Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi
Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.
View attachment 3045325
Tunamtakia kila la heri
Badala ya kuhangaika na majizi ya mali za umma serikali ipo busy na wakosoaji, nchi ya kijinga snMkurugenzi wa Taasisi ya GH Foundation, Godlisten Malissa tayari amefikishwa Mahakamani leo 18/07/2024, ambako anatarajiwa kusomewa Mashtaka kadhaa likiwemo la Uchochezi
Anatetewa na Mawakili Hekima Mwasipu na Dickson Matata.
View attachment 3045325
Tunamtakia kila la heri
Watanzania wema wapo upande wakeDuuuh!! Ila atatokaa salamaa.
Nenda Chato kalale juu ya kaburi lakeAkome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Kuwa hai ni uhuru tosha tofauti na dictator katili Jiwe mwendazake anaeteseka motoni kwa kumwaga dam za watu wasio na hatiaAkome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Fedha za umma zinatumika vibaya kwa mambo ya kipumbavu kabisaKesi hizi za ajabu sana baadae unasikia mwendesha mashtaka wa serikali hana nia ya kuendelea na shauri.!
Hivi una undugu na Ngwizikululu Jilala!??Akome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Hakika bado unamkumbuka aliyeturudisha gizani hadi leo! Magufuli ni shetani aliyetokelezea duniani kwa muda mfupi kama kawaida ya mashetani wote. Alifanya kazi yake ya kuharibu na kuua kama mashetani wote. RIH Roast in Hell Magufuli!Akome ! Alishangilia sana kifo cha Magufuli kwamba eti sasa atakuwa huru.
Baada ya miaka 3 tukuulize wewe Malisa uko huru??
Hakika bado unamkumbuka aliyeturudisha gizani hadi leo! Magufuli ni shetani aliyetokelezea duniani kwa muda mfupi kama kawaida ya mashetani wote. Alifanya kazi yake ya kuharibu na kuua kama mashetani wote. RIH Roast in Hell Magufuli!