Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon .

Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja.

Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote.

Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha kukimbia marathon hapo.

Kama una mtu wako yuko Moshi kwa ajili ya marathon imekula kwako.

Muhimu mtumie ujumbe mwambie pamoja na kuwa amelewa atumie kinga kuna Ukimwi.
 
Tusiwapangie watu matumizi ya Rasilimali zao jamani, istoshe hao Wakenya wamelipa Viingilio lkn pia Lodge na Hotel zetu wamekula na kulala. Huto tuzawadi twa Kili Marathon ndio tuzuie watu kula bata na Mbususu. Kwa kifupi Kili Marathon kwa sasa imegeuka kama PICNIC fulani kibongobongo so acha watu wale bata mkuu
 
Kakimbie wewe ambae sio mlevi urudi na hizo medali.

newFile-1.jpg
 
Uchi ni wao wakiutesa wewe unaumia nini kama unapenda medali fanya mazoezi kawakilishe nchi.

Nchi yenyewe hii iko mnadani si unaona chui jike ana inadi
 
Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon .

Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja.

Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote.

Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha kukimbia marathon hapo.

Kama una mtu wako yuko Moshi kwa ajili ya marathon imekula kwako.

Muhimu mtumie ujumbe mwambie pamoja na kuwa amelewa atumie kinga kuna Ukimwi.
wamesahau kuwa ngono huwa inalegeza magoti na kiuno.
 
Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon .

Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja.

Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote.

Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha kukimbia marathon hapo.

Kama una mtu wako yuko Moshi kwa ajili ya marathon imekula kwako.

Muhimu mtumie ujumbe mwambie pamoja na kuwa amelewa atumie kinga kuna Ukimwi.
Hilo ni tamasha kwa Wabongo na kwa Wakenya Kili Marathon ni kazi
 
Back
Top Bottom