Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Walimu ni Kero katika nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwalimu by professional , siwezi kubali mtu mmoja kuitweza taaluma yangu ili-hali mtu huyo kajua kusoma na kuandika kupitia walimudigba sowey vipi mkuu wewe Kila sehem na makasiriko tu yatoe ndugu uwe huru☺️
Kwaiyo hicho ndo kinawapa kiburi Cha kuwaonea na kuwapiga wanafunzi??Mimi mwalimu by professional , siwezi kubali mtu mmoja kuitweza taaluma yangu ili-hali mtu huyo kajua kusoma na kuandika kupitia walimu
Siungi mkono mauaji lakini inatokea kama bahati mbaya,ni wangapi wanauawa na polisi,wanandoa kuuana!?why teachers only!?Kwaiyo hicho ndo kinawapa kiburi Cha kuwaonea na kuwapiga wanafunzi??
Nyie walim baadhi yenu mna visasi vya ajabu sanaa kwa wanafunzi kama kweli wew n mwalimu simamia misingi yako
Ndo mjifunze hizo hasira zenu siyo mwende kushushia kwa wanafunziSiungi mkono mauaji lakini inatokea kama bahati mbaya,ni wangapi wanauawa na polisi,wanandoa kuuana!?why teachers only!?
UrasaJina la mwalimu please
NakaziaJina la mwalimu please
kwa sababu ya double kick!!!Walimu wenzangu tuna stress ila majuto no mjukuu.
Na Kwa Nini Kilimanjaro tu?
- Moshi: Mwalimu mbaroni akituhumiwa kusababisha kifo cha mwanafunzi kwa kumpiga mateke
- Tume yatua Kilimanjaro uchunguzi kifo tata cha Nusura