Kilichowafurahisha Yanga nini siku ya kupanga makundi hadi wakashangilia?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Siku ya kutangaza makundi ya mashindano ya CAF Yanga walishangilia Sana.

Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi?

Your browser is not able to display this video.

Angalia jinsi Yanga walivyoshangilia timu walizopangwa nazo.
 
Sijaelewa kabisa... Leo Simba wanatafakari Yanga walikuwa wanacheza sindimba!

πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜†πŸ˜‚
 
Sijaelewa kabisa... Leo Simba wanatafakari Yanga walikuwa wanacheza sindimba!

πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜†πŸ˜‚
Ndio uone tofauti ya hizi timu na Leo wangekewemo, wangeshangilia. Yaani MTU hujavuka unashangilia?🀷🀷
 
Ndio uone tofauti ya hizi timu na Leo wangekewemo, wangeshangilia. Yaani MTU hujavuka unashangilia?🀷🀷
Hapo SasaπŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜€

Yaani badala ya kuweka mikakati ya ushindi wewe unaanza kushangilia ratibaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…