Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Bado ligi inaendelea, atafunga tumpumalelo dube mwanamfalme hadi sasa hivi ana magoli mangapi kwenye ligi kuu? bibi kaniuliza nimeshindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ligi inaendelea, atafunga tumpumalelo dube mwanamfalme hadi sasa hivi ana magoli mangapi kwenye ligi kuu? bibi kaniuliza nimeshindwa.
au tumpeleke kwa huseni mwalimu wa fountain gate amfundishe kufunga.Bado ligi inaendelea, atafunga tu
Hivi huo muda ulioongezwa na kuwa gumzo hivi, waliongezewa Wachezaji wa Simba tu? Hao wachezaji wa Mashujaa walikuwa wamefungwa miguu wasicheze?Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
DUBE atafunga tu ni suala la mudaLAZIMA TUMLAUMU GSM KWANINI KATUSAJILIA STRAIKA AMBAYE HAFUNGI MECHI YA NANE HII DUBE A.K.A MOBIMBA YOO HANA GOLI HATA LA OFFSIDE.
goli lilifungwa dk ya nyongeza 6 sekunde ya 54Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
au tumrudishe molinga a.k.a papaa ndama mutoto ya ng'ombe?DUBE atafunga tu ni suala la muda
Uliangalia mpira au unabwatabwata.. goli limefungwa dk 96 na sekunde kama 50+Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Hukuona kwenye dakika za nyongeza kipa wa mashujaa aliumia na kutibiwa uwanjani?Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Matuta!Juzi juzi tu hapa mashujaa waliifunga Simba Leo watu wamejitoa ufahamu kwa goli moja!!!
Wanajizima data!Hukuona kwenye dakika za nyongeza kipa wa mashujaa aliumia na kutibiwa uwanjani?
Wamevuna walichopanda!Mashujaa walikuwa wanapoteza muda.
Mkuu samahani hebu tuiweke hii sawa, dakika zikiongezwa zinaongezwa kwa timu zote au timu moja? Au katika nyongeza ya dakika timu moja inasimama nyingine ndio inashambulia? Kama dakika ni za wote huoni kama yeyote anaweza kushinda hapoMwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Marefa hawafanyago hivyo, kukiwa na movement ya mashambukizi hasa ndani ya box hata kama muda umepita refa ana mamlaka ya kuongeza muda wake binafsi hadi shambulizi lipiteMwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Kona zilianza kupigwa muda gani? ungekua wewe ni refa unaweza kumaliza mpira wakati wa shambulizi?Mwamuzi leo ametutoa kimasomaso.
Wataalamu tumepitia upya mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha pili. Katika dakika 45 za kipindi cha pili, dakika zilizopotea zilikuwa 4 kasoro, lakini kamisaa akaonyesha nyongeza 6.
Hiyo cha mtoto, katika zile 6 za nyongeza muda uliopotezwa ulikuwa ni sekunde 35, lakini mwamuzi akaongeza za kwake na goli likafungwa dakika ya 7 na sekunde ya 20s.
Wazee wa chupuchupuSikupenda goli walilofungwa mashujaa lakini iwe fundisho kwa wale wapoteza muda mwisho wa siku imewagharimu.
Hongera simba kwa pointi tatu za jioni!
Angalizo man of the match ni johora!
PIA SOMA
- News Alert: - Mashujaa 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika | 1 November, 2024
Costal na simba mpira ulimalizwa kukiwa na shambuliziMarefa hawafanyago hivyo, kukiwa na movement ya mashambukizi hasa ndani ya box hata kama muda umepita refa ana mamlaka ya kuongeza muda wake binafsi hadi shambulizi lipite
Nani hao!Wazee wa chupuchupu