LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
KAFARA NI NINI?
Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu.
SABABU ZA KUTOA KAFARA.
Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali.
Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi:
1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s) THAT UR SERVING OR THAT U R SEEKING TO ENTER INTO A PACT WITH:
Mfano:
When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted to prove Abraham's loyalty and obedience over him.
Wakati mwingine kafara ya aina hii ( to prove loyalty) sio lazima itolewe Kwa Mungu au muungu. Inaweza kutolewa Kwa MTU au kikundi cha watu.
Nitakupa mifano hai.
In 1994 wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi huko nchini Rwanda kuna baadhi ya watutsi wali wasaliti watusi wenzao ili waweze kuwa spared from the interahamwe's wrath.
Wengi wao walikuwa ni wale walio julikana kama WAHUTSI ( Mixture Baba Mhutu/ Mama Mtutsi )
When the Interahamwe approached them these guys would say " DONT KILL US PLEASE. WE ARE NOT TUTSIS. ITS JUST OUR FATHERS MARRIED OUR TUTSI MOTHERS BUT WE OURSELVES HATE TUTSI TOO. AND WE CAN JOIN YOUR ' EVIL' CAMPAIGN"
Interahamwe: " Kama unamaanisha unacho kisema. Kamata panga, kamata rungu twende Hadi nyumbani kwenu umuue mama.ako na mama zako wadogo ambao ninwatutsi. Ukifanya hivyo utakuwa ume prove your loyalty to us.
After they killed their mothers they were then justified to be initiated in the interahamwe.
So Kwa lugha nyingine watu hawa waliwatoa kafara mama zao ili waweze kupona kuuwawa and at the same time to prove their loyalty to the interahamwe.
Mfano mwingine ni huko nchini Marekani. Kuna makundi ya kihuni maarufu kama the bloods and the crips.
It was alleged that if you want to join them you should first kill a person. The leader of the relevant sect of a gang will give you a task to kill a person who is of course one of their enemy and if u full fill the task you then qualify to join them..
2. GOD OR YOUR god(s) NEED YOU TO MAKE HIM THE FIRST PRIORITY.
When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted ABRAHAM to sacrifice the place of ISACK ( ISHMAEL?) in his heart and put God instead, of which he did. So to me ABRAHAM actually sacrificed his son.
The real and acceptable sacrifice is the one that take place in the heart . The physical one is just a translation to what has actually happened in your heart.
" Ukitaka kumchinja kuku, kondoo, mbuzi au n'gombe huwa Una mchinja Kwanza kwenye nafsi yako kabla hujamchinja kwenye shingo ) Maalim Mohamed Said atakubaliana na Mimi katika hili.
3. UNAFANYA KAFARA YA DAMU KWA AJILI YA KUITUMIA DAMU ULIYO IMWAGA KAMA POINT OF CONTACT BETWEEN YOU AND YOUR GOD,god(s) OR THE SPIRITUAL WORLD, WHICHEVER COMES FIRST.
Katika ulimwengu wa roho, moja Kati ya kazi za damu NI kutumika kama medium of communication. What do you want to communicate to the spiritual word? . You use the blood as a medium of communication. The blood will speak for you. You will speak to the blood what you want to speak to the spiritual world and the blood will speak to the spiritual world on your behalf. Moja Kati ya kazi kubwa za damu katika ulimwengu wa roho ni kutamka.etc.
4... DAMU HUTUMIKA.KATIKA MAAGANO YA KIROHO.
AGANO NI NINI? : AGANO NI MAKUBALIANO RASMI BAINA YA PANDE MBILI AMBAZO ZIMEKUBALIANA KUTEMBEA KWA PAMOJA KWA MUDA MAALUMU NA KWA MASHARTI NA UTARATIBU MAALUMU.
# MASHARTI NA UTARATIBU HUO LAZIMA VIWE VINAENDANA NA KANUNI ZA ASILI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. MASHARTI AU UTARATIBU HUO UKIENDA KINYUME NA KANUNI MAMA ZA ULIMWENGU WA ROHONI BASI AGANO HILO LINAKUWA IMPOTENT. HALIWEZI KUWA EXECUTED KATIKA ULIMWENGU WA DAMU NA NYAMA.
# AGANO LIKISHA INGIWA HALIWEZI KUVUNJWA KIENYEJI ENYEJI BILA PANDE HIZO MBILI KURUDI MEZANI KUFANYA MAZUNGUMZO.
# ENDAPO PANDE HIZO ZITA AFIKIANA BASI LITAUNDWA AGANO JINGINE MAALUMU KWA AJILI YA KUVUNJA AGANO HILO. KWA LUGHA NYINGINE AGANO HUVUNJWA KWA AGANO.
# AGANO linaweza kuingiwa Kwa hiyari au Kwa kushurutishwa.
# AGANO la hiari : Pande mbili zinakubaliana kuingia katika AGANO.
# AGANO SHURUTI: Mchawi anaweza kuingia katika AGANO na mapepo Kwa ajili ya kumfunga MTU Fulani. Eg kumsababishia maradhi ya kichawi, kufunga rizki, kumchukua msukule au kumfanya kuwa mpenzi, mke, mine etc.
KAZI YA DAMU KATIKA MAAGANO YA KIROHO.
Damu ina kazi nyingi Sana katika ulimwengu wa kiroho. Muda hautoshi. Nitazielezea chache Kati ya hizo.
1. Kuua na kuhuisha( kukipa uhai )kitu, madhabahu au AGANO.
Katika ulimwengu wa roho damu inasimama kama Ishara ya Uhai but at the same time inasimama kama Ishara ya kifo na hatari.
Mfano: MTU akiishiwa damu anakufa lakini MTU huyo huyo akiongezewa damu ana rejewa na uhai.
Kama MTU anataka kuua ( kumaliza) Jambo Fulani linalo msumbua ana weza kutumia kafara ya damu . MTU huyo huyo kama anataka kuhuisha Jambo lake anaweza kufanya hivyo Kwa kutumia kafara ya damu.
2. DAMU HUTUMIKA KUBADILISHA AU KU TRANSFORM KITU, HALI AU JAMBO.
Kama.tulivyo ona hapo Juu nguvu ya damu inaweza KUBADILISHA uhai kuwa kifo na kifo kuwa uhai. Nguvu hiyo hiyo ya damu katika ulimwengu wa roho inaweza kutumika KUBADILISHA Hali ya kitu au MTU.
Biashara au mapenzi yaliyo kufa yanaweza kuhuishwa Kwa nguvu ya kafara ya damu. Biashara yenye ' uhai' inaweza kuuliwa Kwa nguvu ya kafara ya damu.
3. KUHALALISHA HATIA : Wachawi hawawezi kumroga mtu bila MTU huyo kuwa na HATIA. Kama MTU anae kusudiwa kurogwa Hana HATIA basi Wachawi wanaweza kuhalisha HATIA ya MTU huyo Kwa kutumia damu ya mnyama.
# Likitokea tukio la mauaji ya umwagaji damu. MTU atakae kutwa eneo la tukio na michirizi ya damu basi atatuhumiwa kuhusika na mauaji hayo Kwa namna moja au nyingine. This is what am talking about here
4. KUHALALISHA SPIRITUAL TRANSFER OF OWNERSHIP
Vitu huwa vinaanza kumilikiwa katika ulimwengu wa ROHONI Kwanza kabla havija nilikuwa kwenye ulimwengu wa NYAMA.
Kinacho weza kumpa MTU uhalali wa kumiliki kitu au Jambo Fulani kwenye ulimwengu wa NYAMA hata kama.sio lake NI damu.
Kwa mfano MTU anaweza kwenda kufanya kafara ya damu Kwa ajili ya kumiliki Kiwanis chako, biashara yako, mke wako, nyota yako nakadhalika.
5. KUSIMAMISHA AGANO. ( To erect a spiritual covenant )
6. KUKAZIA AGANO ( To execute a covenant )
7. Kuanzisha madhabahu ( To establish an altar )
8. Kuita roho na viumbe mbalimbali wa kiroho ( To summon spirits )
9. Kuunganisha nafsi.
10. Kufunga
11. Kufungua
Nakadhalika nakadhalika.
TUKIO LA MOSHI NI AJALI YA KAWAIDA TU KAMA AJALI ZINGINE. USICHUME DHAMBI BURE KWA KUMNENEA MABAYA MTUMISHI WA MUNGU.
Ungeweza kumuonea MTUMISHI Kwa kusema katoa kafara kama walio kufa wangekuwa.
# wazazi wake.
# watoto wake.
# mke wake.
#dada ake
# Kaka ake au mdogo wake.
Kafara lazima iwe na MTU ambae ana damu yako.sio MTU ilimradi MTU.
How do you prove loyalty to the gods for a sacrifice of strangers? Hell No!!!
UZUSHI MKUBWA KUHUSU KAFARA ZA DAMU NA MAJINI / MAPEPO.
Ooh MAJINI na mapepo chakula Chao kikuu NI damu .
MAJINI na mapepo NI roho ( spirits). Tangu lini roho zikala au zikanywa ?
Mambo ya Kula na kunywa halo designed Kwa binadamu na wanyama wenye miili sio MAJINI wala mapepo.
Ingekuwa MAJINI chakula Chao NI damu za watu basi leo duniani kusinge kuwa na watu coz they are more then us. It is said that Kwa kila MTU mmoja kuna MAJINI Mia TATU.
Wengine ooh ukitaka kuwa tajiri wewe yape MAJINI sadaka ya damu.
Unapoyapa damu unaya furahisha and in turn yanakupa utajiri. Hahahaha mawazo ya kitoto kweli.
Ingekuwa rahisi namna hiyo basi hata Kiranga angekuwa tajiri. Ange Acha kubeba box na kupigwa na narudi Chicago.
# Acheni kumuonea wivu Apostle Mwamposa.
# Mungu amempa karama ya uponyaji na kuwafungua watu. U cannot change it. Just live with it.
# Kumsingizia uchawi sio Jambo la kushangaza Kwa sababu hata Yesu aliwahi kuhisiwa kutumia nguvu za shetani kutokana na Miujiza mikubwa aliyo kuwa akiifanya.
# So kumu husisha Bulldozer na uchawi it's a compliment Kwa sababu in other words Ur trying to say that this guy is performing wonderful miracles and signs that can only be performed by people with supernatural powers.
SWALI LA KITOTO KWELI: " KAMA.BULDOZER NI MTUME WA MUNGU KWELI KWANINI HAKUONA TUKIO LA.MOSHI KABLA HALIJATOKEA?"
Kabla hujauliza SWALI la KITOTO Anza Kwanza kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kama Mungu alijua Shetani atakuja kumu Hasi kwanini alimuumba? Ina maana hakujua kama atakuja kumuhasi?
2. Kama Mungu alijua Adam na Hawa watakuja kuhasi, kwanini aliwaumba na kuwaweka kwenye bustani ya Edeni? Ina maana hakujua kuwa watakuja kumu Hasi ?
Kifo huwa hakikosi sababu na hakichagui mahali pa kutokea. Mungu pekee ndio ajuaye siku yako NI lini.
# Don't call God's curses upon your head Kwa KUMNENEA MABAYA MTUMISHI wake.
# THOSE WHO WANT APOSTLE MWAMPOSA TO CRY. GOD THE ALMIGHTY SHALL MAKE THEM CRY BLOOD FIRST.
# Rip Kwa waliopoteza maisha yao. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.
# Poleni mliopoteza ndugu, Jamaa na marafiki zenu, Mungu awatie Nguvu.
ALAMSIK
Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu.
SABABU ZA KUTOA KAFARA.
Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali.
Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi:
1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s) THAT UR SERVING OR THAT U R SEEKING TO ENTER INTO A PACT WITH:
Mfano:
When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted to prove Abraham's loyalty and obedience over him.
Wakati mwingine kafara ya aina hii ( to prove loyalty) sio lazima itolewe Kwa Mungu au muungu. Inaweza kutolewa Kwa MTU au kikundi cha watu.
Nitakupa mifano hai.
In 1994 wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi huko nchini Rwanda kuna baadhi ya watutsi wali wasaliti watusi wenzao ili waweze kuwa spared from the interahamwe's wrath.
Wengi wao walikuwa ni wale walio julikana kama WAHUTSI ( Mixture Baba Mhutu/ Mama Mtutsi )
When the Interahamwe approached them these guys would say " DONT KILL US PLEASE. WE ARE NOT TUTSIS. ITS JUST OUR FATHERS MARRIED OUR TUTSI MOTHERS BUT WE OURSELVES HATE TUTSI TOO. AND WE CAN JOIN YOUR ' EVIL' CAMPAIGN"
Interahamwe: " Kama unamaanisha unacho kisema. Kamata panga, kamata rungu twende Hadi nyumbani kwenu umuue mama.ako na mama zako wadogo ambao ninwatutsi. Ukifanya hivyo utakuwa ume prove your loyalty to us.
After they killed their mothers they were then justified to be initiated in the interahamwe.
So Kwa lugha nyingine watu hawa waliwatoa kafara mama zao ili waweze kupona kuuwawa and at the same time to prove their loyalty to the interahamwe.
Mfano mwingine ni huko nchini Marekani. Kuna makundi ya kihuni maarufu kama the bloods and the crips.
It was alleged that if you want to join them you should first kill a person. The leader of the relevant sect of a gang will give you a task to kill a person who is of course one of their enemy and if u full fill the task you then qualify to join them..
2. GOD OR YOUR god(s) NEED YOU TO MAKE HIM THE FIRST PRIORITY.
When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted ABRAHAM to sacrifice the place of ISACK ( ISHMAEL?) in his heart and put God instead, of which he did. So to me ABRAHAM actually sacrificed his son.
The real and acceptable sacrifice is the one that take place in the heart . The physical one is just a translation to what has actually happened in your heart.
" Ukitaka kumchinja kuku, kondoo, mbuzi au n'gombe huwa Una mchinja Kwanza kwenye nafsi yako kabla hujamchinja kwenye shingo ) Maalim Mohamed Said atakubaliana na Mimi katika hili.
3. UNAFANYA KAFARA YA DAMU KWA AJILI YA KUITUMIA DAMU ULIYO IMWAGA KAMA POINT OF CONTACT BETWEEN YOU AND YOUR GOD,god(s) OR THE SPIRITUAL WORLD, WHICHEVER COMES FIRST.
Katika ulimwengu wa roho, moja Kati ya kazi za damu NI kutumika kama medium of communication. What do you want to communicate to the spiritual word? . You use the blood as a medium of communication. The blood will speak for you. You will speak to the blood what you want to speak to the spiritual world and the blood will speak to the spiritual world on your behalf. Moja Kati ya kazi kubwa za damu katika ulimwengu wa roho ni kutamka.etc.
4... DAMU HUTUMIKA.KATIKA MAAGANO YA KIROHO.
AGANO NI NINI? : AGANO NI MAKUBALIANO RASMI BAINA YA PANDE MBILI AMBAZO ZIMEKUBALIANA KUTEMBEA KWA PAMOJA KWA MUDA MAALUMU NA KWA MASHARTI NA UTARATIBU MAALUMU.
# MASHARTI NA UTARATIBU HUO LAZIMA VIWE VINAENDANA NA KANUNI ZA ASILI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. MASHARTI AU UTARATIBU HUO UKIENDA KINYUME NA KANUNI MAMA ZA ULIMWENGU WA ROHONI BASI AGANO HILO LINAKUWA IMPOTENT. HALIWEZI KUWA EXECUTED KATIKA ULIMWENGU WA DAMU NA NYAMA.
# AGANO LIKISHA INGIWA HALIWEZI KUVUNJWA KIENYEJI ENYEJI BILA PANDE HIZO MBILI KURUDI MEZANI KUFANYA MAZUNGUMZO.
# ENDAPO PANDE HIZO ZITA AFIKIANA BASI LITAUNDWA AGANO JINGINE MAALUMU KWA AJILI YA KUVUNJA AGANO HILO. KWA LUGHA NYINGINE AGANO HUVUNJWA KWA AGANO.
# AGANO linaweza kuingiwa Kwa hiyari au Kwa kushurutishwa.
# AGANO la hiari : Pande mbili zinakubaliana kuingia katika AGANO.
# AGANO SHURUTI: Mchawi anaweza kuingia katika AGANO na mapepo Kwa ajili ya kumfunga MTU Fulani. Eg kumsababishia maradhi ya kichawi, kufunga rizki, kumchukua msukule au kumfanya kuwa mpenzi, mke, mine etc.
KAZI YA DAMU KATIKA MAAGANO YA KIROHO.
Damu ina kazi nyingi Sana katika ulimwengu wa kiroho. Muda hautoshi. Nitazielezea chache Kati ya hizo.
1. Kuua na kuhuisha( kukipa uhai )kitu, madhabahu au AGANO.
Katika ulimwengu wa roho damu inasimama kama Ishara ya Uhai but at the same time inasimama kama Ishara ya kifo na hatari.
Mfano: MTU akiishiwa damu anakufa lakini MTU huyo huyo akiongezewa damu ana rejewa na uhai.
Kama MTU anataka kuua ( kumaliza) Jambo Fulani linalo msumbua ana weza kutumia kafara ya damu . MTU huyo huyo kama anataka kuhuisha Jambo lake anaweza kufanya hivyo Kwa kutumia kafara ya damu.
2. DAMU HUTUMIKA KUBADILISHA AU KU TRANSFORM KITU, HALI AU JAMBO.
Kama.tulivyo ona hapo Juu nguvu ya damu inaweza KUBADILISHA uhai kuwa kifo na kifo kuwa uhai. Nguvu hiyo hiyo ya damu katika ulimwengu wa roho inaweza kutumika KUBADILISHA Hali ya kitu au MTU.
Biashara au mapenzi yaliyo kufa yanaweza kuhuishwa Kwa nguvu ya kafara ya damu. Biashara yenye ' uhai' inaweza kuuliwa Kwa nguvu ya kafara ya damu.
3. KUHALALISHA HATIA : Wachawi hawawezi kumroga mtu bila MTU huyo kuwa na HATIA. Kama MTU anae kusudiwa kurogwa Hana HATIA basi Wachawi wanaweza kuhalisha HATIA ya MTU huyo Kwa kutumia damu ya mnyama.
# Likitokea tukio la mauaji ya umwagaji damu. MTU atakae kutwa eneo la tukio na michirizi ya damu basi atatuhumiwa kuhusika na mauaji hayo Kwa namna moja au nyingine. This is what am talking about here
4. KUHALALISHA SPIRITUAL TRANSFER OF OWNERSHIP
Vitu huwa vinaanza kumilikiwa katika ulimwengu wa ROHONI Kwanza kabla havija nilikuwa kwenye ulimwengu wa NYAMA.
Kinacho weza kumpa MTU uhalali wa kumiliki kitu au Jambo Fulani kwenye ulimwengu wa NYAMA hata kama.sio lake NI damu.
Kwa mfano MTU anaweza kwenda kufanya kafara ya damu Kwa ajili ya kumiliki Kiwanis chako, biashara yako, mke wako, nyota yako nakadhalika.
5. KUSIMAMISHA AGANO. ( To erect a spiritual covenant )
6. KUKAZIA AGANO ( To execute a covenant )
7. Kuanzisha madhabahu ( To establish an altar )
8. Kuita roho na viumbe mbalimbali wa kiroho ( To summon spirits )
9. Kuunganisha nafsi.
10. Kufunga
11. Kufungua
Nakadhalika nakadhalika.
TUKIO LA MOSHI NI AJALI YA KAWAIDA TU KAMA AJALI ZINGINE. USICHUME DHAMBI BURE KWA KUMNENEA MABAYA MTUMISHI WA MUNGU.
Ungeweza kumuonea MTUMISHI Kwa kusema katoa kafara kama walio kufa wangekuwa.
# wazazi wake.
# watoto wake.
# mke wake.
#dada ake
# Kaka ake au mdogo wake.
Kafara lazima iwe na MTU ambae ana damu yako.sio MTU ilimradi MTU.
How do you prove loyalty to the gods for a sacrifice of strangers? Hell No!!!
UZUSHI MKUBWA KUHUSU KAFARA ZA DAMU NA MAJINI / MAPEPO.
Ooh MAJINI na mapepo chakula Chao kikuu NI damu .
MAJINI na mapepo NI roho ( spirits). Tangu lini roho zikala au zikanywa ?
Mambo ya Kula na kunywa halo designed Kwa binadamu na wanyama wenye miili sio MAJINI wala mapepo.
Ingekuwa MAJINI chakula Chao NI damu za watu basi leo duniani kusinge kuwa na watu coz they are more then us. It is said that Kwa kila MTU mmoja kuna MAJINI Mia TATU.
Wengine ooh ukitaka kuwa tajiri wewe yape MAJINI sadaka ya damu.
Unapoyapa damu unaya furahisha and in turn yanakupa utajiri. Hahahaha mawazo ya kitoto kweli.
Ingekuwa rahisi namna hiyo basi hata Kiranga angekuwa tajiri. Ange Acha kubeba box na kupigwa na narudi Chicago.
# Acheni kumuonea wivu Apostle Mwamposa.
# Mungu amempa karama ya uponyaji na kuwafungua watu. U cannot change it. Just live with it.
# Kumsingizia uchawi sio Jambo la kushangaza Kwa sababu hata Yesu aliwahi kuhisiwa kutumia nguvu za shetani kutokana na Miujiza mikubwa aliyo kuwa akiifanya.
# So kumu husisha Bulldozer na uchawi it's a compliment Kwa sababu in other words Ur trying to say that this guy is performing wonderful miracles and signs that can only be performed by people with supernatural powers.
SWALI LA KITOTO KWELI: " KAMA.BULDOZER NI MTUME WA MUNGU KWELI KWANINI HAKUONA TUKIO LA.MOSHI KABLA HALIJATOKEA?"
Kabla hujauliza SWALI la KITOTO Anza Kwanza kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kama Mungu alijua Shetani atakuja kumu Hasi kwanini alimuumba? Ina maana hakujua kama atakuja kumuhasi?
2. Kama Mungu alijua Adam na Hawa watakuja kuhasi, kwanini aliwaumba na kuwaweka kwenye bustani ya Edeni? Ina maana hakujua kuwa watakuja kumu Hasi ?
Kifo huwa hakikosi sababu na hakichagui mahali pa kutokea. Mungu pekee ndio ajuaye siku yako NI lini.
# Don't call God's curses upon your head Kwa KUMNENEA MABAYA MTUMISHI wake.
# THOSE WHO WANT APOSTLE MWAMPOSA TO CRY. GOD THE ALMIGHTY SHALL MAKE THEM CRY BLOOD FIRST.
# Rip Kwa waliopoteza maisha yao. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.
# Poleni mliopoteza ndugu, Jamaa na marafiki zenu, Mungu awatie Nguvu.
ALAMSIK