Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inashangaza Sana🙄Leo kamwe akianza kulalamika tu wajinga wote wanalalamika Yanga
Ndio nakuambia,nan alianza kulalamika kuwa Simba inapendelewa?akasema marefa wanaagenda na Simba,wanachezesha wale wale.Hii inashangaza Sana🙄
Sema Yanga wapo poa Sana, kila kinachosemwa na viongozi wao hukikariri na kukirudiarudia kama litani ya maisha yao.Ndio nakuambia,nan alianza kulalamika kuwa Simba inapendelewa?akasema marefa wanaagenda na Simba,wanachezesha wale wale.
Bila kufanya research akakumbushwa kuwa Yanga amepata penalty 8 amekosa nyingi.
Akakumbushwa kuwa Alagija amechezesha mechi nyingi za Yanga kuliko Refa yeyote hapa Tz.
Hili la kupita mitaani kushangilia usajili wa chama nalo lilinishangaza sana....hawa ambao walingia mtaani na wakawa wanashangilia usajili wa Chama.
Ni wajinga,unajua Yanga wamekosa furaha kwa muda mrefu sana na washaijua raha yake.Sema Yanga wapo poa Sana, kila kinachosemwa na viongozi wao hukikariri na kukirudiarudia kama litani ya maisha yao.
Ila Yanga wameiweka timu yao kwenye daraja la juu sana kwenye anga za kina Real Madrid.Angalia kama slogani ya Gusa achia twende kwao,ni ujinga.
Siyo kwamba wanakuwa hawajui ni mbinu tu za propaganda za kujisahaulisha baadhi ya facts na kupush agenda unayotaka kuaminisha watu. Wanafanya hilo sana tu.Ndio nakuambia,nan alianza kulalamika kuwa Simba inapendelewa?akasema marefa wanaagenda na Simba,wanachezesha wale wale.
Bila kufanya research akakumbushwa kuwa Yanga amepata penalty 8 amekosa nyingi.
Akakumbushwa kuwa Alagija amechezesha mechi nyingi za Yanga kuliko Refa yeyote hapa Tz.
Point muhimu sana. Yanga na Simba zina aina mbili tofauti sana za mashabiki.Sema Yanga wapo poa Sana, kila kinachosemwa na viongozi wao hukikariri na kukirudiarudia kama litani ya maisha yao.