Kilichotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ndicho kitakachofanyika 2020 ikiwa ni mpango wa Rais Magufuli kubadili Katiba kuondoa ukomo wa Urais

Kilichotokea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ndicho kitakachofanyika 2020 ikiwa ni mpango wa Rais Magufuli kubadili Katiba kuondoa ukomo wa Urais

Ni sawa tu mana hakuna chama cha upinzani chenye nia njema na taifa hili zaidi ya kutafuta umaarufu na kutumia upinzani kama sehemu ya kipato.

Tujiulize kama upinzani wanaamini kuwa JPM anatumia Kila mbinu kuua upinzani inakuwaje Chama kikubwa kama Chadema kinakosa mtu wa kumrithi Mbowe ambaye ameleta taswira mbaya kabisa ya Ukabila kwenye Chama.?
Kwa nini wenyeviti wa vyama vya upinzani wanangangania madaraka wakati vyama vyao vinanyongwa wakiwa wanaona na wamekaa kimya.
Wanangangania kwa sababu ipi ?
Wanafanua juhudi gani za kulinda vyama vyao visihujumiwe ?

Uchaguzi wa Chadema umedhihirisha wazi kuwa hata mbinu wanazotumia serikali wamejifunza toka Upinzani.

Mbowe ni msaliti mkubwa wa Demokrasia ya nchi hii.
Wapinzani wamekosea sana kushindwa kufanya mageuzi ndani ya vyama vyao na kupata vijana wakakamavu kama akina Malema kule S.A.

CCM itajigeuza yenyewe na itaendelea kupata kura miaka mingi ijayo kama watanzania tulionao ni hawa akina Mbowe wanaofanya maigizo waonekane kuwa wao pekee ndio wanaoweza kuongoza. Kwa nini JPM na CCM yake wasiige na wao wakasema kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na kuumaliza upinzani Tanzania?

CCM kama ilivyo Chadema kazi yake ni kumweka mtu inayemwona kuwa anaweza kutukomeza mpinzani wake.
Chadema wametuaminisha kuwa kiboko wa CCM ni Mbowe na wakaamua kumfanya kuwa mwenyekiti na mfalme wa kudumu milele. Sasa kwa nini tunashangaa kuona kuwa CCM inawaaminisha wanachama wake kuwa JPM ndiye kiboko wa Wapinzani ?

Tunashangaa nini kwa CCM kumweka mwenyekiti mwenye nafasi kubwa ya kuweka pembeni maslahi mapana ya Taifa na Demokrasia pana wakati Vyama vya upinzani wanajali maslahi ya vyama kuliko Nchi?

Chadema imetuamisha kuwa Chadema sio ya watanzania na haikao mioyoni mwa watanzania Bali Chadema ni Mbowe. Bila Mbowe hakuna Chadema.
Utumbo wa ajabu kabisa.

Tuiache CCM nayo iweke mikakati ya kulinda Chama bila kujali mustkabali wa nchi hii mpaka kitakapokuja kizazi kitakachokataa ghilba za watu kama akina Mbowe na wenyeviti wenzake wote wa vyama vyote vilovyosajiwa mpaka tawala.
Hakuna Chama wala mwanachama mwenye uhalali wa kumlaumu mwenzake.
Wote wanawaza vyama vyao kwanza na sio Demokrasia pana kwa ustawi wa vizazi vijavyo.
 
Ni sawa tu mana hakuna chama cha upinzani chenye nia njema na taifa hili zaidi ya kutafuta umaarufu na kutumia upinzani kama sehemu ya kipato.

Tujiulize kama upinzani wanaamini kuwa JPM anatumia Kila mbinu kuua upinzani inakuwaje Chama kikubwa kama Chadema kinakosa mtu wa kumrithi Mbowe ambaye ameleta taswira mbaya kabisa ya Ukabila kwenye Chama.?
Kwa nini wenyeviti wa vyama vya upinzani wanangangania madaraka wakati vyama vyao vinanyongwa wakiwa wanaona na wamekaa kimya.
Wanangangania kwa sababu ipi ?
Wanafanua juhudi gani za kulinda vyama vyao visihujumiwe ?

Uchaguzi wa Chadema umedhihirisha wazi kuwa hata mbinu wanazotumia serikali wamejifunza toka Upinzani.

Mbowe ni msaliti mkubwa wa Demokrasia ya nchi hii.
Wapinzani wamekosea sana kushindwa kufanya mageuzi ndani ya vyama vyao na kupata vijana wakakamavu kama akina Malema kule S.A.

CCM itajigeuza yenyewe na itaendelea kupata kura miaka mingi ijayo kama watanzania tulionao ni hawa akina Mbowe wanaofanya maigizo waonekane kuwa wao pekee ndio wanaoweza kuongoza. Kwa nini JPM na CCM yake wasiige na wao wakasema kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na kuumaliza upinzani Tanzania?

CCM kama ilivyo Chadema kazi yake ni kumweka mtu inayemwona kuwa anaweza kutukomeza mpinzani wake.
Chadema wametuaminisha kuwa kiboko wa CCM ni Mbowe na wakaamua kumfanya kuwa mwenyekiti na mfalme wa kudumu milele. Sasa kwa nini tunashangaa kuona kuwa CCM inawaaminisha wanachama wake kuwa JPM ndiye kiboko wa Wapinzani ?

Tunashangaa nini kwa CCM kumweka mwenyekiti mwenye nafasi kubwa ya kuweka pembeni maslahi mapana ya Taifa na Demokrasia pana wakati Vyama vya upinzani wanajali maslahi ya vyama kuliko Nchi?

Chadema imetuamisha kuwa Chadema sio ya watanzania na haikao mioyoni mwa watanzania Bali Chadema ni Mbowe. Bila Mbowe hakuna Chadema.
Utumbo wa ajabu kabisa.

Tuiache CCM nayo iweke mikakati ya kulinda Chama bila kujali mustkabali wa nchi hii mpaka kitakapokuja kizazi kitakachokataa ghilba za watu kama akina Mbowe na wenyeviti wenzake wote wa vyama vyote vilovyosajiwa mpaka tawala.
Hakuna Chama wala mwanachama mwenye uhalali wa kumlaumu mwenzake.
Wote wanawaza vyama vyao kwanza na sio Demokrasia pana kwa ustawi wa vizazi vijavyo.
Kwahiyo ccm ndio wana nia njema na nchi hii? Ingekuwa fukara kama ilivyo miaka 59 ya uhuru.
 
Mbinu nyingine inayotumiwa ni kuwafukuza wapinzani wa Magufuri ndani ya ccm.
IMG_20191201_220804.jpg
 
Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.

Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.

Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.

Hilo lipo wazi na wala hahitajiki mtu kuwa na cheti cha kiwango chochote kulielewa hilo.
 
Vitimbi na vituko vikivyotokea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, mpaka kupelekea CCM kudai kushinda kwa asilimia mia moja serikali za mitaa na 99.8 vijiji.

Hizo ni njama zilizopangwa kuwahadaa Watanzania na ulimwengu wa kimataifa ionekane kuwa CCM na Rais Magufuli wanakubalika sana hivyo mwakani 2020 watafanya kila wawezalo ili ionekane CCM imeshinda over 95%.

Baada ya hapo bunge litakuwa na wabunge wengi wa CCM ndipo utapelekwa mswada wa sheria kubadili ukomo wa urais, vyanzo vya habari ambao ni wabunge waliopewa kazi ya kuzunguka nchi nzima kuwashawishi watu maarufu ili baadaye liibuke kundi la watu kumuomba Rais Magufuli aendelee na urais hata baada ya muda wake kuisha, mark my words.
Mbona Mbowe wa Chadema kabadili katiba ili atawale maisha?........ Tatizo liko wapi!
 
Ni sawa tu mana hakuna chama cha upinzani chenye nia njema na taifa hili zaidi ya kutafuta umaarufu na kutumia upinzani kama sehemu ya kipato.

Tujiulize kama upinzani wanaamini kuwa JPM anatumia Kila mbinu kuua upinzani inakuwaje Chama kikubwa kama Chadema kinakosa mtu wa kumrithi Mbowe ambaye ameleta taswira mbaya kabisa ya Ukabila kwenye Chama.?
Kwa nini wenyeviti wa vyama vya upinzani wanangangania madaraka wakati vyama vyao vinanyongwa wakiwa wanaona na wamekaa kimya.
Wanangangania kwa sababu ipi ?
Wanafanua juhudi gani za kulinda vyama vyao visihujumiwe ?

Uchaguzi wa Chadema umedhihirisha wazi kuwa hata mbinu wanazotumia serikali wamejifunza toka Upinzani.

Mbowe ni msaliti mkubwa wa Demokrasia ya nchi hii.
Wapinzani wamekosea sana kushindwa kufanya mageuzi ndani ya vyama vyao na kupata vijana wakakamavu kama akina Malema kule S.A.

CCM itajigeuza yenyewe na itaendelea kupata kura miaka mingi ijayo kama watanzania tulionao ni hawa akina Mbowe wanaofanya maigizo waonekane kuwa wao pekee ndio wanaoweza kuongoza. Kwa nini JPM na CCM yake wasiige na wao wakasema kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na kuumaliza upinzani Tanzania?

CCM kama ilivyo Chadema kazi yake ni kumweka mtu inayemwona kuwa anaweza kutukomeza mpinzani wake.
Chadema wametuaminisha kuwa kiboko wa CCM ni Mbowe na wakaamua kumfanya kuwa mwenyekiti na mfalme wa kudumu milele. Sasa kwa nini tunashangaa kuona kuwa CCM inawaaminisha wanachama wake kuwa JPM ndiye kiboko wa Wapinzani ?

Tunashangaa nini kwa CCM kumweka mwenyekiti mwenye nafasi kubwa ya kuweka pembeni maslahi mapana ya Taifa na Demokrasia pana wakati Vyama vya upinzani wanajali maslahi ya vyama kuliko Nchi?

Chadema imetuamisha kuwa Chadema sio ya watanzania na haikao mioyoni mwa watanzania Bali Chadema ni Mbowe. Bila Mbowe hakuna Chadema.
Utumbo wa ajabu kabisa.

Tuiache CCM nayo iweke mikakati ya kulinda Chama bila kujali mustkabali wa nchi hii mpaka kitakapokuja kizazi kitakachokataa ghilba za watu kama akina Mbowe na wenyeviti wenzake wote wa vyama vyote vilovyosajiwa mpaka tawala.
Hakuna Chama wala mwanachama mwenye uhalali wa kumlaumu mwenzake.
Wote wanawaza vyama vyao kwanza na sio Demokrasia pana kwa ustawi wa vizazi vijavyo.
Mbowe anakuumiza kuliko hata umasikini uliokithiri nchi hii
 
Ni sawa tu mana hakuna chama cha upinzani chenye nia njema na taifa hili zaidi ya kutafuta umaarufu na kutumia upinzani kama sehemu ya kipato.

Tujiulize kama upinzani wanaamini kuwa JPM anatumia Kila mbinu kuua upinzani inakuwaje Chama kikubwa kama Chadema kinakosa mtu wa kumrithi Mbowe ambaye ameleta taswira mbaya kabisa ya Ukabila kwenye Chama.?
Kwa nini wenyeviti wa vyama vya upinzani wanangangania madaraka wakati vyama vyao vinanyongwa wakiwa wanaona na wamekaa kimya.
Wanangangania kwa sababu ipi ?
Wanafanua juhudi gani za kulinda vyama vyao visihujumiwe ?

Uchaguzi wa Chadema umedhihirisha wazi kuwa hata mbinu wanazotumia serikali wamejifunza toka Upinzani.

Mbowe ni msaliti mkubwa wa Demokrasia ya nchi hii.
Wapinzani wamekosea sana kushindwa kufanya mageuzi ndani ya vyama vyao na kupata vijana wakakamavu kama akina Malema kule S.A.

CCM itajigeuza yenyewe na itaendelea kupata kura miaka mingi ijayo kama watanzania tulionao ni hawa akina Mbowe wanaofanya maigizo waonekane kuwa wao pekee ndio wanaoweza kuongoza. Kwa nini JPM na CCM yake wasiige na wao wakasema kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa kupambana na kuumaliza upinzani Tanzania?

CCM kama ilivyo Chadema kazi yake ni kumweka mtu inayemwona kuwa anaweza kutukomeza mpinzani wake.
Chadema wametuaminisha kuwa kiboko wa CCM ni Mbowe na wakaamua kumfanya kuwa mwenyekiti na mfalme wa kudumu milele. Sasa kwa nini tunashangaa kuona kuwa CCM inawaaminisha wanachama wake kuwa JPM ndiye kiboko wa Wapinzani ?

Tunashangaa nini kwa CCM kumweka mwenyekiti mwenye nafasi kubwa ya kuweka pembeni maslahi mapana ya Taifa na Demokrasia pana wakati Vyama vya upinzani wanajali maslahi ya vyama kuliko Nchi?

Chadema imetuamisha kuwa Chadema sio ya watanzania na haikao mioyoni mwa watanzania Bali Chadema ni Mbowe. Bila Mbowe hakuna Chadema.
Utumbo wa ajabu kabisa.

Tuiache CCM nayo iweke mikakati ya kulinda Chama bila kujali mustkabali wa nchi hii mpaka kitakapokuja kizazi kitakachokataa ghilba za watu kama akina Mbowe na wenyeviti wenzake wote wa vyama vyote vilovyosajiwa mpaka tawala.
Hakuna Chama wala mwanachama mwenye uhalali wa kumlaumu mwenzake.
Wote wanawaza vyama vyao kwanza na sio Demokrasia pana kwa ustawi wa vizazi vijavyo.
Ccm pamoja na kutawala miaka 50 mbona 2015 ilikosa mgombea? sijui kama utanielewa, mpe mwenzio akusaidie !!
 
Mbowe anakuumiza kuliko hata umasikini uliokithiri nchi hii
Ananiumiza sana kwa sababu anapewa ruzuku kubwa kwa kuwahadaa walipa kodi kuwa anapigania Demokrasia kumbe ana agenda zake binafsi.
Watu wamepoteza maisha yao wakiamini kuwa wanakipigania Chama lakini Mbowe anawahesabu kuwa ni wasaliti wote kisa tu amebanwa alipe kodi.

Biashara zake na chama kwa nini hataki kuvitenganisha?
Tanzania Daima ni gazeti lake binafsi lakini linaonekana kama Mali ya chadema.
Mtu kama huyo hawezi kamwe kuwaza maendeleo ya Chama.

Ukinionyesha andiko Moja la Mbowe kwenye Mtandao wowote linaloibua mjadala nitamuunga mko kuanzia leo awe mwenyekiti wa maisha na siku akifa nafasi ya Uenyekiti ibaki wazi mana hakuna wa kuweza kuongoza chama ndani ya Chadema.

Hivi kwa akili ya kawaida mtu yeyote akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama kikubwa kama Chadema kinachomlipa mshahara mkubwa na marupurupu anaweza kuuza Chama ili iweje?

Hivi Meya Kalisti aliuza chama au Mbowe ndiye aliyekosa Busara ya kumwacha meya awatumikie wananchi waliomchagua ?
Nani anaua chama kama sio Mbowe kwa kuwazuia wabunge na mameya na madiwani kuacha kuwatumikia wananchi kuleta maendeleo kwa sababu zisizo na mashiko.

Mbowe Anachanganya kwa makusudi ,migomo ya wanasiasa na kazi za maendeleo.

Hapo hamjagundua tu kuwa Mradi wa Mbowe wa kuiua Chadema umefanikiwa kwa asilimia 90%. Ameifanya ionekane kwa wazi kuwa ni chama cha ukoo na cha kupinga maendeleo.
Utakuaje Meya wa jiji bila kushirikiana na serikali kama sio kuwa na akili ndogo?

Dawa ya Mbowe inakuja 2021 atakua hana ruzuku hata mia kutoka serikalini ili atumie pesa zake za mfukoni kuanza upya kujenga chama huku kodi zikimwandama.
Wapambe watatuambia kuwa aekuza chama au ameuza chama au vyovyote.
 
Ccm pamoja na kutawala miaka 50 mbona 2015 ilikosa mgombea? sijui kama utanielewa, mpe mwenzio akusaidie !!
Walichukua Form watu 42 wenye uwezo wa kuongoza nchi ndani ya CCM . Na walizunguka mikoa yote kutafuta wadhamini.
Chadema walimwacha Mbowe awachagulie mgombea badala ya kuwashindanisha ili wanachama waone hoja zao wajue nani mwenye uwezo.

Mfano Mbowe leo alipaswa kustaafu uenyekiti ili aache nafasi kwa wengine wapige kampeni ya kujinadi kuwa watakifanyia nini Chama katika mazingira ya sasa ya mbinyo wa Demokrasia.
Kwa vyovyote angepatikana mtu mwenye roho ya ushawishi kwenye jamii. Mtu ambaye akisema kesho tuelekee Dodoma kudai Uhuru wa kisiasa watu wangetoka Pande zote za Tanzania kuelekea huko. Serikali ya mkoloni ilikua katili sana lakini Hoja na imani ya watanganyika kwa viongozi wa harakati za kupigania Uhuru ziliwashinda wakoloni.

Chama kinapukutika wabunge,chama kinapikutika madiwani,chama kimekosa hata mjumbe mmoja wa serikali za mitaa halafu Mbowe anatuambia yeye pekee ndiye anayeweza kupambana na serikali ya Awamu ya Tano. Wagombea wa Ubunge wanaporwa Fom mchana kweupe hakuna hatua kali ya kuwakatisha tamaa kabisa wanaofanya ushenzi huo.Wanachama na viongozi wanatekwa mpaka jimboni kwake ,wanapotea kama Saanane Mwenyekiti kimya anachoangalia ni uenyekiti wake tu usiguswe.
Hayo mapambano yake ni yapi?
Tafakari vizuri mkuu.
 
Magu hana uwezo wa kung'ang'ania madara kwakuwa sio jasiri, pressure point zake zipo pua na mdomo, akitibuliwa kidogo tu anaweza imaliza mbuga ya serengeti kwa miguu.
Membe akiamkia mtandaoni na timu yake, magu lazima atembee na dawa zake.
 
Nimewaona wabunge wengi wa ccm ambao wameanza kujirejesha kwenye majimbo yao baada ya kupotea kwa takribani miaka minne, wanasema eti wao wataenda kumuomba rais JPM aendelee na urais licha muda wake kuwa umeisha ili akamalishe mambo na miradi aliyoianzisha.
Uko sahihi kabisa!
 
Ananiumiza sana kwa sababu anapewa ruzuku kubwa kwa kuwahadaa walipa kodi kuwa anapigania Demokrasia kumbe ana agenda zake binafsi.
Watu wamepoteza maisha yao wakiamini kuwa wanakipigania Chama lakini Mbowe anawahesabu kuwa ni wasaliti wote kisa tu amebanwa alipe kodi.

Biashara zake na chama kwa nini hataki kuvitenganisha?
Tanzania Daima ni gazeti lake binafsi lakini linaonekana kama Mali ya chadema.
Mtu kama huyo hawezi kamwe kuwaza maendeleo ya Chama.

Ukinionyesha andiko Moja la Mbowe kwenye Mtandao wowote linaloibua mjadala nitamuunga mko kuanzia leo awe mwenyekiti wa maisha na siku akifa nafasi ya Uenyekiti ibaki wazi mana hakuna wa kuweza kuongoza chama ndani ya Chadema.

Hivi kwa akili ya kawaida mtu yeyote akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama kikubwa kama Chadema kinachomlipa mshahara mkubwa na marupurupu anaweza kuuza Chama ili iweje?

Hivi Meya Kalisti aliuza chama au Mbowe ndiye aliyekosa Busara ya kumwacha meya awatumikie wananchi waliomchagua ?
Nani anaua chama kama sio Mbowe kwa kuwazuia wabunge na mameya na madiwani kuacha kuwatumikia wananchi kuleta maendeleo kwa sababu zisizo na mashiko.

Mbowe Anachanganya kwa makusudi ,migomo ya wanasiasa na kazi za maendeleo.

Hapo hamjagundua tu kuwa Mradi wa Mbowe wa kuiua Chadema umefanikiwa kwa asilimia 90%. Ameifanya ionekane kwa wazi kuwa ni chama cha ukoo na cha kupinga maendeleo.
Utakuaje Meya wa jiji bila kushirikiana na serikali kama sio kuwa na akili ndogo?

Dawa ya Mbowe inakuja 2021 atakua hana ruzuku hata mia kutoka serikalini ili atumie pesa zake za mfukoni kuanza upya kujenga chama huku kodi zikimwandama.
Wapambe watatuambia kuwa aekuza chama au ameuza chama au vyovyote.
We bado una mentality za kimasikini kuchukia waliokuzidi

Tafuta hela dogo acha majungu
 
Walichukua Form watu 42 wenye uwezo wa kuongoza nchi ndani ya CCM . Na walizunguka mikoa yote kutafuta wadhamini.
Chadema walimwacha Mbowe awachagulie mgombea badala ya kuwashindanisha ili wanachama waone hoja zao wajue nani mwenye uwezo.

Mfano Mbowe leo alipaswa kustaafu uenyekiti ili aache nafasi kwa wengine wapige kampeni ya kujinadi kuwa watakifanyia nini Chama katika mazingira ya sasa ya mbinyo wa Demokrasia.
Kwa vyovyote angepatikana mtu mwenye roho ya ushawishi kwenye jamii. Mtu ambaye akisema kesho tuelekee Dodoma kudai Uhuru wa kisiasa watu wangetoka Pande zote za Tanzania kuelekea huko. Serikali ya mkoloni ilikua katili sana lakini Hoja na imani ya watanganyika kwa viongozi wa harakati za kupigania Uhuru ziliwashinda wakoloni.

Chama kinapukutika wabunge,chama kinapikutika madiwani,chama kimekosa hata mjumbe mmoja wa serikali za mitaa halafu Mbowe anatuambia yeye pekee ndiye anayeweza kupambana na serikali ya Awamu ya Tano. Wagombea wa Ubunge wanaporwa Fom mchana kweupe hakuna hatua kali ya kuwakatisha tamaa kabisa wanaofanya ushenzi huo.Wanachama na viongozi wanatekwa mpaka jimboni kwake ,wanapotea kama Saanane Mwenyekiti kimya anachoangalia ni uenyekiti wake tu usiguswe.
Hayo mapambano yake ni yapi?
Tafakari vizuri mkuu.
Hizo zote zilikuwa ni sinema za kiphilipino kama haukuliona hilo nafikiri bado unaamini mtoto ananunuliwa dukani
 
Mleta mada, ushahidi wa hayo unayoyasema asiyetaka kuuona ni kipofu.

Kama waTanzania wataruhusu ujinga huu tumekwisha!
Mkuu mpaka clip ya mwenyekiti wa kamati moja maarufu ya bunge aliyetuita kutushawishi ninayo ila tumuhurumie maxence nisiiweke.
 
Back
Top Bottom