Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cogito, ergo sum." Think!!!???" How ??? Do u really think?
Mkuu thinking is not as easy as you wish.
If it can be proved scientifically then i will agree with it.Ur not the true son of your father!!!!
Viungo vya ndani ya mwili pia havifanani, kuna watu wanazaliwa na moyo mkubwa, wanahitaji huduma tofauti.Una Anza kuleta utoto sasa. Mimi sijazungumzia kuhusu miaka ya kuishi wewe. Nimezungumzia ufanano wa Sura na tabia za maumbile, viungo na ogani za mwanadamu za ndani ya mwili. Mi naona mjadala umekushinda una anza viroja badala ya hoja.
1. Moyo MKUBWA but Sura na morphology yake is the same na moyo wa kawaida. Ndio maana ukaitwa moyo MKUBWA na sio ini kubwa.Viungo vya ndani ya mwili pia havifanani, kuna watu wanazaliwa na moyo mkubwa, wanahitaji huduma tofauti.
Kuna watu wanazaliwa na viungo vya jinsia mbili tofauti.
Unaelewa hayo?
Uniformity ina prove vipi Mungu yupo?1. Moyo MKUBWA but Sura na morphology yake is the same na moyo wa kawaida. Ndio maana ukaitwa moyo MKUBWA na sio ini kubwa.
2. Mention them so that we can be very sure that Ur not talking about ghosts.
Cogito, ergo sum.
Wapi?Nimesha jibu hili swali
Kwanini hakubaki moshi huko huko,alienda dar kufanya nini? Au ndo kuwahi sadaka za kaweUlimuona wakati.ana.kimbia?
Yaani ingekuwa mm ndo mpelelezi angekula Yale makofi ya pwaaa!!Aisee
Kamuulize mama.ako?
Mtarukaruka sana lakini damu za watu wasio na hatia kwa kutafuta utajiri haramu. Mungu mnayemtumikia si Mungu wa mbinguni bali wa Mbuyuni. Waumini wako wanakufa kwa kukanyagana sababu ya ujinga wako, mtumishi wa "Mungu" unakimbia umbali wa km 700 na unaendelea na shughuli zako kama vile waliokufa ni njiwa pori.? Hii ni kafara na kwa taarifa yako tunakwambia wazi aina hii ya kafara hata wafanyabiashara wapumbavu wa mikoa ya Songwe, Njombe na Mbeya wanaitumia sana. Wanatoa kafara Wapendwa wao na wanajifanya kusafiri, hata kama yuko umbali anaoweza kurudi kwa masaa 2 tu hatarudi kuona maiti. Pigeni porojo ndeeeefu lakini hakuna baraka ndani yenu. Mungu wa Rehema habariki watu wasio na huruma. Endeleeni kutumia ujinga wa watu wa Mungu mnaiwaangamiza kwa kukosa maarifa.Kula tano mkuu. Ur the true son of your father