Kilimanjaro: Godlisten Malissa afikishwa Mahakamani

Kilimanjaro: Godlisten Malissa afikishwa Mahakamani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Pia soma: Malisa aripoti Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi, ajulishwa kuwa upelelezi haujakamilika

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

Screenshot_2024-07-18-10-48-50-1.png


Tunamtakia kila la heri
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri

Akome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri
Badala ya kuhangaika na majizi ya mali za umma serikali ipo busy na wakosoaji, nchi ya kijinga sn
 
Ni maigizo yanayoandaliwaga na wahusika haswaa wa Serikali hakuna jipya ni Yale Yale inapokaribia Uchaguzi
 
Akome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Hakika bado unamkumbuka aliyeturudisha gizani hadi leo! Magufuli ni shetani aliyetokelezea duniani kwa muda mfupi kama kawaida ya mashetani wote. Alifanya kazi yake ya kuharibu na kuua kama mashetani wote. RIH Roast in Hell Magufuli!
 
Hakika bado unamkumbuka aliyeturudisha gizani hadi leo! Magufuli ni shetani aliyetokelezea duniani kwa muda mfupi kama kawaida ya mashetani wote. Alifanya kazi yake ya kuharibu na kuua kama mashetani wote. RIH Roast in Hell Magufuli!

Nenda kawashe umeme unaotokana na bwawa la umeme ili usifirwe gizani mbwa wewe
 
Back
Top Bottom