Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Hivi huo muda ulioongezwa na kuwa gumzo hivi, waliongezewa Wachezaji wa Simba tu? Hao wachezaji wa Mashujaa walikuwa wamefungwa miguu wasicheze?
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
goli lilifungwa dk ya nyongeza 6 sekunde ya 54
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Uliangalia mpira au unabwatabwata.. goli limefungwa dk 96 na sekunde kama 50+
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Hukuona kwenye dakika za nyongeza kipa wa mashujaa aliumia na kutibiwa uwanjani?
 
Juzi juzi tu hapa mashujaa waliifunga Simba Leo watu wamejitoa ufahamu kwa goli moja!!!
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Mkuu samahani hebu tuiweke hii sawa, dakika zikiongezwa zinaongezwa kwa timu zote au timu moja? Au katika nyongeza ya dakika timu moja inasimama nyingine ndio inashambulia? Kama dakika ni za wote huoni kama yeyote anaweza kushinda hapo
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Marefa hawafanyago hivyo, kukiwa na movement ya mashambukizi hasa ndani ya box hata kama muda umepita refa ana mamlaka ya kuongeza muda wake binafsi hadi shambulizi lipite
 
Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Kona zilianza kupigwa muda gani? ungekua wewe ni refa unaweza kumaliza mpira wakati wa shambulizi?
 
Marefa hawafanyago hivyo, kukiwa na movement ya mashambukizi hasa ndani ya box hata kama muda umepita refa ana mamlaka ya kuongeza muda wake binafsi hadi shambulizi lipite
Costal na simba mpira ulimalizwa kukiwa na shambulizi
 
mbumbumbu bila kabahasha hakuna ushindi, na msimu huu nafasi ya nne inawahusu
 
Back
Top Bottom