Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are being arbitrary.Wewe ndio umechanganya.madesa.mkuu. Nimesema " vitu" havitokei vyenyewe.
Mungu hayupo.kwenye " vitu". When we talk about " things" we do not include the Almighty God. Even Steve Wonder can c this.
Nitake radhi tafadhali
Mtu anakwambia waafrika na wazungu wanafanana.So those are the things that prove the existance of God?
1. Kwanini kuna mutation kama umesema kuna uniformity?
2. Consistent things are dead things, like rocks, human beings tuna inconsistencies kibao.
Put some effort at convincing people about what you want them to believe!
Nime sha prove tayari on the ground of uniformity and consistencyYou are being arbitrary.
Nakuataka uthibitishe Mungu yupo, unamtengenezea u special ambao hauthibitishiki, halafu unaufanya huo u special ambao hauthibitishiki kuwa ndio uthibitisho.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Hayo sijaongelea.Hiki ni nini? Mbona kuna ushahidi mambo haya yalipangwa?
U heard me Wello. Hapa umeamua kujifariji. Nimezungumzia ufanano Kwa habari ya Sura za maumbile Yao plus Sura na tabia za viungo na ogani zao kama.vile.moyo, figo nakadhalika.Mtu anakwambia waafrika na wazungu wanafanana.
Wakati sababu ya kuwaita hawa waafrika na hawa wazungu ni ukweli kwamba wana tofauti!
Kama unaongelea kufanana, mbona kuna watu wanazaliwa wana vidole sita, wengine wanazaliwa hawana macho, wengine wanazaliwa wawili wameungana?U heard me Wello. Hapa umeamua kujifariji. Nimezungumzia ufanano Kwa habari ya Sura za maumbile Yao plus Sura na tabia za viungo na ogani zao kama.vile.moyo, figo nakadhalika.
Bro kwa logic tu watu wengi wanafeli, nakuonaga unapata tabu sana kuelewesha watu jinsi ya ku reason na kutumia logic.Mtu anakwambia waafrika na wazungu wanafanana.
Wakati sababu ya kuwaita hawa waafrika na hawa wazungu ni ukweli kwamba wana tofauti!
Yani point za kumpinga yeye mwenyewe anazileta yeye mwenyewe.Bro kwa logic tu watu wengi wanafeli, nakuonaga unapata tabu sana kuelewesha watu jinsi ya ku reason na kutumia logic.
Mtu anakuambia kuna uniformity hapo hapo hata hao wazungu kuba blondes, brunettes, redheads n.k macho yana tofauti mwingine serene, hazel n.k. Where's the uniformity?
So those are the things that prove the existance of God?
1. Kwanini kuna mutation kama umesema kuna uniformity?
2. Consistent things are dead things, like rocks, human beings tuna inconsistencies kibao.
Put some effort at convincing people about what you want them to believe!
Bro kwa logic tu watu wengi wanafeli, nakuonaga unapata tabu sana kuelewesha watu jinsi ya ku reason na kutumia logic.
Mtu anakuambia kuna uniformity hapo hapo hata hao wazungu kuna blondes, brunettes, redheads n.k macho yana tofauti mwingine serene, hazel n.k. Where's the uniformity?
Hata dunia ilivyo inaonekana kanisa ilikua spesho Kwa jili ya viumbe jaijaja bahat Mbaya na pia Kuna wanasayans wanathibitisha kwamba behind of university Kuna nguvu ya asili ilitumika kukriet japo hawasemi ni mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
" Think!!!???" How ??? Do u really think?I don't need you to convince me, i know what i believe.
The only thing i want you to do is not lie about consinstency and uniformity. There's nothing like that.
The other thing i want you to do is use logic and reason in your thinking. Before you argue take into consideration that we are not toddlers but grown ups who can think and reason with logic.
Thanks.