Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Ni kule agha khan upanga
Hata sipajui huko mie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sipajui huko mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ve wa mlongo, hinu ukajumbalila kwoki? Ve vandu va dala dala havo ndawa ya kyani vahuruki ng'oyi kukutangatila??Long time! Maeneo hapo Shekilango,saa sita usiku,nilavuka barabara ili nipande bus la Mbezi,nina kibegi na kina Ipad,nikaona jamaa wawili nao wakavuka na kunifuata,nikahisi hawa sio watu wema,nikaongeza mwendo,nao wakaongeza,nikatimua mbio wakaunga,jamaa wa daradara wanaona mchezo wakipiga kelele kimbia wewe kimbia,mbele kuna daradara ikaja ikasimama mbele yangu nikajitupa haraka,jamaa alirusha panga likagonga mlango[emoji3][emoji3]....nikapona.
Hapo sawaah.Wanafundisha masters tu
angalia usije kuwa we ndo mgeni!! Kwa hiyo unataka kubisha hakuna Campus ya Mzumbe pae Upanga?Dar kuna chuo cha Mzumbe??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo Mawasiliano, ila sikuwahi jua km kuna Campus ya Mzumbe hapa Dar, pia ni kwa postgraduate ndo maana sio maarufu.Hahahaha
Hama huko Vikindu
Hapo sawaahNi kule agha khan upanga
halafu wewe unatuchora, nimekustukiaKheeeh hadi Tegeta tenaa?? Mbna hataree.
Kwahiyo ndugu mwandishi inaonekana hata wew hujui nni kilitokeaNakumbuka nikitokea maeneo ya Slipway baada ya boss wangu kunipa laki moja nikatafute samaki,
Nikaenda msasani nikakosa hivo nikaona niende feri, nikapanda gari la kwenda Kariakoo tulipokaribia Salender nikamwomba konda anishushe hapo, konda kwa mshtuko, unasema?
Nikamwambia tena nishushe Sarenda muda huo ni saa 4 usiku basi bhana kama unavojua kuna watu hawapendi fuatilia mambo ya watu gari ikasimama nikashuka
Mbele yangu kulikuwa na gari moja ndogo imesimama halafu but I la mbele limenyanyuliwa nahisi ilipata hitilafu, nyuma kulikuwa na trafiki anaelekeza magari ile njia ya kwenda Coco beach, njia ya kutokea Coco nikaona vijana kama sita hivi muda huo wote yaani ni kama dk 10 zimepita toka nishuke ila kila gari ninalolisimamisha la kwenda Posta kutoka Makumbusho hayasimami yaana yanapita na mia
Sasa wale jamaa walikuwa na vifaa vikubwa balaa nikafikiri ni wanamazoezi, nikafikiri kujiunga nao ili nivuke pale darajani
Bado nawaza haijaisha sekunde kumi naona wameanzisha timbwili kwenye gari lile lililokuwa limepaki hapo mbele, kulikuwa na vijana wawili, kama sio waarabu basi ni wahindi, mara jamaa wakafungua milango muda huo hawa jamaa wenye gari wamekimbia mmoja anaelekea kwa askari anayeongoza magari hapo njia ya Coco beach mwingine anakimbia huko upande wa Pili wa barabara
Sikumbuki nini kilitokea ila nilijikuta ile njia ya Muhimbili nipo kwenye kituo karibu na chuo sijui ndo Mzumbe nasubiri gari ya kutoka Kariakoo nirudi Masaki
TaratiiibuKwahiyo wakakubaka?
Kama mikoko ndiyo hiyohiyo mianzi unanitia mashaka pamoja na uandishi wako wote unaoonesha kila kitu hukijui.Ndio hiyo hiyo mikoko mkuu ndani ya ile hifadhi ya maliasili kuna bango lao pale la kukataza watu wasifanye shughuli yoyote mle ndani🤣🤣🤣Sijasoma biology so sijui kutofautisha mimea mkuu.
Nikuchore kisa nn? Uliza wanachuo wengi, km wanakijua hivyo vyuo, maana sio maarufu hatahalafu wewe unatuchora, nimekustukia
Kumbe wewe ni mwanachuo piaNikuchore kisa nn? Uliza wanachuo wengi, km wanakijua hivyo vyuo, maana sio maarufu hata
Hapana nilisha graduate mda sana.Kumbe wewe ni mwanachuo pia
Naomba notes basiHapana nilisha graduate mda sana.
Mbeya najua kipoo, ila Dar ndo nimejua hapa mnavosema kipoo.
Mkuu sawa silijui hilo daraja la salender dar nimekuja juzi🤣🤣🤣🤣🤣.But huu uzi wakati unaanza jana ucku nilikua nachati na @ Cocastic na mdau @ George pk nikiwa las vegas casino tunazungumzia matukio ya hapo darajani way back.Kama mikoko ndiyo hiyohiyo mianzi unanitia mashaka pamoja na uandishi wako wote unaoonesha kila kitu hukijui.
Mkuu walianzia kukukimbiza pale darajani mpaka kule juu kino shamba(Makaburini)kweli una mapafu ya mbwa🤣🤣🤣🤣🤣Pale miembeni makaburini ndio kijiwe chao,kule juu mitaa ya ilipokuwepo american chips jau🤣🤣🤣🤣🤣Siku nakatiza mitaa hiyo toka upanga na stress zangu sa mbili hivi sijui ikawaje .
Lile kundi hawa hapa vibaka.
Tulikimbizana mpk wanarudi tuko miembeni kino makaburini.
Wakarudi maana walijua huku huyu jamaa anatupeleka mitaa yake tukatandikwe😅😅😅😅.
Na kweli wangefika tu American chips siku hiyo cha moto wangekipata
Karibu na shaban Robert sec school nilisoma hapoSikuwahi jua hili, means kipo karibu na Jangwani Girls Sec?
Hata Buguruni she'll,kuna jamaa yangu alichukua boda mida saa 5 usiku!anaenda ubungo,kufika maeneo ya Tabata kuna boda nyingine ikawapita,kufika kule mbele jamaa kwa spidi akakunja kona kuelekea kushoto huko mbele kuna kama shamba na nyumba zipo mbali,chap na boda mwingine akafika,wakatoa mapanga kwenye makoti,jamaa akapukutishwa visenti vyote na simu alizokuwa nazo...Mkuu shekilango ucku mpaka wale boda boda wa kituo cha mwendokasi ni wakwapuaji hasa wakiona mtu yupo tungi