Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Afu mwisho wa mwezi ukitimba anakuwa shap kama kengele ya kanisa kuchukua mshahara.Mzee wa 008
0 goals
0 assists
8 matches
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu mwisho wa mwezi ukitimba anakuwa shap kama kengele ya kanisa kuchukua mshahara.Mzee wa 008
0 goals
0 assists
8 matches
Umefuatilia vyema!Hawa wapuuzi walianza kupoteza muda tangu dakika ya 17 ya kipindi cha kwanza lakini mwisho wa siku wameruka mkojo wamekanyaga ma vi
Walijua watapata sare,ila ikawa tofautiHawa wapuuzi walianza kupoteza muda tangu dakika ya 17 ya kipindi cha kwanza lakini mwisho wa siku wameruka mkojo wamekanyaga ma vi
Walijua watapata sare,ila ikawa tofautiHawa wapuuzi walianza kupoteza muda tangu dakika ya 17 ya kipindi cha kwanza lakini mwisho wa siku wameruka mkojo wamekanyaga ma vi
Fukara la utopolo mpumelelo unateseka ukiwa wapi[emoji23][emoji23]Mpe dada
Naona unamkubali
Utasubir sana dogo.Tambeni ila mjue msimu huu mtadondosha alama nyingi kuzidi msimu uliopita.
Leo kama sio refa mngekuwa mnamlaumu GSMUtasubir sana dogo.
Tuwalani marefa ila na wachezaji wenye kupenda kulala na kupoteza hukumu yake ndiyo ile!Matokeo ni dhuluma ya wazi
Kwani zilivyoongezwa 6 Simba wakicheza peke yao au mashujaa walishikwa miguu? Huko kwenu walio timamu bado ni WAWILI au wamepungua?Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
hivi dube ana magoli mangapi kwenye ligi kuu?Na wakitaka kufungwa wao mpira unaisha hapo hapo, refer mechi ya Coastal Union. Hawa washenzi wanabebwa sana
mpumalelo dube mwanamfalme hadi sasa hivi ana magoli mangapi kwenye ligi kuu? bibi kaniuliza nimeshindwa.Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Mukwalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa........!! dakika za jiooooooooni......!!Mbeleko fc
yes ni dhuluma ya wazi ndio maana dube hajafunga goli hata moja naunga mkono hoja.Matokeo ni dhuluma ya wazi
je hiyo itamfanya dube afunge?Tambeni ila mjue msimu huu mtadondosha alama nyingi kuzidi msimu uliopita.
LAZIMA TUMLAUMU GSM KWANINI KATUSAJILIA STRAIKA AMBAYE HAFUNGI MECHI YA NANE HII DUBE A.K.A MOBIMBA YOO HANA GOLI HATA LA OFFSIDE.Leo kama sio refa mngekuwa mnamlaumu GSM