Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Hamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
Mkuu umeifunga mada.

Ni tamaa tu ambayo huwa haidumu mioyoni mwa wadau walio wengi na ndiyo maana ya ndoa kuvunjika mapema.

Kuna wengine hudiriki hadi kutoa mahari kwa wachumba wasiokuwa na haja ya kuwaoa, ili mradi tu afanikishe dhamira yake ya 'kupata' bila kujali gharama ama hasara.
 
Diamond hata hakujui wewe, acha kufuatilia maisha ya watu hao washaamua kuishi yao. Akimuonea wivu, asimuonee wivu, kivyao, the matter is immaterial.

Wewe ishi maisha yako. Hizi habari za kumpangia mwanamme mwenzako mtu baki aoe vipi mwishowe utataka uwe msenge akuoe wewe. Utasema wanawake wote hawafai wewe ndiye unafaa kuolewa.

Mwanamme hampangii mwanamme mwenzake jinsi ya kuoa mkuu.

Wanawake wote watakaokuja hapa kumsema Aziz Ki kaoa vibaya nitawaona hawana home training, hawajui kuheshimu privacy ya mtu, lakini kuna point moja nitawaelewa. Wale wapo katika competition na Hamisa kuolewa na Aziz.

Wewe mwanamme ukiisema hii ndoa pia utakuwa umekosa home training, hujui kuheshimu privacy ya ndoa za watu. Lakini pia utakuwa umeingia kwenye competition na Hamisa kutaka kuolewa na Aziz.

Why the heck would a man care who Aziz marries?
FB_IMG_1740060214048.jpg
 
Wengine tunasubiri kuona kiwango uwanjani kitongezeka ama kushuka tupate la kujazia
 
Hajarogwa bwana yeye kapenda tako lile...mobeto mzuri nyie achine kwanza ukimvua kyupi yule unaweza anza kupiga sala kushukuru bahati ya kukojolea pale.

Aziz baba wee kula mali safi hiyo maisha ndio haya haya
Tofautisha kuwa mzuri na maarufu, huku mtaani kuna watoto wazuri tena bikra na bado hutoi hiyo 30M
 
Hamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
Wahindi wafanyabiashara hawathombi nje,niliipata specifically kwa manji,wanaogopa huo ungese, maana utakuyumbisha
 
Nitakuwa wa kwanza kuamini HAMISA ni Mrs kii

Nikutakie khery Tena kwako Mr and Mrs kii kwenye ndoa yenu

Mkafanikiwe kwenye kila kusudio lenu. Amen
 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!
Hahaha
 
Hamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
Hahaha
 
Hamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
1 million likes mkuu.
 
Why does it matter to you if Aziz marries Hamisa or not?

You are not the one getting married, so why does it matter to you?

Your family is not paying for this wedding, so why does it matter to you?

1 million likes mkuu
 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!

uwe na subra MTU akiwa ana-enjoy hela zake.

Almradi TRA hawamdai Aziz muhimu tuwaombee ndoa yao ifanikiwe.
 
Back
Top Bottom