Kilimanjaro: Maji yawafikia Wananchi wa Kata ya Mabogini iliyopo katika Wilaya ya Moshi Vijijini

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Huduma ya maji yawafikia Wananchi wa Kata ya Mabogini iliyopo katika Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoa wa Kilimanjaro. Maji Mwaa Mwaa Mwaaaaaa

Huu ni mwendelezo wa kazi ya uchimbaji wa visima 900,

Hii ni Leo Jumapili Nov 10, 2024 na huu ni mtambo wa kuchimba kisima kirefu kwenye Kata ya Mabogini kitongoji cha Shabaha. Maji ndani ya mita 95.

Ni hatua ya kutatua changamoto za wananchi tunaowahudumia.

Soma Pia: Wananchi Mabogini Moshi wapaza sauti tatizo la Maji safi na salama

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Anaupiga mwingi, mitano kwake≈!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…