Kilichotokea Moshi sio kafara kwa sababu zifuatazo

Itajibu swali lako kuhusu uniformity and consistency. Swali nimekujibu vzr tu Sema umejiandaa kubisha badala ya kuelewa. Effort unayo itumia kubisha ungeitumia kuelewa ungekuwa umesha elewa vizuri Sana
Hujajibu niliyokuuliza na uliyojibu sijakuuliza.

Nisome nini katika Bio Cybernetics?

Bio Cybernetics ni nini?

Ushakimbia kuthibitisha Mungu yupo?
 
Hujajibu niliyokuuliza na uliyojibu sijakuuliza.

Nisome nini katika Bio Cybernetics?

Bio Cybernetics ni nini?

Ushakimbia kuthibitisha Mungu yupo?
Nimekuthibitishia on the ground of uniformity and consistency umebisha nimekupa reference usome mwenyewe may be it can help you
 
Nimekuthibitishia on the ground of uniformity and consistency umebisha nimekupa reference usome mwenyewe may be it can help you
Nimekuuliza consistency inathibitishaje kitu kimeumbwa na Mungu?

Watu wanatengeneza magari, yana consistency, hilo linamaanisha magari yameumbwa na Mungu?
 
Upuuzi mtupu,yaani unamlinganisha Mungu,na Mwamposa,
Huu unabii wake alipewa na nani?
Hawa ni wachumia tumbo tu,hizi story za kupata lahana,kwa kuwasema "watumishi" vibaya,ni uganga tu,na mbinu za kuwaogopesha waumini wenu,tena wanawake.
Wayahudi hawamtambuhi,wala hawamuabudu jesus,lakini ni taifa lenye uchumi,na maendeleo,makubwa,
Acha hizo story,korea,china,japan,wanamaendeleo makubwa,kuriko waumin wenu,na kwao hakuna wakina mwamposa,acha uzuzu,yaani nyie ni motoni,tu kama kibwetele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…