Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike kwa amani
Nguvu ya mwanamke imemtafuna...Kijana mmoja Anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 aitwae Henry amejinyonga hadi kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Tukio hilo limetokea leo mchana Katika Kijiji cha Narumu huko katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Sababu Za kijana huyo kujinyonga hadi kufa ni baada ya mke wake wa ndoa ajulikanae kwa jina la Zuhura Luteri kuondoka na kwenda kujihusisha Kimapenzi Na wanaume wengine na hivyo alifanya kila jitihada za kumrudisha lakini zilishindikana.
Polisi wamefika kuchukua mwili na kuondoka nao Kwa ajili ya Uchunguzi. Kijana huyo alikuwa akiishi na mama yake mzazi na ameacha watoto wawili mwenye umri wa miaka 7 na mwingine ana umri wa miaka 5.
Mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa amethibitisha kutokea Kwa tukio hilo.
😅😅😅 mangiWachaga wa miaka hii cyo kbs.... golden generation ndo wanaisha hvo Mrema, Mbowee, Ndesamburo, Lema, Mkenda hawakua na haya mambo
itoshe kusema marehemu alikuwa boya sana maaneeneer zakeKijana mmoja Anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 aitwae Henry amejinyonga hadi kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Tukio hilo limetokea leo mchana Katika Kijiji cha Narumu huko katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Sababu Za kijana huyo kujinyonga hadi kufa ni baada ya mke wake wa ndoa ajulikanae kwa jina la Zuhura Luteri kuondoka na kwenda kujihusisha Kimapenzi Na wanaume wengine na hivyo alifanya kila jitihada za kumrudisha lakini zilishindikana.
Polisi wamefika kuchukua mwili na kuondoka nao Kwa ajili ya Uchunguzi. Kijana huyo alikuwa akiishi na mama yake mzazi na ameacha watoto wawili mwenye umri wa miaka 7 na mwingine ana umri wa miaka 5.
Mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa amethibitisha kutokea Kwa tukio hilo.
Hakutakiwa kufanya juhudi kabisa, zilipofeli akaona kafeli kila kitu maishani.alifanya kila jitihada za kumrudisha lakini zilishindikana
Mnazingua sana Mangi😅😅😅 mangi
weweKichwa maji
Afya ya akiliWachaga wa miaka hii cyo kbs.... golden generation ndo wanaisha hvo Mrema, Mbowee, Ndesamburo, Lema, Mkenda hawakua na haya mambo
Maumivu ya mapenzi ni moja ya maumivu makubwa sana binadamu kuexperience. Anaebisha hajawai kupendakabsa hata mi huwa nashangaa mi Kuna jamaa yangu aliwekewa limbwata na hawara halafu hawala akamkataa unaweza kufikiria maumivu aliopitia Yani unalogwa umpende halafu anakutema bila kujua mashetani yake yanafanya kazi huku...
toa dataVijana wa kichagga wanakaribia washinda wahehe kwa kujichukulia maamuzi
na yenyewe ni jibuLabda iwe zaidi ya mapenzi labda ugumu wa maisha