Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Kilichotokea leo kwa mashujaa iwe fundisho kwa wale wapoteza muda!

Mkuu samahani hebu tuiweke hii sawa, dakika zikiongezwa zinaongezwa kwa timu zote au timu moja? Au katika nyongeza ya dakika timu moja inasimama nyingine ndio inashambulia? Kama dakika ni za wote huoni kama yeyote anaweza kushinda hapo
Mashujaa ni kweli walipoteza muda na hata dakika zilizoongezwa kwangu ni chache sana.

Ila kutumia hoja ya kwamba dakika zinaongezwa kwa wote ni hoja dhaifu kwa kuwa mpira ni mchezo wa malengo. Yule anayelinda alichonacho zikiongezwa dakika nyingi kupitiliza zinamuweka hatarini wakati yule anayetafuta matokeo anakuwa kwenye faida zaidi ya kuyapata.

Mimi sio muumini kabisa wa kupoteza muda. Bodi ya ligi ifike muda wapitishe sheria ziongezwe hata dakika 10 ikibidi. Mpira wa Bongo unasimama sana. Hata ikitokea freekick karibu na box hadi ipigwe dakika nzima inakata.
 
Mashujaa ni kweli walipoteza muda na hata dakika zilizoongezwa kwangu ni chache sana.

Ila kutumia hoja ya kwamba dakika zinaongezwa kwa wote ni hoja dhaifu kwa kuwa mpira ni mchezo wa malengo. Yule anayelinda alichonacho zikiongezwa dakika nyingi kupitiliza zinamuweka hatarini wakati yule anayetafuta matokeo anakuwa kwenye faida zaidi ya kuyapata.

Mimi sio muumini kabisa wa kupoteza muda. Bodi ya ligi ifike muda wapitishe sheria ziongezwe hata dakika 10 ikibidi. Mpira wa Bongo unasimama sana. Hata ikitokea freekick karibu na box hadi ipigwe dakika nzima inakata.
Utakwenda peponi!
 
Hivi ERIC JOHOLA ameshaamka au bado amelala? Maana niliacha kuangalia pale alipoagiza aletewe blanket kutoka benchi la ufundi.🤣😝...Mamamaeee zake kabisa!
 
Back
Top Bottom