Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

Ni City Center Upanga la aliyekuwa Mchungaji kiongozi baadaye akateuliwa na hayati Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Usalama taifa DG kwa sasa ni Balozi nchini Namibia naye si mwingine bali ni Dk. Modestus Francis Kipilimba.
Mkuu hapa umepotosha.
Kanisa linaitwa TAG City Christian Center (CCC).

Kapilimba kanisa lake ni City Harvest walikuwa wanasali mabibo garage pale victoria Petrol station na PSPF Golden Jubilee tower 4th floor, sasa wapo ledger plaza bahari beach.
 
Kuna wakina jonivisomo walikua wanaamini kuwa wakwanza darasani ndio kuyapatia maisha. Saizi cjui wanaendesha bodaboda maeneo gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee acha ukorofiii
 
Sasa dogo anayetumwa samaki na boss ulitegemea nini ya maana?
 
ndo maana nikasema sijui ila ni chuo pale kuna kipindi konda wa daladala aliwahi dungwa kisu na mwanafunzi hapo ndo maana nakikumbuka ila jina ndo silikumbuki la chuo
Ndio mzumbe university Ina branch maeneo hayo , ukipita morogoro RD pale DIT Kuna kibao chake kinaelekeza
 
Kilichokutokea au ulichokishuhudia? Halafu saa nne usimu huwa hakuna askari anayeongoza magari pale Selender, ila doria huwa wanakuwepo.
Kingine chuo cha Mzumbe hakipo intouch kabisa na hapo unaposema ulisimama kusubiri daladala
 
nipo Mawasiliano, ila sikuwahi jua km kuna Campus ya Mzumbe hapa Dar, pia ni kwa postgraduate ndo maana sio maarufu.

Au pia mie niko buzzy sana na mambo yangu.
Naomba tuwe busy na mambo yetu, mimi na wewe. Sema usiwe Mbaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…