Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Mwanamke mmoja ajulikanae kwa jina la Rosalia Chuwa mwenye umri wa miaka 59 kutoka katika kijiji cha Utaruni ,mkoani kilimanjaro amemuua mama yake mzazi ajulikanae kwa jina Anastasia Shio mwenye umri wa miaka 89 ili arithi shamba.
Mwenyekiti wa ukoo huo amesema ya kuwa tangu Muda mrefu Rose amekuwa na tamaa ya kurithi shamba hilo na alishasikika akisema kuwa ipo siku atamuua mama yake ili arithi shamba.
Nae dada wa mtuhumiwa ajulikanae kwa jina la Getrude amethibitisha kuwa ni kweli dada yake alishwahi kusema mara kadhaa atamuua mama yake ili arithi shamba hilo.
Mwili wa marehemu baada ya kufanyiwa uchunguzi utazikwa kesho jumatano nyumbani kwake.
Soma Pia:
Mwenyekiti wa ukoo huo amesema ya kuwa tangu Muda mrefu Rose amekuwa na tamaa ya kurithi shamba hilo na alishasikika akisema kuwa ipo siku atamuua mama yake ili arithi shamba.
Nae dada wa mtuhumiwa ajulikanae kwa jina la Getrude amethibitisha kuwa ni kweli dada yake alishwahi kusema mara kadhaa atamuua mama yake ili arithi shamba hilo.
Mwili wa marehemu baada ya kufanyiwa uchunguzi utazikwa kesho jumatano nyumbani kwake.
Soma Pia: