Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ni mchezo uliojaribu kuchezwa kwa ufundi kidogo lakini kama kawaida umakini ndio unafunua kila kitu wakuhusika wakuu hapa ni Kingpin Albert Bashe maandalizi ya mbali kisiasa na kujijenga.

Clouds Media Mhanga ni Ruge, visa na utemi wa ujanani na kugombea jina nani zaidi mpaka sasa ni majeruhi wa vipigo vingi.

Kingpin player keshamuumiza sana mpaka kwenye mahusiano na sasa inaingia vita ya kibiashara na mustakabali.

Diamond kupitia Wasafi tv na FM radio umaarufu wake na nafasi katika jamii anatumika kufanikisha malengo ya wengine. Hata kama hataki, hana hiari ya kukataa Wema Sepetu hili ni wazo la Albert.

Huyu ndio kasuka mpango wa kumtoa CHADEMA na kumnyooshea mambo yake yote kuanzia kesi mahakamani mpaka figisu za kibiashara anatumika kisiasa zaidi kwa manufaa ya wengine.

Sasa Kingpin ana kila silaha silaha ya kufanikisha agenda ovu za siri zisizo siri
Ana backup ya mamlaka karibia zote

Ana backup ya media Wasafi media na gazeti la Tanzanite. Ana wapambe kina Musiba na wengine wengi. Ana backup ya watu maarufu wengi vijana under 40

Nisiandike mengi kwa sasa lakini Wema ni sehemu ya mkakati wa kufanikisha jambo kubwa huko mbeleni. Clouds iliyokuwa sehemu muhimu ya kusambaza propaganda zao sasa hivi si kitu tena imeshaumizwa na kujeruhiwa pakubwa.

Inaelekea mwisho wa enzi Wasafi tv na radio zinajengwa kuchukua nafasi ya Clouds Media wakishamaliza hilo subirini wabongo mtafurahishwa!
3e89fddaec952404cba35dc598c69f8d.jpg
 
Ni mchezo uliojaribu kuchezwa kwa ufundi kidogo lakini kama kawaida umakini ndio unafunua kila kitu
Wakuhusika wakuu hapa ni
Kingpin Albert Bashe... Maandalizi ya mbali kisiasa na kujijenga
Clouds Media... Mhanga ni Ruge... Visa na utemi wa ujanani na kugombea jina.. Nani zaidi.. Mpaka sasa ni majeruhi wa vipigo vingi... Kingpin player keshamuumiza sana mpaka kwenye mahusiano na sasa inaingia vita ya kibiashara na mustakabali
Diamond kupitia wasafi tv na FM radio... Umaarufu wake na nafasi katika jamii... ANATUMIKA kufanikisha malengo ya wengine. Hata kama hataki, hana hiari ya kukataa
Wema Sepetu... Hili ni wazo la Albert... Huyu ndio kasuka mpango wa kumtoa CHADEMA na kumnyooshea mambo yake yote kuanzia kesi mahakamani mpaka figisu za kibiashara... Anatumika kisiasa zaidi kwa manufaa ya wengine

Sasa Kingpin ana kila silaha silaha ya kufanikisha agenda ovu za siri zisizo siri
Ana backup ya mamlaka karibia zote
Ana backup ya media WASAFI media na gazeti la Tanzanite
Ana wapambe kina Musiba na wengine wengi
Ana backup ya watu maarufu wengi vijana under 40
Nisiandike mengi kwa sasa lakini wema ni sehemu ya mkakati wa kufanikisha jambo kubwa huko mbeleni... Clouds iliyokuwa sehemu muhimu ya kusambaza propaganda zao sasa hivi si ktu tena.. Imeshaumizwa nakujeruhiwa pakubwa.. Inaelekea mwisho wa enzi

Wasafi tv na radio zinajengwa kuchukua nafasi ya clouds media.. Wakishamaliza hilo.... Subirini wabongo mtafurahishwa!
3e89fddaec952404cba35dc598c69f8d.jpg
Kipind nasikiliza radio tanzania na kbc (kenya) sikuwah kujua kama kungekuwa na radio nyingine tena ,, kulikuwa na michezo ya radio sikuwah kudhan kama ingefutika kabisa...

Ulikiwa ukitaka kupiga simu unaenda kibandan unaambiwa "kudipu" hata neno beep hatukuwa tunalijua sh.100 ,, kila lenye mwanzo lina mwisho

Jambo likililiwa na wengi huwa ni laana tena laana kuu(nataman ningekuwa najua kubold) na mwisho wake huwa mbaya sana tena sana ....

Itafikia mahali utahisi umelogwa na kumtafuta mchawi ila si kweli bali machozi ya wanyonye ....wasijifiche kwenye neno "mungu" yes si Mungu mana Mungu ni wa kulipa haki daima ...kuna siku tutalamba asli huku tukinywa maziwa ila kama si hapa basi akhera

Mungu nitunzie kizaz changu ilinde JF vizaz vyetu vije kusoma mabandiko ya wazaz ama mababu zao
 
Well said wanacheza mchezo mchafu lakini mwisho upo na utakuwa mbaya sana. huyo Bashite ni zero brain atashindanda na mtu mwenye ujuzi wapi na wapi.. but all in all acha awanyooshe hao Clouds walijibeba sana kwa hilo FALA.

Huyu ndio maana hata hana mbegu haki alivuruga mahusiano kwa kumwozesha Zama houseboy ambaye hata hadhubtu kupiga nae pic now amehamia kwingine haki God is watching you BASHITE
 
Mchezo wao umeshamalizwa nguvu na zari. Kama kweli makonda ana nguvu ya ushawishi abadili msimamo wa zari kumrudia dai. Wasafi tv&radio kiki ishakufa zamaan saiv watatembelea jina kwa miaka miwili mitatu baada ya hapo chali kama sio wao walioingilia fani za watu kwa mbwembwe
 
angalieni msijekuwa mnaambaa-ambaa kwenye fikra za mweka mada kwayo nionapo zipo kihisia nusu kimantiki!
 
Mchezo wao umeshamalizwa nguvu na zari. Kama kweli makonda ana nguvu ya ushawishi abadili msimamo wa zari kumrudia dai. Wasafi tv&radio kiki ishakufa zamaan saiv watatembelea jina kwa miaka miwili mitatu baada ya hapo chali kama sio wao walioingilia fani za watu kwa mbwembwe
Kweli kabisa ,,, itakuwa n redio/tv ya makundi makund flan,,
 
Mchezo wao umeshamalizwa nguvu na zari. Kama kweli makonda ana nguvu ya ushawishi abadili msimamo wa zari kumrudia dai. Wasafi tv&radio kiki ishakufa zamaan saiv watatembelea jina kwa miaka miwili mitatu baada ya hapo chali kama sio wao walioingilia fani za watu kwa mbwembwe
Umekosea ludia tena kufikilia
 
Ni mchezo uliojaribu kuchezwa kwa ufundi kidogo lakini kama kawaida umakini ndio unafunua kila kitu wakuhusika wakuu hapa ni Kingpin Albert Bashe maandalizi ya mbali kisiasa na kujijenga.

Clouds Media Mhanga ni Ruge, visa na utemi wa ujanani na kugombea jina nani zaidi mpaka sasa ni majeruhi wa vipigo vingi.

Kingpin player keshamuumiza sana mpaka kwenye mahusiano na sasa inaingia vita ya kibiashara na mustakabali.

Diamond kupitia Wasafi tv na FM radio umaarufu wake na nafasi katika jamii anatumika kufanikisha malengo ya wengine. Hata kama hataki, hana hiari ya kukataa Wema Sepetu hili ni wazo la Albert.

Huyu ndio kasuka mpango wa kumtoa CHADEMA na kumnyooshea mambo yake yote kuanzia kesi mahakamani mpaka figisu za kibiashara anatumika kisiasa zaidi kwa manufaa ya wengine.

Sasa Kingpin ana kila silaha silaha ya kufanikisha agenda ovu za siri zisizo siri
Ana backup ya mamlaka karibia zote

Ana backup ya media Wasafi media na gazeti la Tanzanite. Ana wapambe kina Musiba na wengine wengi. Ana backup ya watu maarufu wengi vijana under 40

Nisiandike mengi kwa sasa lakini Wema ni sehemu ya mkakati wa kufanikisha jambo kubwa huko mbeleni. Clouds iliyokuwa sehemu muhimu ya kusambaza propaganda zao sasa hivi si kitu tena imeshaumizwa na kujeruhiwa pakubwa.

Inaelekea mwisho wa enzi Wasafi tv na radio zinajengwa kuchukua nafasi ya Clouds Media wakishamaliza hilo subirini wabongo mtafurahishwa!
3e89fddaec952404cba35dc598c69f8d.jpg
Umenena vema sana Mkuu..

Tatizo naloliona ni moja kubwa..

There's no a single move/mission that has been geared by Bashite ambayo imewahi kufanikiwa..

Iwe nzuri au mbaya, he is the best failure!

Ngoja tuone hii.
 
Back
Top Bottom