Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

Ni City Center Upanga la aliyekuwa Mchungaji kiongozi baadaye akateuliwa na hayati Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Usalama taifa DG kwa sasa ni Balozi nchini Namibia naye si mwingine bali ni Dk. Modestus Francis Kipilimba.
Mkuu hapa umepotosha.
Kanisa linaitwa TAG City Christian Center (CCC).

Kapilimba kanisa lake ni City Harvest walikuwa wanasali mabibo garage pale victoria Petrol station na PSPF Golden Jubilee tower 4th floor, sasa wapo ledger plaza bahari beach.
 
Kuna wakina jonivisomo walikua wanaamini kuwa wakwanza darasani ndio kuyapatia maisha. Saizi cjui wanaendesha bodaboda maeneo gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee acha ukorofiii
 
Uandishi wa hovyo ambao mtu mzima hapaswi kuandika.

"sikumbuki nini kilitokea ila nilijikuta ile njia ya muhimbili nipo kwenye kituo karibu na chuo sijui ndo mzumbe nasubiri gari ya kutoka kariakoo nirudi masaki"

Kichwa cha Habari:

"kilichonitokea jituo cha daraja la salenda baada ya kushuka kwenye dala dala saa nne usiku"​


Swali:

Ni nini kilikutokea?
Sasa dogo anayetumwa samaki na boss ulitegemea nini ya maana?
 
ndo maana nikasema sijui ila ni chuo pale kuna kipindi konda wa daladala aliwahi dungwa kisu na mwanafunzi hapo ndo maana nakikumbuka ila jina ndo silikumbuki la chuo
Ndio mzumbe university Ina branch maeneo hayo , ukipita morogoro RD pale DIT Kuna kibao chake kinaelekeza
 
Nakumbuka nikitokea maeneo ya Slipway baada ya boss wangu kunipa laki moja nikatafute samaki,

Nikaenda msasani nikakosa hivo nikaona niende feri, nikapanda gari la kwenda Kariakoo tulipokaribia Salender nikamwomba konda anishushe hapo, konda kwa mshtuko, unasema?

Nikamwambia tena nishushe Sarenda muda huo ni saa 4 usiku basi bhana kama unavojua kuna watu hawapendi fuatilia mambo ya watu gari ikasimama nikashuka

Mbele yangu kulikuwa na gari moja ndogo imesimama halafu but I la mbele limenyanyuliwa nahisi ilipata hitilafu, nyuma kulikuwa na trafiki anaelekeza magari ile njia ya kwenda Coco beach, njia ya kutokea Coco nikaona vijana kama sita hivi muda huo wote yaani ni kama dk 10 zimepita toka nishuke ila kila gari ninalolisimamisha la kwenda Posta kutoka Makumbusho hayasimami yaana yanapita na mia

Sasa wale jamaa walikuwa na vifaa vikubwa balaa nikafikiri ni wanamazoezi, nikafikiri kujiunga nao ili nivuke pale darajani

Bado nawaza haijaisha sekunde kumi naona wameanzisha timbwili kwenye gari lile lililokuwa limepaki hapo mbele, kulikuwa na vijana wawili, kama sio waarabu basi ni wahindi, mara jamaa wakafungua milango muda huo hawa jamaa wenye gari wamekimbia mmoja anaelekea kwa askari anayeongoza magari hapo njia ya Coco beach mwingine anakimbia huko upande wa Pili wa barabara

Sikumbuki nini kilitokea ila nilijikuta ile njia ya Muhimbili nipo kwenye kituo karibu na chuo sijui ndo Mzumbe nasubiri gari ya kutoka Kariakoo nirudi Masaki
Kilichokutokea au ulichokishuhudia? Halafu saa nne usimu huwa hakuna askari anayeongoza magari pale Selender, ila doria huwa wanakuwepo.
Kingine chuo cha Mzumbe hakipo intouch kabisa na hapo unaposema ulisimama kusubiri daladala
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nipo Mawasiliano, ila sikuwahi jua km kuna Campus ya Mzumbe hapa Dar, pia ni kwa postgraduate ndo maana sio maarufu.

Au pia mie niko buzzy sana na mambo yangu.
Naomba tuwe busy na mambo yetu, mimi na wewe. Sema usiwe Mbaba
 
Back
Top Bottom