Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon .

Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja.

Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote.

Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha kukimbia marathon hapo.

Kama una mtu wako yuko Moshi kwa ajili ya marathon imekula kwako.

Muhimu mtumie ujumbe mwambie pamoja na kuwa amelewa atumie kinga kuna Ukimwi.
Tuwe Hasi mara zote, Emanuel Giniki ni Mtanzania na Ameshinda Half Marathon.

Ushauri ungewapa, Joggers, wanaokimbia Kwa sababu ya Pombe.

Wanariadha wetu wamefanya vizuri sana kwa Ujumla.
 
Back
Top Bottom