Kilichotokea Moshi sio kafara kwa sababu zifuatazo

Kilichotokea Moshi sio kafara kwa sababu zifuatazo

Mtarukaruka sana lakini damu za watu wasio na hatia kwa kutafuta utajiri haramu. Mungu mnayemtumikia si Mungu wa mbinguni bali wa Mbuyuni. Waumini wako wanakufa kwa kukanyagana sababu ya ujinga wako, mtumishi wa "Mungu" unakimbia umbali wa km 700 na unaendelea na shughuli zako kama vile waliokufa ni njiwa pori.? Hii ni kafara na kwa taarifa yako tunakwambia wazi aina hii ya kafara hata wafanyabiashara wapumbavu wa mikoa ya Songwe, Njombe na Mbeya wanaitumia sana. Wanatoa kafara Wapendwa wao na wanajifanya kusafiri, hata kama yuko umbali anaoweza kurudi kwa masaa 2 tu hatarudi kuona maiti. Pigeni porojo ndeeeefu lakini hakuna baraka ndani yenu. Mungu wa Rehema habariki watu wasio na huruma. Endeleeni kutumia ujinga wa watu wa Mungu mnaiwaangamiza kwa kukosa maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hyo video huko juu huyo binti kasema kabisa kila wakijaribu kuinuka kuna vijana walikua wanawarudisha chini hii inaonyesha kabisa hao vijana walikua hapo kwa kazi maalumu kufanya jamming .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtarukaruka sana lakini damu za watu wasio na hatia kwa kutafuta utajiri haramu. Mungu mnayemtumikia si Mungu wa mbinguni bali wa Mbuyuni. Waumini wako wanakufa kwa kukanyagana sababu ya ujinga wako, mtumishi wa "Mungu" unakimbia umbali wa km 700 na unaendelea na shughuli zako kama vile waliokufa ni njiwa pori.? Hii ni kafara na kwa taarifa yako tunakwambia wazi aina hii ya kafara hata wafanyabiashara wapumbavu wa mikoa ya Songwe, Njombe na Mbeya wanaitumia sana. Wanatoa kafara Wapendwa wao na wanajifanya kusafiri, hata kama yuko umbali anaoweza kurudi kwa masaa 2 tu hatarudi kuona maiti. Pigeni porojo ndeeeefu lakini hakuna baraka ndani yenu. Mungu wa Rehema habariki watu wasio na huruma. Endeleeni kutumia ujinga wa watu wa Mungu mnaiwaangamiza kwa kukosa maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ur still a learner
 
Yameumbwa na walio umbwa na Mungu. Uniformity imekuingia kweli mkuu. Just repent. God is timeless. Hujachelewa. Sema nikuongoze sala ya toba now.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha watu wana uniformity.

Hujathibitisha vyenye uniformity vumeumbwa na Mungu.

You are are forcing things like a village preacher short on facts and bent on a dogmatic crusade.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAFARA NI NINI?

Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu.


SABABU ZA KUTOA KAFARA.

Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali.

Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi:


1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s) THAT UR SERVING OR THAT U R SEEKING TO ENTER INTO A PACT WITH:

Mfano:

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted to prove Abraham's loyalty and obedience over him.

Wakati mwingine kafara ya aina hii ( to prove loyalty) sio lazima itolewe Kwa Mungu au muungu. Inaweza kutolewa Kwa MTU au kikundi cha watu.

Nitakupa mifano hai.


In 1994 wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi huko nchini Rwanda kuna baadhi ya watutsi wali wasaliti watusi wenzao ili waweze kuwa spared from the interahamwe's wrath.

Wengi wao walikuwa ni wale walio julikana kama WAHUTSI ( Mixture Baba Mhutu/ Mama Mtutsi )

When the Interahamwe approached them these guys would say " DONT KILL US PLEASE. WE ARE NOT TUTSIS. ITS JUST OUR FATHERS MARRIED OUR TUTSI MOTHERS BUT WE OURSELVES HATE TUTSI TOO. AND WE CAN JOIN YOUR ' EVIL' CAMPAIGN"

Interahamwe: " Kama unamaanisha unacho kisema. Kamata panga, kamata rungu twende Hadi nyumbani kwenu umuue mama.ako na mama zako wadogo ambao ninwatutsi. Ukifanya hivyo utakuwa ume prove your loyalty to us.


After they killed their mothers they were then justified to be initiated in the interahamwe.

So Kwa lugha nyingine watu hawa waliwatoa kafara mama zao ili waweze kupona kuuwawa and at the same time to prove their loyalty to the interahamwe.


Mfano mwingine ni huko nchini Marekani. Kuna makundi ya kihuni maarufu kama the bloods and the crips.

It was alleged that if you want to join them you should first kill a person. The leader of the relevant sect of a gang will give you a task to kill a person who is of course one of their enemy and if u full fill the task you then qualify to join them..



2. GOD OR YOUR god(s) NEED YOU TO MAKE HIM THE FIRST PRIORITY.

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted ABRAHAM to sacrifice the place of ISACK ( ISHMAEL?) in his heart and put God instead, of which he did. So to me ABRAHAM actually sacrificed his son.
The real and acceptable sacrifice is the one that take place in the heart . The physical one is just a translation to what has actually happened in your heart.

" Ukitaka kumchinja kuku, kondoo, mbuzi au n'gombe huwa Una mchinja Kwanza kwenye nafsi yako kabla hujamchinja kwenye shingo ) Maalim Mohamed Said atakubaliana na Mimi katika hili.


3. UNAFANYA KAFARA YA DAMU KWA AJILI YA KUITUMIA DAMU ULIYO IMWAGA KAMA POINT OF CONTACT BETWEEN YOU AND YOUR GOD,god(s) OR THE SPIRITUAL WORLD, WHICHEVER COMES FIRST.

Katika ulimwengu wa roho, moja Kati ya kazi za damu NI kutumika kama medium of communication. What do you want to communicate to the spiritual word? . You use the blood as a medium of communication. The blood will speak for you. You will speak to the blood what you want to speak to the spiritual world and the blood will speak to the spiritual world on your behalf. Moja Kati ya kazi kubwa za damu katika ulimwengu wa roho ni kutamka.etc.


4... DAMU HUTUMIKA.KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

AGANO NI NINI? : AGANO NI MAKUBALIANO RASMI BAINA YA PANDE MBILI AMBAZO ZIMEKUBALIANA KUTEMBEA KWA PAMOJA KWA MUDA MAALUMU NA KWA MASHARTI NA UTARATIBU MAALUMU.

# MASHARTI NA UTARATIBU HUO LAZIMA VIWE VINAENDANA NA KANUNI ZA ASILI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. MASHARTI AU UTARATIBU HUO UKIENDA KINYUME NA KANUNI MAMA ZA ULIMWENGU WA ROHONI BASI AGANO HILO LINAKUWA IMPOTENT. HALIWEZI KUWA EXECUTED KATIKA ULIMWENGU WA DAMU NA NYAMA.


# AGANO LIKISHA INGIWA HALIWEZI KUVUNJWA KIENYEJI ENYEJI BILA PANDE HIZO MBILI KURUDI MEZANI KUFANYA MAZUNGUMZO.

# ENDAPO PANDE HIZO ZITA AFIKIANA BASI LITAUNDWA AGANO JINGINE MAALUMU KWA AJILI YA KUVUNJA AGANO HILO. KWA LUGHA NYINGINE AGANO HUVUNJWA KWA AGANO.


# AGANO linaweza kuingiwa Kwa hiyari au Kwa kushurutishwa.


# AGANO la hiari : Pande mbili zinakubaliana kuingia katika AGANO.


# AGANO SHURUTI: Mchawi anaweza kuingia katika AGANO na mapepo Kwa ajili ya kumfunga MTU Fulani. Eg kumsababishia maradhi ya kichawi, kufunga rizki, kumchukua msukule au kumfanya kuwa mpenzi, mke, mine etc.

KAZI YA DAMU KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

Damu ina kazi nyingi Sana katika ulimwengu wa kiroho. Muda hautoshi. Nitazielezea chache Kati ya hizo.

1. Kuua na kuhuisha( kukipa uhai )kitu, madhabahu au AGANO.

Katika ulimwengu wa roho damu inasimama kama Ishara ya Uhai but at the same time inasimama kama Ishara ya kifo na hatari.

Mfano: MTU akiishiwa damu anakufa lakini MTU huyo huyo akiongezewa damu ana rejewa na uhai.

Kama MTU anataka kuua ( kumaliza) Jambo Fulani linalo msumbua ana weza kutumia kafara ya damu . MTU huyo huyo kama anataka kuhuisha Jambo lake anaweza kufanya hivyo Kwa kutumia kafara ya damu.

2. DAMU HUTUMIKA KUBADILISHA AU KU TRANSFORM KITU, HALI AU JAMBO.

Kama.tulivyo ona hapo Juu nguvu ya damu inaweza KUBADILISHA uhai kuwa kifo na kifo kuwa uhai. Nguvu hiyo hiyo ya damu katika ulimwengu wa roho inaweza kutumika KUBADILISHA Hali ya kitu au MTU.

Biashara au mapenzi yaliyo kufa yanaweza kuhuishwa Kwa nguvu ya kafara ya damu. Biashara yenye ' uhai' inaweza kuuliwa Kwa nguvu ya kafara ya damu.

3. KUHALALISHA HATIA : Wachawi hawawezi kumroga mtu bila MTU huyo kuwa na HATIA. Kama MTU anae kusudiwa kurogwa Hana HATIA basi Wachawi wanaweza kuhalisha HATIA ya MTU huyo Kwa kutumia damu ya mnyama.

# Likitokea tukio la mauaji ya umwagaji damu. MTU atakae kutwa eneo la tukio na michirizi ya damu basi atatuhumiwa kuhusika na mauaji hayo Kwa namna moja au nyingine. This is what am talking about here

4. KUHALALISHA SPIRITUAL TRANSFER OF OWNERSHIP

Vitu huwa vinaanza kumilikiwa katika ulimwengu wa ROHONI Kwanza kabla havija nilikuwa kwenye ulimwengu wa NYAMA.

Kinacho weza kumpa MTU uhalali wa kumiliki kitu au Jambo Fulani kwenye ulimwengu wa NYAMA hata kama.sio lake NI damu.

Kwa mfano MTU anaweza kwenda kufanya kafara ya damu Kwa ajili ya kumiliki Kiwanis chako, biashara yako, mke wako, nyota yako nakadhalika.

5. KUSIMAMISHA AGANO. ( To erect a spiritual covenant )


6. KUKAZIA AGANO ( To execute a covenant )

7. Kuanzisha madhabahu ( To establish an altar )

8. Kuita roho na viumbe mbalimbali wa kiroho ( To summon spirits )

9. Kuunganisha nafsi.

10. Kufunga
11. Kufungua
Nakadhalika nakadhalika.

TUKIO LA MOSHI NI AJALI YA KAWAIDA TU KAMA AJALI ZINGINE. USICHUME DHAMBI BURE KWA KUMNENEA MABAYA MTUMISHI WA MUNGU.


Ungeweza kumuonea MTUMISHI Kwa kusema katoa kafara kama walio kufa wangekuwa.

# wazazi wake.
# watoto wake.
# mke wake.
#dada ake
# Kaka ake au mdogo wake.


Kafara lazima iwe na MTU ambae ana damu yako.sio MTU ilimradi MTU.


How do you prove loyalty to the gods for a sacrifice of strangers? Hell No!!!


UZUSHI MKUBWA KUHUSU KAFARA ZA DAMU NA MAJINI / MAPEPO.


Ooh MAJINI na mapepo chakula Chao kikuu NI damu .
MAJINI na mapepo NI roho ( spirits). Tangu lini roho zikala au zikanywa ?

Mambo ya Kula na kunywa halo designed Kwa binadamu na wanyama wenye miili sio MAJINI wala mapepo.

Ingekuwa MAJINI chakula Chao NI damu za watu basi leo duniani kusinge kuwa na watu coz they are more then us. It is said that Kwa kila MTU mmoja kuna MAJINI Mia TATU.


Wengine ooh ukitaka kuwa tajiri wewe yape MAJINI sadaka ya damu.

Unapoyapa damu unaya furahisha and in turn yanakupa utajiri. Hahahaha mawazo ya kitoto kweli.


Ingekuwa rahisi namna hiyo basi hata Kiranga angekuwa tajiri. Ange Acha kubeba box na kupigwa na narudi Chicago.


# Acheni kumuonea wivu Apostle Mwamposa.

# Mungu amempa karama ya uponyaji na kuwafungua watu. U cannot change it. Just live with it.


# Kumsingizia uchawi sio Jambo la kushangaza Kwa sababu hata Yesu aliwahi kuhisiwa kutumia nguvu za shetani kutokana na Miujiza mikubwa aliyo kuwa akiifanya.


# So kumu husisha Bulldozer na uchawi it's a compliment Kwa sababu in other words Ur trying to say that this guy is performing wonderful miracles and signs that can only be performed by people with supernatural powers.


SWALI LA KITOTO KWELI: " KAMA.BULDOZER NI MTUME WA MUNGU KWELI KWANINI HAKUONA TUKIO LA.MOSHI KABLA HALIJATOKEA?"


Kabla hujauliza SWALI la KITOTO Anza Kwanza kujiuliza maswali yafuatayo:

1. Kama Mungu alijua Shetani atakuja kumu Hasi kwanini alimuumba? Ina maana hakujua kama atakuja kumuhasi?


2. Kama Mungu alijua Adam na Hawa watakuja kuhasi, kwanini aliwaumba na kuwaweka kwenye bustani ya Edeni? Ina maana hakujua kuwa watakuja kumu Hasi ?

Kifo huwa hakikosi sababu na hakichagui mahali pa kutokea. Mungu pekee ndio ajuaye siku yako NI lini.

# Don't call God's curses upon your head Kwa KUMNENEA MABAYA MTUMISHI wake.

# THOSE WHO WANT APOSTLE MWAMPOSA TO CRY. GOD THE ALMIGHTY SHALL MAKE THEM CRY BLOOD FIRST.

# Rip Kwa waliopoteza maisha yao. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.


# Poleni mliopoteza ndugu, Jamaa na marafiki zenu, Mungu awatie Nguvu.

ALAMSIK
Unaonekana kutojali sana uhai wa watu na pia kujiambatanisha kwako na Mwamposa kunaonesha wazi wazi jinsi wewe na yeye mnavyo-share hisia moja; kutokujali.

Ninyi mpo tayari kuua kwasababu ya mstari mmoja wa Biblia mlioutafsiri kama mnavyopenda, hii ni hatari sana.

Mnasikika mkisema watu wanamwonea wivu Mwamposa, kwa jambo gani?

Manabii wa uongo wanaonekana waziwazi siku hizi ni ajabu kwamba hujaona hili, utakuwa mshiriki wake kwa namna fulani

Kafara inaweza kutolewa hata kwa mtu aliye mbali na familia yako. Zipo shuhuda nyingi mno za Kikristo zinazoonesha watu mbalimbali waliotakiwa na shetani kutoa kafara za watu mabarabarani kupitia ajali bila hata kutambua atakayekufa ni nani.

Kuna sababu kubwa ya shetani kutaka "damu" za wanadamu. Mtu wa karibu nawe ana mamlaka makubwa zaidi ya kukutoa kafara, lakini ukiwa mdhaifu kiroho hata mtu wa mbali anaweza kukutoa kwa shetani kafara.

Jihadharini na "manabii" hawa ambao baada ya kufanya matukio hata hawaoni hofu yoyote na wanatoweka na kwenda Dar halafu anasema nimeitwa Moshi na Polisi ngoja niende nikaitikie wito wa polisi. Kwanini ukimbie? Kwanini ufanye ibada hata baada ya muda ulioruhusiwa na Polisi? Mtumishi wa Mungu? mungu yupi?...
 
Mkuu umeeleza vizuri!Sina cha kuongeza!
Lkn hapo kwenye ishmael,mtoe abaki isaka ndo sahihi!
Na damu ni point of contact ktk ulimwengu wa roho na wa mwili ambapo nyuma yake kuna roho zinazohakikisha zinasimamia damu iliyomwagwa inafanya kazi husika iliyokusudiwa!

Sent using Jamii Forums mobile app

Na ukiua kwa kupiga rungu bila kutoa damu je
 
Kafara ya Damu ina masharti na ni ya temporary...kila baada ya muda inatakiwa uihuishe kwa either kutoa sadaka ya damu tena nk.

Yesu alikuja duniani kwa ajili hiyo - kuvunja maagano sugu ambayo wanadamu wameingia bila wao kujijua...kupitia mababu...

Kumbuka agano linaweza kudumu hadi kizazi cha nne cha ukoo wenu na linaendelea kuwatesa kama umefika masharti.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha watu wana uniformity.

Hujathibitisha vyenye uniformity vumeumbwa na Mungu.

You are are forcing things like a village preacher short on facts and bent on a dogmatic crusade.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kasome Bio Cybernetics. Itakusaidia Sana kuelewa.
 
Shuhuda za uongo hizo mkuu. Hakunaga kafara ya namna.hiyo...

Kafara lazima utoe MTU anaweza husiana na wewe Kwa damu and not otherwise.

Hayo mengine NI story za vijiweni
Unaonekana kutojali sana uhai wa watu na pia kujiambatanisha kwako na Mwamposa kunaonesha wazi wazi jinsi wewe na yeye mnavyo-share hisia moja; kutokujali.

Ninyi mpo tayari kuua kwasababu ya mstari mmoja wa Biblia mlioutafsiri kama mnavyopenda, hii ni hatari sana.

Mnasikika mkisema watu wanamwonea wivu Mwamposa, kwa jambo gani?

Manabii wa uongo wanaonekana waziwazi siku hizi ni ajabu kwamba hujaona hili, utakuwa mshiriki wake kwa namna fulani

Kafara inaweza kutolewa hata kwa mtu aliye mbali na familia yako. Zipo shuhuda nyingi mno za Kikristo zinazoonesha watu mbalimbali waliotakiwa na shetani kutoa kafara za watu mabarabarani kupitia ajali bila hata kutambua atakayekufa ni nani.

Kuna sababu kubwa ya shetani kutaka "damu" za wanadamu. Mtu wa karibu nawe ana mamlaka makubwa zaidi ya kukutoa kafara, lakini ukiwa mdhaifu kiroho hata mtu wa mbali anaweza kukutoa kwa shetani kafara.

Jihadharini na "manabii" hawa ambao baada ya kufanya matukio hata hawaoni hofu yoyote na wanatoweka na kwenda Dar halafu anasema nimeitwa Moshi na Polisi ngoja niende nikaitikie wito wa polisi. Kwanini ukimbie? Kwanini ufanye ibada hata baada ya muda ulioruhusiwa na Polisi? Mtumishi wa Mungu? mungu yupi?...
 
Huenda ulichokisema ni sahihi.. Ila kuhusu mwamposa usimtetee.. Chanzo cha sisi kutomuamini mwamposa na watu wa aina yake ni wao wenyewe... Wanafanya mambo tofauti na jinsi tunavyotarajia.... Kwann wasitufundishe ni nn Mungu anataka kwetu?, tufanye nn ili tuwe karibu na Mungu, kiufupi watufundishe neno la Mungu.. Na sio kutuhubiria utajiri, mikosi, miujiza, mafanikio.... Unaenda ibadani kwa nabii, kuanzia mwanzo mpaka mwishi husikii ukifundishwa habari ya kuiakana dhambi na namna ya kuomba ili Mungu akusikilize.. Yy anaombea watu tu na kukusanya sadaka.....
NB;
Suala la vifo vya juzi kama ni kafara au la mimi cjui na cna uhakika kama ni kafara au la... Ila mwamposa abadilike ili afundishe wafuasi wake kinachotakiwa kufundishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaji wa akina mwamposa na jamii yake ni umbumbu wa waumini.

Iliyotokea moshi kweli ni ajali....lakin ajali iliyo katika msingi wa umbumbu wa waumini. Uzoba wa kufikiri na chuki dhidi ya tafakuri....

Eti kuna mwingine anawaambia wenzake wafungue wallet....Mungu anamwona.


Mungu anisamehe tu kwasasa sitafuata wala kuamini mitume wake wa kileo. Tutalijadili siku tukionana na Mungu...kwa sasa natumia akili alizonipatia.


Over!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ujinga wa kuwaita matapeli watumishi wa Mungu unadhihirisha utumwa wako,
Mtumishi gani wa Mungu alijilimbikizia Mali tena akichuma toka kwa maskini?,acha ujinga,labda uwe mmoja wa wanufaika wa sadaka,hata maaskofu wenu wameshawaambia huo ni ushirikina,sasa unaanzaje kumuita mshirikina mtumishi wa Mungu,
Yeye na maaskofu wenu nani mkweli,
KAFARA NI NINI?

Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu.


SABABU ZA KUTOA KAFARA.

Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali.

Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi:


1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s) THAT UR SERVING OR THAT U R SEEKING TO ENTER INTO A PACT WITH:

Mfano:

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted to prove Abraham's loyalty and obedience over him.

Wakati mwingine kafara ya aina hii ( to prove loyalty) sio lazima itolewe Kwa Mungu au muungu. Inaweza kutolewa Kwa MTU au kikundi cha watu.

Nitakupa mifano hai.


In 1994 wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi huko nchini Rwanda kuna baadhi ya watutsi wali wasaliti watusi wenzao ili waweze kuwa spared from the interahamwe's wrath.

Wengi wao walikuwa ni wale walio julikana kama WAHUTSI ( Mixture Baba Mhutu/ Mama Mtutsi )

When the Interahamwe approached them these guys would say " DONT KILL US PLEASE. WE ARE NOT TUTSIS. ITS JUST OUR FATHERS MARRIED OUR TUTSI MOTHERS BUT WE OURSELVES HATE TUTSI TOO. AND WE CAN JOIN YOUR ' EVIL' CAMPAIGN"

Interahamwe: " Kama unamaanisha unacho kisema. Kamata panga, kamata rungu twende Hadi nyumbani kwenu umuue mama.ako na mama zako wadogo ambao ninwatutsi. Ukifanya hivyo utakuwa ume prove your loyalty to us.


After they killed their mothers they were then justified to be initiated in the interahamwe.

So Kwa lugha nyingine watu hawa waliwatoa kafara mama zao ili waweze kupona kuuwawa and at the same time to prove their loyalty to the interahamwe.


Mfano mwingine ni huko nchini Marekani. Kuna makundi ya kihuni maarufu kama the bloods and the crips.

It was alleged that if you want to join them you should first kill a person. The leader of the relevant sect of a gang will give you a task to kill a person who is of course one of their enemy and if u full fill the task you then qualify to join them..



2. GOD OR YOUR god(s) NEED YOU TO MAKE HIM THE FIRST PRIORITY.

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted ABRAHAM to sacrifice the place of ISACK ( ISHMAEL?) in his heart and put God instead, of which he did. So to me ABRAHAM actually sacrificed his son.
The real and acceptable sacrifice is the one that take place in the heart . The physical one is just a translation to what has actually happened in your heart.

" Ukitaka kumchinja kuku, kondoo, mbuzi au n'gombe huwa Una mchinja Kwanza kwenye nafsi yako kabla hujamchinja kwenye shingo ) Maalim Mohamed Said atakubaliana na Mimi katika hili.


3. UNAFANYA KAFARA YA DAMU KWA AJILI YA KUITUMIA DAMU ULIYO IMWAGA KAMA POINT OF CONTACT BETWEEN YOU AND YOUR GOD,god(s) OR THE SPIRITUAL WORLD, WHICHEVER COMES FIRST.

Katika ulimwengu wa roho, moja Kati ya kazi za damu NI kutumika kama medium of communication. What do you want to communicate to the spiritual word? . You use the blood as a medium of communication. The blood will speak for you. You will speak to the blood what you want to speak to the spiritual world and the blood will speak to the spiritual world on your behalf. Moja Kati ya kazi kubwa za damu katika ulimwengu wa roho ni kutamka.etc.


4... DAMU HUTUMIKA.KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

AGANO NI NINI? : AGANO NI MAKUBALIANO RASMI BAINA YA PANDE MBILI AMBAZO ZIMEKUBALIANA KUTEMBEA KWA PAMOJA KWA MUDA MAALUMU NA KWA MASHARTI NA UTARATIBU MAALUMU.

# MASHARTI NA UTARATIBU HUO LAZIMA VIWE VINAENDANA NA KANUNI ZA ASILI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. MASHARTI AU UTARATIBU HUO UKIENDA KINYUME NA KANUNI MAMA ZA ULIMWENGU WA ROHONI BASI AGANO HILO LINAKUWA IMPOTENT. HALIWEZI KUWA EXECUTED KATIKA ULIMWENGU WA DAMU NA NYAMA.


# AGANO LIKISHA INGIWA HALIWEZI KUVUNJWA KIENYEJI ENYEJI BILA PANDE HIZO MBILI KURUDI MEZANI KUFANYA MAZUNGUMZO.

# ENDAPO PANDE HIZO ZITA AFIKIANA BASI LITAUNDWA AGANO JINGINE MAALUMU KWA AJILI YA KUVUNJA AGANO HILO. KWA LUGHA NYINGINE AGANO HUVUNJWA KWA AGANO.


# AGANO linaweza kuingiwa Kwa hiyari au Kwa kushurutishwa.


# AGANO la hiari : Pande mbili zinakubaliana kuingia katika AGANO.


# AGANO SHURUTI: Mchawi anaweza kuingia katika AGANO na mapepo Kwa ajili ya kumfunga MTU Fulani. Eg kumsababishia maradhi ya kichawi, kufunga rizki, kumchukua msukule au kumfanya kuwa mpenzi, mke, mine etc.

KAZI YA DAMU KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

Damu ina kazi nyingi Sana katika ulimwengu wa kiroho. Muda hautoshi. Nitazielezea chache Kati ya hizo.

1. Kuua na kuhuisha( kukipa uhai )kitu, madhabahu au AGANO.

Katika ulimwengu wa roho damu inasimama kama Ishara ya Uhai but at the same time inasimama kama Ishara ya kifo na hatari.

Mfano: MTU akiishiwa damu anakufa lakini MTU huyo huyo akiongezewa damu ana rejewa na uhai.

Kama MTU anataka kuua ( kumaliza) Jambo Fulani linalo msumbua ana weza kutumia kafara ya damu . MTU huyo huyo kama anataka kuhuisha Jambo lake anaweza kufanya hivyo Kwa kutumia kafara ya damu.

2. DAMU HUTUMIKA KUBADILISHA AU KU TRANSFORM KITU, HALI AU JAMBO.

Kama.tulivyo ona hapo Juu nguvu ya damu inaweza KUBADILISHA uhai kuwa kifo na kifo kuwa uhai. Nguvu hiyo hiyo ya damu katika ulimwengu wa roho inaweza kutumika KUBADILISHA Hali ya kitu au MTU.

Biashara au mapenzi yaliyo kufa yanaweza kuhuishwa Kwa nguvu ya kafara ya damu. Biashara yenye ' uhai' inaweza kuuliwa Kwa nguvu ya kafara ya damu.

3. KUHALALISHA HATIA : Wachawi hawawezi kumroga mtu bila MTU huyo kuwa na HATIA. Kama MTU anae kusudiwa kurogwa Hana HATIA basi Wachawi wanaweza kuhalisha HATIA ya MTU huyo Kwa kutumia damu ya mnyama.

# Likitokea tukio la mauaji ya umwagaji damu. MTU atakae kutwa eneo la tukio na michirizi ya damu basi atatuhumiwa kuhusika na mauaji hayo Kwa namna moja au nyingine. This is what am talking about here

4. KUHALALISHA SPIRITUAL TRANSFER OF OWNERSHIP

Vitu huwa vinaanza kumilikiwa katika ulimwengu wa ROHONI Kwanza kabla havija nilikuwa kwenye ulimwengu wa NYAMA.

Kinacho weza kumpa MTU uhalali wa kumiliki kitu au Jambo Fulani kwenye ulimwengu wa NYAMA hata kama.sio lake NI damu.

Kwa mfano MTU anaweza kwenda kufanya kafara ya damu Kwa ajili ya kumiliki Kiwanis chako, biashara yako, mke wako, nyota yako nakadhalika.

5. KUSIMAMISHA AGANO. ( To erect a spiritual covenant )


6. KUKAZIA AGANO ( To execute a covenant )

7. Kuanzisha madhabahu ( To establish an altar )

8. Kuita roho na viumbe mbalimbali wa kiroho ( To summon spirits )

9. Kuunganisha nafsi.

10. Kufunga
11. Kufungua
Nakadhalika nakadhalika.

TUKIO LA MOSHI NI AJALI YA KAWAIDA TU KAMA AJALI ZINGINE. USICHUME DHAMBI BURE KWA KUMNENEA MABAYA MTUMISHI WA MUNGU.


Ungeweza kumuonea MTUMISHI Kwa kusema katoa kafara kama walio kufa wangekuwa.

# wazazi wake.
# watoto wake.
# mke wake.
#dada ake
# Kaka ake au mdogo wake.


Kafara lazima iwe na MTU ambae ana damu yako.sio MTU ilimradi MTU.


How do you prove loyalty to the gods for a sacrifice of strangers? Hell No!!!


UZUSHI MKUBWA KUHUSU KAFARA ZA DAMU NA MAJINI / MAPEPO.


Ooh MAJINI na mapepo chakula Chao kikuu NI damu .
MAJINI na mapepo NI roho ( spirits). Tangu lini roho zikala au zikanywa ?

Mambo ya Kula na kunywa halo designed Kwa binadamu na wanyama wenye miili sio MAJINI wala mapepo.

Ingekuwa MAJINI chakula Chao NI damu za watu basi leo duniani kusinge kuwa na watu coz they are more then us. It is said that Kwa kila MTU mmoja kuna MAJINI Mia TATU.


Wengine ooh ukitaka kuwa tajiri wewe yape MAJINI sadaka ya damu.

Unapoyapa damu unaya furahisha and in turn yanakupa utajiri. Hahahaha mawazo ya kitoto kweli.


Ingekuwa rahisi namna hiyo basi hata Kiranga angekuwa tajiri. Ange Acha kubeba box na kupigwa na narudi Chicago.


# Acheni kumuonea wivu Apostle Mwamposa.

# Mungu amempa karama ya uponyaji na kuwafungua watu. U cannot change it. Just live with it.


# Kumsingizia uchawi sio Jambo la kushangaza Kwa sababu hata Yesu aliwahi kuhisiwa kutumia nguvu za shetani kutokana na Miujiza mikubwa aliyo kuwa akiifanya.


# So kumu husisha Bulldozer na uchawi it's a compliment Kwa sababu in other words Ur trying to say that this guy is performing wonderful miracles and signs that can only be performed by people with supernatural powers.


SWALI LA KITOTO KWELI: " KAMA.BULDOZER NI MTUME WA MUNGU KWELI KWANINI HAKUONA TUKIO LA.MOSHI KABLA HALIJATOKEA?"


Kabla hujauliza SWALI la KITOTO Anza Kwanza kujiuliza maswali yafuatayo:

1. Kama Mungu alijua Shetani atakuja kumu Hasi kwanini alimuumba? Ina maana hakujua kama atakuja kumuhasi?


2. Kama Mungu alijua Adam na Hawa watakuja kuhasi, kwanini aliwaumba na kuwaweka kwenye bustani ya Edeni? Ina maana hakujua kuwa watakuja kumu Hasi ?

Kifo huwa hakikosi sababu na hakichagui mahali pa kutokea. Mungu pekee ndio ajuaye siku yako NI lini.

# Don't call God's curses upon your head Kwa KUMNENEA MABAYA MTUMISHI wake.

# THOSE WHO WANT APOSTLE MWAMPOSA TO CRY. GOD THE ALMIGHTY SHALL MAKE THEM CRY BLOOD FIRST.

# Rip Kwa waliopoteza maisha yao. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.


# Poleni mliopoteza ndugu, Jamaa na marafiki zenu, Mungu awatie Nguvu.

ALAMSIK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ujinga wa kuwaita matapeli watumishi wa Mungu unadhihirisha utumwa wako,
Mtumishi gani wa Mungu alijilimbikizia Mali tena akichuma toka kwa maskini?,acha ujinga,labda uwe mmoja wa wanufaika wa sadaka,hata maaskofu wenu wameshawaambia huo ni ushirikina,sasa unaanzaje kumuita mshirikina mtumishi wa Mungu,
Yeye na maaskofu wenu nani mkweli,

Sent using Jamii Forums mobile app
Zitaje Mali alizo jilimbikizia
 
Mpumbavu gani amesema ni kafara?
KAFARA NI NINI?

Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu.


SABABU ZA KUTOA KAFARA.

Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali.

Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi:


1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s) THAT UR SERVING OR THAT U R SEEKING TO ENTER INTO A PACT WITH:

Mfano:

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted to prove Abraham's loyalty and obedience over him.

Wakati mwingine kafara ya aina hii ( to prove loyalty) sio lazima itolewe Kwa Mungu au muungu. Inaweza kutolewa Kwa MTU au kikundi cha watu.

Nitakupa mifano hai.


In 1994 wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi huko nchini Rwanda kuna baadhi ya watutsi wali wasaliti watusi wenzao ili waweze kuwa spared from the interahamwe's wrath.

Wengi wao walikuwa ni wale walio julikana kama WAHUTSI ( Mixture Baba Mhutu/ Mama Mtutsi )

When the Interahamwe approached them these guys would say " DONT KILL US PLEASE. WE ARE NOT TUTSIS. ITS JUST OUR FATHERS MARRIED OUR TUTSI MOTHERS BUT WE OURSELVES HATE TUTSI TOO. AND WE CAN JOIN YOUR ' EVIL' CAMPAIGN"

Interahamwe: " Kama unamaanisha unacho kisema. Kamata panga, kamata rungu twende Hadi nyumbani kwenu umuue mama.ako na mama zako wadogo ambao ninwatutsi. Ukifanya hivyo utakuwa ume prove your loyalty to us.


After they killed their mothers they were then justified to be initiated in the interahamwe.

So Kwa lugha nyingine watu hawa waliwatoa kafara mama zao ili waweze kupona kuuwawa and at the same time to prove their loyalty to the interahamwe.


Mfano mwingine ni huko nchini Marekani. Kuna makundi ya kihuni maarufu kama the bloods and the crips.

It was alleged that if you want to join them you should first kill a person. The leader of the relevant sect of a gang will give you a task to kill a person who is of course one of their enemy and if u full fill the task you then qualify to join them..



2. GOD OR YOUR god(s) NEED YOU TO MAKE HIM THE FIRST PRIORITY.

When God asked Abraham to sacrifice his son ISACK ( ISHMAEL?) he actually wanted ABRAHAM to sacrifice the place of ISACK ( ISHMAEL?) in his heart and put God instead, of which he did. So to me ABRAHAM actually sacrificed his son.
The real and acceptable sacrifice is the one that take place in the heart . The physical one is just a translation to what has actually happened in your heart.

" Ukitaka kumchinja kuku, kondoo, mbuzi au n'gombe huwa Una mchinja Kwanza kwenye nafsi yako kabla hujamchinja kwenye shingo ) Maalim Mohamed Said atakubaliana na Mimi katika hili.


3. UNAFANYA KAFARA YA DAMU KWA AJILI YA KUITUMIA DAMU ULIYO IMWAGA KAMA POINT OF CONTACT BETWEEN YOU AND YOUR GOD,god(s) OR THE SPIRITUAL WORLD, WHICHEVER COMES FIRST.

Katika ulimwengu wa roho, moja Kati ya kazi za damu NI kutumika kama medium of communication. What do you want to communicate to the spiritual word? . You use the blood as a medium of communication. The blood will speak for you. You will speak to the blood what you want to speak to the spiritual world and the blood will speak to the spiritual world on your behalf. Moja Kati ya kazi kubwa za damu katika ulimwengu wa roho ni kutamka.etc.


4... DAMU HUTUMIKA.KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

AGANO NI NINI? : AGANO NI MAKUBALIANO RASMI BAINA YA PANDE MBILI AMBAZO ZIMEKUBALIANA KUTEMBEA KWA PAMOJA KWA MUDA MAALUMU NA KWA MASHARTI NA UTARATIBU MAALUMU.

# MASHARTI NA UTARATIBU HUO LAZIMA VIWE VINAENDANA NA KANUNI ZA ASILI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. MASHARTI AU UTARATIBU HUO UKIENDA KINYUME NA KANUNI MAMA ZA ULIMWENGU WA ROHONI BASI AGANO HILO LINAKUWA IMPOTENT. HALIWEZI KUWA EXECUTED KATIKA ULIMWENGU WA DAMU NA NYAMA.


# AGANO LIKISHA INGIWA HALIWEZI KUVUNJWA KIENYEJI ENYEJI BILA PANDE HIZO MBILI KURUDI MEZANI KUFANYA MAZUNGUMZO.

# ENDAPO PANDE HIZO ZITA AFIKIANA BASI LITAUNDWA AGANO JINGINE MAALUMU KWA AJILI YA KUVUNJA AGANO HILO. KWA LUGHA NYINGINE AGANO HUVUNJWA KWA AGANO.


# AGANO linaweza kuingiwa Kwa hiyari au Kwa kushurutishwa.


# AGANO la hiari : Pande mbili zinakubaliana kuingia katika AGANO.


# AGANO SHURUTI: Mchawi anaweza kuingia katika AGANO na mapepo Kwa ajili ya kumfunga MTU Fulani. Eg kumsababishia maradhi ya kichawi, kufunga rizki, kumchukua msukule au kumfanya kuwa mpenzi, mke, mine etc.

KAZI YA DAMU KATIKA MAAGANO YA KIROHO.

Damu ina kazi nyingi Sana katika ulimwengu wa kiroho. Muda hautoshi. Nitazielezea chache Kati ya hizo.

1. Kuua na kuhuisha( kukipa uhai )kitu, madhabahu au AGANO.

Katika ulimwengu wa roho damu inasimama kama Ishara ya Uhai but at the same time inasimama kama Ishara ya kifo na hatari.

Mfano: MTU akiishiwa damu anakufa lakini MTU huyo huyo akiongezewa damu ana rejewa na uhai.

Kama MTU anataka kuua ( kumaliza) Jambo Fulani linalo msumbua ana weza kutumia kafara ya damu . MTU huyo huyo kama anataka kuhuisha Jambo lake anaweza kufanya hivyo Kwa kutumia kafara ya damu.

2. DAMU HUTUMIKA KUBADILISHA AU KU TRANSFORM KITU, HALI AU JAMBO.

Kama.tulivyo ona hapo Juu nguvu ya damu inaweza KUBADILISHA uhai kuwa kifo na kifo kuwa uhai. Nguvu hiyo hiyo ya damu katika ulimwengu wa roho inaweza kutumika KUBADILISHA Hali ya kitu au MTU.

Biashara au mapenzi yaliyo kufa yanaweza kuhuishwa Kwa nguvu ya kafara ya damu. Biashara yenye ' uhai' inaweza kuuliwa Kwa nguvu ya kafara ya damu.

3. KUHALALISHA HATIA : Wachawi hawawezi kumroga mtu bila MTU huyo kuwa na HATIA. Kama MTU anae kusudiwa kurogwa Hana HATIA basi Wachawi wanaweza kuhalisha HATIA ya MTU huyo Kwa kutumia damu ya mnyama.

# Likitokea tukio la mauaji ya umwagaji damu. MTU atakae kutwa eneo la tukio na michirizi ya damu basi atatuhumiwa kuhusika na mauaji hayo Kwa namna moja au nyingine. This is what am talking about here

4. KUHALALISHA SPIRITUAL TRANSFER OF OWNERSHIP

Vitu huwa vinaanza kumilikiwa katika ulimwengu wa ROHONI Kwanza kabla havija nilikuwa kwenye ulimwengu wa NYAMA.

Kinacho weza kumpa MTU uhalali wa kumiliki kitu au Jambo Fulani kwenye ulimwengu wa NYAMA hata kama.sio lake NI damu.

Kwa mfano MTU anaweza kwenda kufanya kafara ya damu Kwa ajili ya kumiliki Kiwanis chako, biashara yako, mke wako, nyota yako nakadhalika.

5. KUSIMAMISHA AGANO. ( To erect a spiritual covenant )


6. KUKAZIA AGANO ( To execute a covenant )

7. Kuanzisha madhabahu ( To establish an altar )

8. Kuita roho na viumbe mbalimbali wa kiroho ( To summon spirits )

9. Kuunganisha nafsi.

10. Kufunga
11. Kufungua
Nakadhalika nakadhalika.

TUKIO LA MOSHI NI AJALI YA KAWAIDA TU KAMA AJALI ZINGINE. USICHUME DHAMBI BURE KWA KUMNENEA MABAYA MTUMISHI WA MUNGU.


Ungeweza kumuonea MTUMISHI Kwa kusema katoa kafara kama walio kufa wangekuwa.

# wazazi wake.
# watoto wake.
# mke wake.
#dada ake
# Kaka ake au mdogo wake.


Kafara lazima iwe na MTU ambae ana damu yako.sio MTU ilimradi MTU.


How do you prove loyalty to the gods for a sacrifice of strangers? Hell No!!!


UZUSHI MKUBWA KUHUSU KAFARA ZA DAMU NA MAJINI / MAPEPO.


Ooh MAJINI na mapepo chakula Chao kikuu NI damu .
MAJINI na mapepo NI roho ( spirits). Tangu lini roho zikala au zikanywa ?

Mambo ya Kula na kunywa halo designed Kwa binadamu na wanyama wenye miili sio MAJINI wala mapepo.

Ingekuwa MAJINI chakula Chao NI damu za watu basi leo duniani kusinge kuwa na watu coz they are more then us. It is said that Kwa kila MTU mmoja kuna MAJINI Mia TATU.


Wengine ooh ukitaka kuwa tajiri wewe yape MAJINI sadaka ya damu.

Unapoyapa damu unaya furahisha and in turn yanakupa utajiri. Hahahaha mawazo ya kitoto kweli.


Ingekuwa rahisi namna hiyo basi hata Kiranga angekuwa tajiri. Ange Acha kubeba box na kupigwa na narudi Chicago.


# Acheni kumuonea wivu Apostle Mwamposa.

# Mungu amempa karama ya uponyaji na kuwafungua watu. U cannot change it. Just live with it.


# Kumsingizia uchawi sio Jambo la kushangaza Kwa sababu hata Yesu aliwahi kuhisiwa kutumia nguvu za shetani kutokana na Miujiza mikubwa aliyo kuwa akiifanya.


# So kumu husisha Bulldozer na uchawi it's a compliment Kwa sababu in other words Ur trying to say that this guy is performing wonderful miracles and signs that can only be performed by people with supernatural powers.


SWALI LA KITOTO KWELI: " KAMA.BULDOZER NI MTUME WA MUNGU KWELI KWANINI HAKUONA TUKIO LA.MOSHI KABLA HALIJATOKEA?"


Kabla hujauliza SWALI la KITOTO Anza Kwanza kujiuliza maswali yafuatayo:

1. Kama Mungu alijua Shetani atakuja kumu Hasi kwanini alimuumba? Ina maana hakujua kama atakuja kumuhasi?


2. Kama Mungu alijua Adam na Hawa watakuja kuhasi, kwanini aliwaumba na kuwaweka kwenye bustani ya Edeni? Ina maana hakujua kuwa watakuja kumu Hasi ?

Kifo huwa hakikosi sababu na hakichagui mahali pa kutokea. Mungu pekee ndio ajuaye siku yako NI lini.

# Don't call God's curses upon your head Kwa KUMNENEA MABAYA MTUMISHI wake.

# THOSE WHO WANT APOSTLE MWAMPOSA TO CRY. GOD THE ALMIGHTY SHALL MAKE THEM CRY BLOOD FIRST.

# Rip Kwa waliopoteza maisha yao. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.


# Poleni mliopoteza ndugu, Jamaa na marafiki zenu, Mungu awatie Nguvu.

ALAMSIK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori yako kuhusu Genocide 1994 yale hayakua mauaji dhidi ya watutsi bali watu wote waliuawa wahutu kwa watutsi hivyi kusema yalikua ni mauaji ya watutsi ni kutaka kuwa victimize watutsi wakati wao ndo walikua waasi wenyewe
 
Zitaje Mali alizo jilimbikizia
Anauza mafuta anauza maji anakusanya sadaka cha ajabu zaidi ana neno lake eti Dhabahu ya kujimaliza yani utoe kiasi chako chote cha pesa usibaki hata na nauli eti Mungu atakutendea miujiza njiani vitu vyengine tutumie tafakuri sio tubase upande mmoja
 
Nisome nini katika Bio Cybernetics?

Bio Cybernetics ni nini?

Ushakimbia kuthibitisha Mungu yupo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Itajibu swali lako kuhusu uniformity and consistency. Swali nimekujibu vzr tu Sema umejiandaa kubisha badala ya kuelewa. Effort unayo itumia kubisha ungeitumia kuelewa ungekuwa umesha elewa vizuri Sana
 
Back
Top Bottom