Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
s mnasema wachaga wanajua kutafuta pesa? what the fwaaak is this? dada uchumi s umeukalia tu kuliko kumuwahisha mama kaburini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vingine utajitafutia laana tu yaani Kila mtu classmate wako huyo bibi miaka 89 nae alikuwa classmate wako sioR.i.P Classmate...😥
Unaujua umri wangu??Vitu vingine utajitafutia laana tu yaani Kila mtu classmate wako huyo bibi miaka 89 nae alikuwa classmate wako sio
Kuna event sawa na hii ilitokea miaka 2 ama 3 iliyopita binti alimuua mama yake ili arithi mali huko huko Kilimanjaro.
Hivi mambo za urithi nilifikiri watoto ambao wana nafasi kubwa ya kuyatenda ni wa kiume ila naona kwa wachaga wa kike ndio wako vizuri.
Haya mambo ya wazazi kuuwawa na watoto sababu ya urithi, mali, bima za maisha nimrkua nikizisikia na kuxiona sana nchi zilizoendelea lakini naona sasa zinashamiri hata huku kwetu.
Huyo mama apumzike kwa amani na huyo binti apate haki yake.
Hiyo sio karibia 60 , namuona ameshafika miaka 60Karibia 60yrs bado unafanya mambo ya ajabu
Tena laana kubwaAisee hii ni laana sasa kuuwa mama.
Achana nae huyo anatafuta sifa. Si ndio maana wanasema Tz wajinga wajinga wengi!Vitu vingine utajitafutia laana tu yaani Kila mtu classmate wako huyo bibi miaka 89 nae alikuwa classmate wako sio
Mizimu itakuwa inamsumbua anatakiwa achinjiwe mbuziHiyo sio karibia 60 , namuona ameshafika miaka 60
🤣🤣🤣wachaga mmeanza
Maneno tuu hayos mnasema wachaga wanajua kutafuta pesa? what the fwaaak is this? dada uchumi s umeukalia tu kuliko kumuwahisha mama kaburini?
Mwanamke mmoja ajulikanae kwa jina la Rosalia Chuwa mwenye umri wa miaka 59 kutoka katika kijiji cha Utaruni ,mkoani kilimanjaro amemuua mama yake mzazi ajulikanae kwa jina Anastasia Shio mwenye umri wa miaka 89 ili arithi shamba.
Mwenyekiti wa ukoo huo amesema ya kuwa tangu Muda mrefu Rose amekuwa na tamaa ya kurithi shamba hilo na alishasikika akisema kuwa ipo siku atamuua mama yake ili arithi shamba.
Nae dada wa mtuhumiwa ajulikanae kwa jina la Getrude amethibitisha kuwa ni kweli dada yake alishwahi kusema mara kadhaa atamuua mama yake ili arithi shamba hilo.
Mwili wa marehemu baada ya kufanyiwa uchunguzi utazikwa kesho jumatano nyumbani kwake.
Soma Pia:
Kwani humjui ush Kila marehemu ni class mate.Ni utani Tu don't take it serious.Achana nae huyo anatafuta sifa. Si ndio maana wanasema Tz wajinga wajinga wengi!