Kilimanjaro: Godlisten Malissa afikishwa Mahakamani

Kilimanjaro: Godlisten Malissa afikishwa Mahakamani

Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri
Hizi project za kula pesa za perdiem za mapolith
 
Nenda kawashe umeme unaotokana na bwawa la umeme ili usifirwe gizani mbwa wewe
Kama umemmiss nenda chattle ukazikwe karibu yake! Najua alikuwa na wasenge wengi sana! vijana wavivu kama makonda na wewe!
Unawashwa toka achimbiwe futi sita ardhini? Sitakuupoza kwa sababu kakuachia Virusi vikali sana!
 
Kama umemmiss nenda chattle ukazikwe karibu yake! Najua alikuwa na wasenge wengi sana! vijana wavivu kama makonda na wewe!
Unawashwa toka achimbiwe futi sita ardhini? Sitakuupoza kwa sababu kakuachia Virusi vikali sana!

Unatinduliwa gizani au umewasha umeme?
 
Hakika bado unamkumbuka aliyeturudisha gizani hadi leo! Magufuli ni shetani aliyetokelezea duniani kwa muda mfupi kama kawaida ya mashetani wote. Alifanya kazi yake ya kuharibu na kuua kama mashetani wote. RIH Roast in Hell Magufuli!
Akome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Yuko huru ndio maana hajatekwa kapelekwa mahakamani ajitetee
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri
Ngoja akalalemo leo, nimesikia majamaa kwenye karandinga yanamsifia, ila nilikuwa na haraka, sijajua yalikuwa yanamsifia kuhusu nini, na kila mmoja alikuwa anakomaa kwamba atampokea kwenye makazi ya walima Karanga
 
nasikia DPP ameingia mitni , hakuna aliyeonekana, maafisa wa mahakama wakasema nendeni zenu hakuna record ya kesi yako kwenye data base yetu
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri
Anachochea nini..?
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi

Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.

View attachment 3045325

Tunamtakia kila la heri
Hivi yule kada wa UVCCM kule kagera aliyejitangaza wazizi kuwapoteza wapinzani akionya polisi isiwatafute alichukuliwa hatua gani kwa uchochezi ule?
 
Back
Top Bottom