Kilichowafurahisha Yanga nini siku ya kupanga makundi hadi wakashangilia?

Kilichowafurahisha Yanga nini siku ya kupanga makundi hadi wakashangilia?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Siku ya kutangaza makundi ya mashindano ya CAF Yanga walishangilia Sana.

Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi?


Angalia jinsi Yanga walivyoshangilia timu walizopangwa nazo.
 
Sijaelewa kabisa... Leo Simba wanatafakari Yanga walikuwa wanacheza sindimba!

😄😃😀😆😂
 
Back
Top Bottom