Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Siku ya kutangaza makundi ya mashindano ya CAF Yanga walishangilia Sana.
Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi?
Angalia jinsi Yanga walivyoshangilia timu walizopangwa nazo.
Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi?
Angalia jinsi Yanga walivyoshangilia timu walizopangwa nazo.