Kilimanjaro: Ajinyonga hadi kufa kisa wivu wa kimapenzi

Nguvu ya mwanamke imemtafuna...
 
itoshe kusema marehemu alikuwa boya sana maaneeneer zake
 
kabsa hata mi huwa nashangaa mi Kuna jamaa yangu aliwekewa limbwata na hawara halafu hawala akamkataa unaweza kufikiria maumivu aliopitia Yani unalogwa umpende halafu anakutema bila kujua mashetani yake yanafanya kazi huku...
Maumivu ya mapenzi ni moja ya maumivu makubwa sana binadamu kuexperience. Anaebisha hajawai kupenda
 
Huenda ni Mhehe!
Kama angekuwa Mchaga angeua badala ya kujinyonga!
 
Safi sana, na bado watakufa mnooo.
Hadi akili iwakae, kunoga na padedee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu sio mwanaume, ni binti wa kiume
Fool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…