtasubiri milele"
Mkuu, haijalishi. Kukandamizwa na kunyimwa haki kunaweza kufanywa na yeyote bila kujali rangi yake.

Wewe unayenyimwa haki ni wajibu wako kuitafuta haki hiyo kwa njia yeyote bila kujali ni mmatumbi mwenzio au ni mtu toka mbali.

Unaandika kuhusu "kutozingatiwa Katiba na Sheria". Hivi unaelewa maana ya maneno hayo kweli?
 
Katiba na sheria vinasemaje kuhusu uhuru wa vyombo vya habari?, Katiba inasemae kuhusu mikutano ya vyama vingine vya siasa kufanya mikutano? Katiba na sheria ndiyo njia, sasa kama havifuatwi ndiyo yale unayoona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kuibuka kwa watu wasiojulikana, n.k. Mtu anaomba aruhusiwe ampige risasi Tundu Lissu. Sheria inasemaje kuhusu kumuua mwenzako? Leo Zitto watu wanajadili wamemfanyie kitu mbaya zaidi ya Tundu Lissu. Je, katiba na sheria vinasemaje?
Unajua kama kumtishia mwenzako kumtoa uhai, ni kosa la kisheria?
Unaona yote haya ni kutofuatwa Katiba na sheria za nchi.
Mkuu, haijalishi. Kukandamizwa na kunyimwa haki kunaweza kufanywa na yeyote bila kujali rangi yake.

Wewe unayenyimwa haki ni wajibu wako kuitafuta haki hiyo kwa njia yeyote bila kujali ni mmatumbi mwenzio au ni mtu toka mbali.

Unaandika kuhusu "kutozingatiwa Katiba na Sheria". Hivi unaelewa maana ya maneno hayo kweli?
 
Back
Top Bottom