King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.
Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.
Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.
Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.
Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.