Kilichotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ndicho kitakachofanyika 2020 ikiwa ni mpango wa Rais Magufuli kubadili Katiba kuondoa ukomo wa Urais

Magu hana uwezo wa kung'ang'ania madara kwakuwa sio jasiri, pressure point zake zipo pua na mdomo, akitibuliwa kidogo tu anaweza imaliza mbuga ya serengeti kwa miguu.
Membe akiamkia mtandaoni na timu yake, magu lazima atembee na dawa zake.
Kwa kuwa hafai kabisa kwa udi au ubani azuiliwe kabisa mipango yake hii miovu.
 
Mataga nyie mliopewa vyeo na Jiwe wakati hamna sifa ndio mnaounga mkono ujinga, hatutakubali mipango yake iyo miovu itmie iwe jua iwe mvua.
 
Mama yako analiwa
 
Utakuwa umekalia kitu fulani hapo matakoni
 
Mkakati mwingine ni vyombo vya habari radio, televisheni, magazeti kuimba nyimbo za kumsifu kutwa kucha mfano tbc.
 
Mkuu mpaka clip ya mwenyekiti wa kamati moja maarufu ya bunge aliyetuita kutushawishi ninayo ila tumuhurumie maxence nisiiweke.
Nimekutumia msg pm mkuu
Maana hili swala na lenyewe limenipq wasiwasi sana
 

Ushahidi mwingine ni huu hapa kuzuia waangalizi wa uchaguzi 2020 ili waibe kura na kuchakachuwa matokeo ya uchaguzi.
 
Marais wastaafu kama akina mkapa hawataweza kumzuia?
 
Mkapa ndio mshauri wake mkuu anaroho mbaya kama yeye.
Mkapa mbona kwenye kitabu chake alipinga sana hilo jambo la kujiongezea muda, hasa Salimin Amour alipotaka kufanya hivyo, ama? Naona kama anatofautiana sana na Magu sababu ya yeye kujifanya mkubwa kuliko ccm
 
Marais wastaafu kama akina mkapa hawataweza kumzuia?
Ni Mkapa tu anayeweza kujaribu, wengine kama Mwinyi na Kikwete hawana lolote.

Kwa bahati mbaya sana, huyo Mkapa ambaye tungetegemea angalau amwonye tu hata huko faraghani, inaonekana ni huyo huyo anayefurahia anayofanya huyu aliyemtafuta na kumleta.

Hata sielewi kabisa kwa kiongozi kama Mkapa kuyafurahia haya yanayotendeka sasa. Sielewi yeye ana maslahi gani nayo.
 
Kwa nini unasema anafurahia mkuu, mimi niliona alikosoa mwenendo wa siasa nchini, kwenye kitabu chake, ama kuna vitu ambavyo sijui?
 
Huo urais wa milele utamsaidia nini hasa huyo jiwe??
 
View attachment 1278045
Mkuu wa manunuzi ya wapinzani.
Kuna hoja ya kisenge kuliko hii iliyowahi kuchapishwa humu?
 
Haya ni maneno ya mtu aliyenogewa na matunda ya ukoloni wa ccm.

Nchi hii inahitaji ukombozi mpya kutoka makucha ya ccm.


Ccm ni mkoloni mweusi na ni lazima ang'oke kwa nguvu zote na kila mwenye akili timamu.

Viva Tanzania,viva Mbowe
 
Hizi ni mbinu na akili za NAZI walizotumia kwa wapinzani wao huko Ujerumani.

Ccm kutoka chama cha ukombozi mpaka chama cha kifashisti ni maporomoko makubwa mno,na wala wenyewe hawajioni.
 
Hana lolote kubwa jinga lile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…