Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huo Mkoa Pombe Si Toka Utoto Kwahiyo Hawawezi Kuharibikiwa Kisa Ulevi Na Ngono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uko wilayani?Vijana wa mikoani kufuatilia ya watu tu.
Tuwe Hasi mara zote, Emanuel Giniki ni Mtanzania na Ameshinda Half Marathon.Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon .
Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja.
Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote.
Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha kukimbia marathon hapo.
Kama una mtu wako yuko Moshi kwa ajili ya marathon imekula kwako.
Muhimu mtumie ujumbe mwambie pamoja na kuwa amelewa atumie kinga kuna Ukimwi.
Hao wanaenda picnic tu.Huwa nashangaa jitu halina mazoezi yoyote,limenenepeana kama kifutu,eti nalo linaenda kukimbia kili marathon.