LGE2024 Kilimanjaro: Kituo cha kujiandikisha kupiga kura kimewekwa nyumbani kwa Mwenyekiti wa kitongoji ambaye naye ni mgombea wa CCM

LGE2024 Kilimanjaro: Kituo cha kujiandikisha kupiga kura kimewekwa nyumbani kwa Mwenyekiti wa kitongoji ambaye naye ni mgombea wa CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sikiliza clip , sina haja ya kuweka maelezo
View attachment 3122415


Angalia baiskeli laki tatu zimeandikwa SAMIA 2025 KAZI IENDELEE
Maria sarungi
KAMATENI USHAHIDIPicha za baiskeli za Samia 2025 zikiwa GoDown Rejea post yangu ya asubuhi kuhusu kontena zaidi ya 50 kushushwa zenye baiskeli zimeandikwa “Samia 2025, Kazi iendelee!” Sasa mnaona kufuru hii!Tuambiwe bajeti ipi imetumika hapa Hii haiwezi kuwa ya mtu binafsi!Ila #TutaelewanaTu mbona!?
View attachment 3122545


Mwagia petrol na kuchoma kontena zote
 
Ni jambo la kawaida kulingana na jiografia ya eneo husika, Lakini pia kama ni namna rahisi kwa wananchi wengi zaidi wa eneo husika kufika kwa urahisi kituoni hapo.

huo ni uzalendo wa kiwango cha juu sana wa kiTanzania kwa huyo mwananchi mtumishi wa wananchi kujitolea bila kujibakiza kwaajili ya umma..

Hata ukiangalia kwa mfano,
ofisi za Chadema nchi nzima ni nyumba au mageto ya vijana tu na kazi zao zinakwenda bila malalamiko 🐒
Hawa ndo wapumbafu na vijana wajinga wa uvccm ndo akili mgando alizonazo ,na ndo product ya kina bumunda na usje ukadhan ana Fanya makusud kuandika huu ujinga ,ndo mwsho wa akili zake ,,si unamuona bumunda alivyo na akili za ovyo? Na wengi sana uwezo wa kufkir na kuwaza ni mdogo sana kama huyu.. inategemea akiwa kiongoz au wazir ataongea nn Kwa mabeberu ? Kama sio kuwaachia tu wachimbe madin na waondoke nayo ? Kama sio kuingia mikataba ya ki laghai na waarabu wachukue bandari maana atasema tunaendesha Kwa hasara maana watu sio waaminifu?? Ni Mungu tuu atusaidie
 
Back
Top Bottom