Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Tambeni ila mjue msimu huu mtadondosha alama nyingi kuzidi msimu uliopita.
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Kwani zilivyoongezwa 6 Simba wakicheza peke yao au mashujaa walishikwa miguu? Huko kwenu walio timamu bado ni WAWILI au wamepungua?
 
Miuto bana...imesahau ya kayoko...
Kayoko yuko kikaangoni
Na miyanga imepigwa faini ya milioni 10 kwa kupita milamgo ya nyuma mwiko...
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
mpumalelo dube mwanamfalme hadi sasa hivi ana magoli mangapi kwenye ligi kuu? bibi kaniuliza nimeshindwa.
 
Mechi za ligi kuu nyingi zinachezwa dakika chini ya 75. Timu inaanza kupoteza muda kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo.

Kuna haja zote kucopy utaratibu wa ligi ya EPL. Kule zinaongezwa hadi dakika 12 ikibidi.
 
Back
Top Bottom